Makamanda hatupendi tuelezane ukweli...ila tunafahamu tulipojikwaa na tusiposhtuka imekula kwetu.
Inshu siyo kuondoka mbowe tatizo ni makundi anayoyatengeneza Iri tu awazoofishe washindani wake ndani ya chama. Nani isiyefahamu kuwa chadema Leo hii imegawanyika maKundi2 moja likiongozwa na mbowe na jingine kundi la waungwana limesimama na LissuUshahidi wa hizi hoja zenu ni upi?
Mkuu upo Sawa kabisa alafu kuna mpumbavu atakuja hapa na povu jingi wakati ukweli upo waziNa ana machawa wengi sana, vijana wa chadema wote wanamlamba miguu.
Huwa nashangaa sana yerrico nyerere anavojifanya na misimamo ila kwa mbowe anakuwa mpumbavu na kuna yule maranja takataka kabisa ni chawa na mlamba matako wa mbowe.
Hawa vijana mbowe anaweza kuwaomba hata visivyoombwa na wakamtii
Unashindwa kumchoka anayeuza Bandari,Ngorongoro,KIA,Misitu.......Ni kweli kafanya kazi kubwa sana kuimarisha na kuijenga chadema. Amepambana sana, apewe mauaji yake.
Hata hivyo, Mbowe ana madhaifu makubwa katika uongozi wake ambayo sasa yamekomaa na kuanza kutoa harufu mbaya mpk akina Msigwa wameshindwa kuivumilia. Madhaifu hayo nitayaeleza hapa chini.
1. Haamini katika nguvu ya kitaasisi.
Walio karibu na Mbowe wanasema Mbowe hataki kuachia uenyekiti kwasabb anaamini chadema ipo kwasabb ya uwezo wake binafsi wa kisiasa na kifedha. Haamini kuwa chadema kama taasisi inaweza kujisimamia, kujilinda na kujidumisha.
2. Mbowe ni mbabe na kigeugeu.
2021 Mbowe aliwatangazia wanachadema na watanzania kwa ujumla kuwa ifikapo 2023, ataachia uenyekiti wa chadema taifa, ili kupisha damu changa.
Pia sote tunakumbuka alivyogeuka ghafla na kumkabidhi hayati Lowasa tiketi ya chadema ya kuwania urais, mpk akajiita "Mzee wa kubadili gia angani".
Walio wengi akiwemo Sugu, Mnyika, Dr. Slaa na wengine wengi walitaka Lowasa akaribishwe chamani lkn asipewe nafasi ya kugombea urais. Mbowe alitumia ubabe.
Ili kuaiacha salama chadema ni vema akaachia ngazi. Goma lake la kila mwaka kuwa haondoki kwa kuwa anataka kujijenga na kukiimarisha chama limepigwa mara nyingi na limetuchosha maikioni.
Mbowe na mia
Wenye Mbowe wao tumeridhika na huenda ndo nafasi ya ushindi wa CCM Sasa akitoka si mtapata shida? Tushaurini mambo mengine basi. Au mnamuogopa? Kama chama kinaharibiwa na Mbowe na mnadai ni chama chake inawahusu nn? Si ndiyo nafuu yenu? Tunzeni iwe Siri mtaongea kwenye kampeni kwamba Mbowe hataki kuachia madaraka. Huenda itawasaidia kwenye kampeni. Mawazo ya kitoto,!Kuna utamaduni mbovu uliojengwa kimkakati na chawa wa mbowe kuwa kila anayetofautiana mawazo na mbowe ni msaliti.
Mbowe hata angefanya maovu hatakiwi kupingwa.
Lakini mbona mkutano mkuu wa chama chake humchagua kwa kura zaidi ya 99%Ni kweli kafanya kazi kubwa sana kuimarisha na kuijenga chadema. Amepambana sana, apewe mauaji yake.
Hata hivyo, Mbowe ana madhaifu makubwa katika uongozi wake ambayo sasa yamekomaa na kuanza kutoa harufu mbaya mpk akina Msigwa wameshindwa kuivumilia. Madhaifu hayo nitayaeleza hapa chini.
1. Haamini katika nguvu ya kitaasisi.
Walio karibu na Mbowe wanasema Mbowe hataki kuachia uenyekiti kwasabb anaamini chadema ipo kwasabb ya uwezo wake binafsi wa kisiasa na kifedha. Haamini kuwa chadema kama taasisi inaweza kujisimamia, kujilinda na kujidumisha.
2. Mbowe ni mbabe na kigeugeu.
2021 Mbowe aliwatangazia wanachadema na watanzania kwa ujumla kuwa ifikapo 2023, ataachia uenyekiti wa chadema taifa, ili kupisha damu changa.
Pia sote tunakumbuka alivyogeuka ghafla na kumkabidhi hayati Lowasa tiketi ya chadema ya kuwania urais, mpk akajiita "Mzee wa kubadili gia angani".
Walio wengi akiwemo Sugu, Mnyika, Dr. Slaa na wengine wengi walitaka Lowasa akaribishwe chamani lkn asipewe nafasi ya kugombea urais. Mbowe alitumia ubabe.
Ili kuaiacha salama chadema ni vema akaachia ngazi. Goma lake la kila mwaka kuwa haondoki kwa kuwa anataka kujijenga na kukiimarisha chama limepigwa mara nyingi na limetuchosha maikioni.
Ving'ang'anizi wa madaraka ndiyo walivyo. Hata Kagame huwa anashinda kwa 98%Lakini mbona mkutano mkuu wa chama chake humchagua kwa kura zaidi ya 99%
Mbona Chadema kabla ya Mbowe ilifanya mabadiliko ya uongozi peacefully kumbuka enzi za Makani, je hakuna succession plan ingawaje CCM nao wanangojea aondoke wakiue kabisaNi kweli kafanya kazi kubwa sana kuimarisha na kuijenga chadema. Amepambana sana, apewe mauaji yake.
Hata hivyo, Mbowe ana madhaifu makubwa katika uongozi wake ambayo sasa yamekomaa na kuanza kutoa harufu mbaya mpk akina Msigwa wameshindwa kuivumilia. Madhaifu hayo nitayaeleza hapa chini.
1. Haamini katika nguvu ya kitaasisi.
Walio karibu na Mbowe wanasema Mbowe hataki kuachia uenyekiti kwasabb anaamini chadema ipo kwasabb ya uwezo wake binafsi wa kisiasa na kifedha. Haamini kuwa chadema kama taasisi inaweza kujisimamia, kujilinda na kujidumisha.
2. Mbowe ni mbabe na kigeugeu.
2021 Mbowe aliwatangazia wanachadema na watanzania kwa ujumla kuwa ifikapo 2023, ataachia uenyekiti wa chadema taifa, ili kupisha damu changa.
Pia sote tunakumbuka alivyogeuka ghafla na kumkabidhi hayati Lowasa tiketi ya chadema ya kuwania urais, mpk akajiita "Mzee wa kubadili gia angani".
Walio wengi akiwemo Sugu, Mnyika, Dr. Slaa na wengine wengi walitaka Lowasa akaribishwe chamani lkn asipewe nafasi ya kugombea urais. Mbowe alitumia ubabe.
Ili kuaiacha salama chadema ni vema akaachia ngazi. Goma lake la kila mwaka kuwa haondoki kwa kuwa anataka kujijenga na kukiimarisha chama limepigwa mara nyingi na limetuchosha maikioni.
Wakiuleta nishutue mkuuUshahidi wa hizi hoja zenu ni upi?
UKO SAHIHINi kweli kafanya kazi kubwa sana kuimarisha na kuijenga chadema. Amepambana sana, apewe mauaji yake.
Hata hivyo, Mbowe ana madhaifu makubwa katika uongozi wake ambayo sasa yamekomaa na kuanza kutoa harufu mbaya mpk akina Msigwa wameshindwa kuivumilia. Madhaifu hayo nitayaeleza hapa chini.
1. Haamini katika nguvu ya kitaasisi.
Walio karibu na Mbowe wanasema Mbowe hataki kuachia uenyekiti kwasabb anaamini chadema ipo kwasabb ya uwezo wake binafsi wa kisiasa na kifedha. Haamini kuwa chadema kama taasisi inaweza kujisimamia, kujilinda na kujidumisha.
2. Mbowe ni mbabe na kigeugeu.
2021 Mbowe aliwatangazia wanachadema na watanzania kwa ujumla kuwa ifikapo 2023, ataachia uenyekiti wa chadema taifa, ili kupisha damu changa.
Pia sote tunakumbuka alivyogeuka ghafla na kumkabidhi hayati Lowasa tiketi ya chadema ya kuwania urais, mpk akajiita "Mzee wa kubadili gia angani".
Walio wengi akiwemo Sugu, Mnyika, Dr. Slaa na wengine wengi walitaka Lowasa akaribishwe chamani lkn asipewe nafasi ya kugombea urais. Mbowe alitumia ubabe.
Ili kuaiacha salama chadema ni vema akaachia ngazi. Goma lake la kila mwaka kuwa haondoki kwa kuwa anataka kujijenga na kukiimarisha chama limepigwa mara nyingi na limetuchosha maikioni.
Hii ni hisia tu inayosambazwa na machawa wa Mbowe ili kujenga uhalali wa yeye kusalia kwenye uenyekiti. Chadema itakufaje kwa Mbowe kuachia uenyekiti? Atabaki kuwa mwanachama na mshauri wa chamaingawaje CCM nao wanangojea aondoke wakiue kabisa
Fikra za Mbowe zidumu ✊✊✊💪hata Magufuli alisema haoni mtanzania mwingine mwenye uwezo wa kuongoza nchi ndio maana alitaka kubadili katiba abaki milele kwa hiyo Mbowe wetu, CHADEMA yetu, Sumaye aliposhindwa na kukosa uongozi alirirudi CCM sio ajabu Msigwa kuunga juhudi za CCM, hata SSH hajawahi kuchukua hatua yoyote kuzuia watu wasiongelee uchaguzi wa rais kwa kuwa anatajwa yeye na yeyote anayejitokeza au kuonyesha nia njema ya kugombea anasakamwa.... Kwani wengine hawana hiyo haki ya kuongoza??? Mbowe aachwe, ni mfano wa viongozi bora kabisa TanzaniaNi kweli kafanya kazi kubwa sana kuimarisha na kuijenga chadema. Amepambana sana, apewe mauaji yake.
Hata hivyo, Mbowe ana madhaifu makubwa katika uongozi wake ambayo sasa yamekomaa na kuanza kutoa harufu mbaya mpk akina Msigwa wameshindwa kuivumilia. Madhaifu hayo nitayaeleza hapa chini.
1. Haamini katika nguvu ya kitaasisi.
Walio karibu na Mbowe wanasema Mbowe hataki kuachia uenyekiti kwasabb anaamini chadema ipo kwasabb ya uwezo wake binafsi wa kisiasa na kifedha. Haamini kuwa chadema kama taasisi inaweza kujisimamia, kujilinda na kujidumisha.
2. Mbowe ni mbabe na kigeugeu.
2021 Mbowe aliwatangazia wanachadema na watanzania kwa ujumla kuwa ifikapo 2023, ataachia uenyekiti wa chadema taifa, ili kupisha damu changa.
Pia sote tunakumbuka alivyogeuka ghafla na kumkabidhi hayati Lowasa tiketi ya chadema ya kuwania urais, mpk akajiita "Mzee wa kubadili gia angani".
Walio wengi akiwemo Sugu, Mnyika, Dr. Slaa na wengine wengi walitaka Lowasa akaribishwe chamani lkn asipewe nafasi ya kugombea urais. Mbowe alitumia ubabe.
Ili kuaiacha salama chadema ni vema akaachia ngazi. Goma lake la kila mwaka kuwa haondoki kwa kuwa anataka kujijenga na kukiimarisha chama limepigwa mara nyingi na limetuchosha maikioni.