Mbowe anastahili lawama asilimia 100 % Kwa kinachoendelea kwa demokrasia ya Tanzania na vyama pinzani

Mbowe anastahili lawama asilimia 100 % Kwa kinachoendelea kwa demokrasia ya Tanzania na vyama pinzani

The Legacy

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
5,879
Reaction score
11,318
Binafsi nilikua nawaangalia tu mlipoitwa kujadili maridhiano ambayo hamkuelezwa mmekosewa wapi. Mkajibeba mzobe mzobe na rais akaja na mziki wake mpya akawaomba muingie kucheza.

Bila aibu mkausaliti umma wa watanzania uliokua nyuma yenu na kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii kuomba haki yao ya kusikilizwa hata kama hawakuandamana.

Rais akaanza kuwachezesha Ngoma inayoitwa 4R 😂😂. Mwenyekiti nae bila aibu akasahau kuwa aliitwa gaidi siku chache tu zilizopita akaanza kulisakata rhumba.

Akatoka kwenye vipaza sauti akimsifia mwenye kiremba kuwa anauongozi mzuri na anafuta demokrasia. Picha zikapigwa na kumbukumbi za picha mjongeo zikatunzwa.

Mbowe ulisikia wapi mtawala akaja na maridhiano wakati mfumo wake wa chama ndio unaongoza nchi?

Leo nimesikia kauli ya
Binafsi sijafurahi kwa watanzania na Viongozi wa CHADEMA.

wakikamatwa bila makosa? Je ni kosa kusafiri kwenda Mbeya?
Ni kosa kufanya majadiliano na mkutano wa ndani?

Mbowe toka hadharani tuombe radhi kwa kukipeleka chama kwenye maridhiano wakati mazingira ya siasa sio rafiki
 
Binafsi nilikua nawaangalia tu mlipoitwa kujadili maridhiano ambayo hamkuelezwa mmekosewa wapi. Mkajibeba mzobe mzobe na rais akaja na mziki wake mpya akawaomba muingie kucheza.

Bila aibu mkausaliti umma wa watanzania uliokua nyuma yenu na kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii kuomba haki yao ya kusikilizwa hata kama hawakuandamana.

Rais akaanza kuwachezesha Ngoma inayoitwa 4R 😂😂. Mwenyekiti nae bila aibu akasahau kuwa aliitwa gaidi siku chache tu zilizopita akaanza kulisakata rhumba,

Akatoka kwenye vipaza sauti akimsifia mwenye kiremba kuwa anauongozi mzuri na anafuta demokrasia. Picha zikapigwa na kumbukumbi za picha mjongeo zikatunzwa.

Mbowe ulisikia wapi mtawala akaja na maridhiano wakati mfumo wake wa chama ndio unaongoza nchi?
Leo nimesikia kauli ya
Binafsi sijafurahi kwa watanzania na Viongozi wa Chadema wakikamatwa bila makosa? Je ni kosa kusafiri kwenda Mbeya?
Ni kosa kufanya majadiliano na mkutano wa ndani?

Mbowe toka hadharani tuombe radhi kwa kukipeleka chama kwenye maridhiano wakati mazingira ya siasa sio rafiki
Kwa akili yako, bila ku initaite majadilino, udikiteita wa samia asingeliufanya? Unataka kusema dictatorship ya samia root cause ni majadiriano? haya aliyoyafanya juzi ni sababu ya majadiliano?

If it were you as Mbowe, mtu anakuita kuwa njoo tuongee tuone huu mkwamo wa nyuma uliotokana na magufuli tunatokaje, ungelikataa? mwenye akili hawezi kukataa!

Now that true colors of Samia dictatorship zimejulikana, basi akiitwa akaenda tena, then tumlaumu.

MWISHO ISSUE YA JANA YA MAPOLISI ( OF COURSE WITH SAMIA''S GO AHEAD) WEWE UNGELIFANYAJE?
 
Binafsi nilikua nawaangalia tu mlipoitwa kujadili maridhiano ambayo hamkuelezwa mmekosewa wapi. Mkajibeba mzobe mzobe na rais akaja na mziki wake mpya akawaomba muingie kucheza.

Bila aibu mkausaliti umma wa watanzania uliokua nyuma yenu na kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii kuomba haki yao ya kusikilizwa hata kama hawakuandamana.

Rais akaanza kuwachezesha Ngoma inayoitwa 4R 😂😂. Mwenyekiti nae bila aibu akasahau kuwa aliitwa gaidi siku chache tu zilizopita akaanza kulisakata rhumba,

Akatoka kwenye vipaza sauti akimsifia mwenye kiremba kuwa anauongozi mzuri na anafuta demokrasia. Picha zikapigwa na kumbukumbi za picha mjongeo zikatunzwa.

Mbowe ulisikia wapi mtawala akaja na maridhiano wakati mfumo wake wa chama ndio unaongoza nchi?
Leo nimesikia kauli ya
Binafsi sijafurahi kwa watanzania na Viongozi wa Chadema wakikamatwa bila makosa? Je ni kosa kusafiri kwenda Mbeya?
Ni kosa kufanya majadiliano na mkutano wa ndani?

Mbowe toka hadharani tuombe radhi kwa kukipeleka chama kwenye maridhiano wakati mazingira ya siasa sio rafiki
Mbowe alaumiwe kwa lipi?Kila mmoja anayeona mambo asiyoyapenda amefanya nini kuonesha hapendi?Lawama,lawama,lawama tuuu huku umeshika simu umebweteka!
 
Kwa akili yako, bila ku initaite majadilino, udikiteita wa samia asingeliufanya? Unataka kusema dictatorship ya samia root cause ni majadiriano? haya aliyoyafanya juzi ni sababu ya majadiliano?

If it were you as Mbowe, mtu anakuita kuwa njoo tuongee tuone huu mkwamo wa nyuma uliotokana na magufuli tunatokaje, ungelikataa? mwenye akili hawezi kukataa!

ow that true colors of Samia dictatorship zimejulikana, basi akiitwa akaenda tena, then tumlaumu.

MWISHO ISSUE YA JANA YA MAPOLISI ( OF COURSE WITH SAMIA GO AHEAD) WEWE UNGELIFANYAJE?
Bonge la jibu. Umemaliza Retired .
 
Police wameingia cha kike
IMG-20240813-WA0005.jpg
IMG-20240813-WA0004.jpg
IMG-20240813-WA0003.jpg
 
Binafsi nilikua nawaangalia tu mlipoitwa kujadili maridhiano ambayo hamkuelezwa mmekosewa wapi. Mkajibeba mzobe mzobe na rais akaja na mziki wake mpya akawaomba muingie kucheza.

Bila aibu mkausaliti umma wa watanzania uliokua nyuma yenu na kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii kuomba haki yao ya kusikilizwa hata kama hawakuandamana.

Rais akaanza kuwachezesha Ngoma inayoitwa 4R 😂😂. Mwenyekiti nae bila aibu akasahau kuwa aliitwa gaidi siku chache tu zilizopita akaanza kulisakata rhumba.

Akatoka kwenye vipaza sauti akimsifia mwenye kiremba kuwa anauongozi mzuri na anafuta demokrasia. Picha zikapigwa na kumbukumbi za picha mjongeo zikatunzwa.

Mbowe ulisikia wapi mtawala akaja na maridhiano wakati mfumo wake wa chama ndio unaongoza nchi?

Leo nimesikia kauli ya
Binafsi sijafurahi kwa watanzania na Viongozi wa CHADEMA.

wakikamatwa bila makosa? Je ni kosa kusafiri kwenda Mbeya?
Ni kosa kufanya majadiliano na mkutano wa ndani?

Mbowe toka hadharani tuombe radhi kwa kukipeleka chama kwenye maridhiano wakati mazingira ya siasa sio rafiki
Mimi nafikiri tusijifiche kwenye kichaka cha kumlaumu Mbowe unless una agenda yako nyingine. Maridhiano yaliachwa muda mrefu miaka 2 na kuendelea na direction mpya. Tuzungumzie hali halisi ya kisiasa nchini na nani anayeisababisha,kama ni CCM tuseme au kama ni polisi,au kama ni udhaifu wa mfumo na katiba au gawa uwatawale, au udhaifu wa upinzani nchini ,lets be analytical. Mnaong'hag'hania Mbowe ni kukosa hoja,akina Marwa wa sauti ya watanzania,wavurugaji tu wa Chama hicho. Nendeni kwenye hoja za msingi msijifiche kwenye hoja dhaifu. Ni uchovu wa kufikiri na kushikiria chuki binafsi hamtafika popote.
 
Binafsi nilikua nawaangalia tu mlipoitwa kujadili maridhiano ambayo hamkuelezwa mmekosewa wapi. Mkajibeba mzobe mzobe na rais akaja na mziki wake mpya akawaomba muingie kucheza.

Bila aibu mkausaliti umma wa watanzania uliokua nyuma yenu na kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii kuomba haki yao ya kusikilizwa hata kama hawakuandamana.

Rais akaanza kuwachezesha Ngoma inayoitwa 4R 😂😂. Mwenyekiti nae bila aibu akasahau kuwa aliitwa gaidi siku chache tu zilizopita akaanza kulisakata rhumba.

Akatoka kwenye vipaza sauti akimsifia mwenye kiremba kuwa anauongozi mzuri na anafuta demokrasia. Picha zikapigwa na kumbukumbi za picha mjongeo zikatunzwa.

Mbowe ulisikia wapi mtawala akaja na maridhiano wakati mfumo wake wa chama ndio unaongoza nchi?

Leo nimesikia kauli ya
Binafsi sijafurahi kwa watanzania na Viongozi wa CHADEMA.

wakikamatwa bila makosa? Je ni kosa kusafiri kwenda Mbeya?
Ni kosa kufanya majadiliano na mkutano wa ndani?

Mbowe toka hadharani tuombe radhi kwa kukipeleka chama kwenye maridhiano wakati mazingira ya siasa sio rafiki
Kwa mtazamo wangu kila event inatakiwa liwe treated individually. Kufuta kesi ya ugaidi, kuondoa katazo la maandamano na mikutano (ambalo ni haki) na kutowabugudhi wapinzani waliokimbilia nje ya nchi kwa hofu ya kudhuliwa, haya yote ilikuwa ni sahihi kwa kiongozi wa upinzani kumshukuru kiongozi wa nchi. Hizi ni events zinazojitegemea.

Sasa kama huyo huyo aliyefanya mazuri amekuja kubadilika na kurudisha hali iliyokuwapo kabla, haina maana kwamba haitawezekana kumwambia aache na kulaani haya, maana hii ni event nyingine tofauti.

Kwangu mimi Mbowe alikuwa sahihi kushukuru kwa jambo lile, na atakuwa sahihi kukemea haya ya sasa
 
Binafsi nilikua nawaangalia tu mlipoitwa kujadili maridhiano ambayo hamkuelezwa mmekosewa wapi. Mkajibeba mzobe mzobe na rais akaja na mziki wake mpya akawaomba muingie kucheza.

Bila aibu mkausaliti umma wa watanzania uliokua nyuma yenu na kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii kuomba haki yao ya kusikilizwa hata kama hawakuandamana.

Rais akaanza kuwachezesha Ngoma inayoitwa 4R 😂😂. Mwenyekiti nae bila aibu akasahau kuwa aliitwa gaidi siku chache tu zilizopita akaanza kulisakata rhumba.

Akatoka kwenye vipaza sauti akimsifia mwenye kiremba kuwa anauongozi mzuri na anafuta demokrasia. Picha zikapigwa na kumbukumbi za picha mjongeo zikatunzwa.

Mbowe ulisikia wapi mtawala akaja na maridhiano wakati mfumo wake wa chama ndio unaongoza nchi?

Leo nimesikia kauli ya
Binafsi sijafurahi kwa watanzania na Viongozi wa CHADEMA.

wakikamatwa bila makosa? Je ni kosa kusafiri kwenda Mbeya?
Ni kosa kufanya majadiliano na mkutano wa ndani?

Mbowe toka hadharani tuombe radhi kwa kukipeleka chama kwenye maridhiano wakati mazingira ya siasa sio rafiki
Hatutapiga hatua ya kisiasa kama nchi kama tutakuwa tunawategemea viongozi wa upinzani kuwa ndio wasemaji wetu wa kila kitu katika masuala ya siasa na uongozi. Kama kuna jambo haviendi sawa, ni hukumu la kila mmoja kukosoa na kushauri. Watanzania wengi wanatabia za kujificha nyuma za watu katika kutoa maoni ili kupima upepo.
 
Binafsi nilikua nawaangalia tu mlipoitwa kujadili maridhiano ambayo hamkuelezwa mmekosewa wapi. Mkajibeba mzobe mzobe na rais akaja na mziki wake mpya akawaomba muingie kucheza.

Bila aibu mkausaliti umma wa watanzania uliokua nyuma yenu na kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii kuomba haki yao ya kusikilizwa hata kama hawakuandamana.

Rais akaanza kuwachezesha Ngoma inayoitwa 4R 😂😂. Mwenyekiti nae bila aibu akasahau kuwa aliitwa gaidi siku chache tu zilizopita akaanza kulisakata rhumba.

Akatoka kwenye vipaza sauti akimsifia mwenye kiremba kuwa anauongozi mzuri na anafuta demokrasia. Picha zikapigwa na kumbukumbi za picha mjongeo zikatunzwa.

Mbowe ulisikia wapi mtawala akaja na maridhiano wakati mfumo wake wa chama ndio unaongoza nchi?

Leo nimesikia kauli ya
Binafsi sijafurahi kwa watanzania na Viongozi wa CHADEMA.

wakikamatwa bila makosa? Je ni kosa kusafiri kwenda Mbeya?
Ni kosa kufanya majadiliano na mkutano wa ndani?

Mbowe toka hadharani tuombe radhi kwa kukipeleka chama kwenye maridhiano wakati mazingira ya siasa sio rafiki
Sio mda wa kulamikiana na mtu apa , wewe umeifanyia nini nchi hii na wananchi wake
 
Mimi nafikiri tusijifiche kwenye kichaka cha kumlaumu Mbowe unless una agenda yako nyingine. Maridhiano yaliachwa muda mrefu miaka 2 na kuendelea na direction mpya. Tuzungumzie hali halisi ya kisiasa nchini na nani anayeisababisha,kama ni CCM tuseme au kama ni polisi,au kama ni udhaifu wa mfumo na katiba au gawa uwatawale, au udhaifu wa upinzani nchini ,lets be analytical. Mnaong'hag'hania Mbowe ni kukosa hoja,akina Marwa wa sauti ya watanzania,wavurugaji tu wa Chama hicho. Nendeni kwenye hoja za msingi msijifiche kwenye hoja dhaifu. Ni uchovu wa kufikiri na kushikiria chuki binafsi hamtafika popote.
Mbowe na chadema na upinzani wote na polisi na ccm ni kitu kimoja kwenye kuhujumu nchi. Kwa sasa tanzania hakuna upinzani na mbowe kala njama na samia kwenye makubaliano yao kuwa wasiruhusu usajili wa chama kipya ni moja ya vitu wanavyo kubaliana hata sasa kati ya mbowe na samia ...lengo la mbowe ni kulazimisha watu kuitilia maanani chadema iliyo mfu kwa kukosa mbadala wa chama cha siasa huu uhuni wa mbowe na samia wa kukubaliana kutokusajili chama kipya ni sawa na uhuni wa ccm kuchapa form moja ya mgombea urais ndani ya ccm kwa kujua kuwa huyu aliyopo watu wanamchukia hivyo watumie mbinu za kufosi.
 
Mimi nafikiri tusijifiche kwenye kichaka cha kumlaumu Mbowe unless una agenda yako nyingine. Maridhiano yaliachwa muda mrefu miaka 2 na kuendelea na direction mpya. Tuzungumzie hali halisi ya kisiasa nchini na nani anayeisababisha,kama ni CCM tuseme au kama ni polisi,au kama ni udhaifu wa mfumo na katiba au gawa uwatawale, au udhaifu wa upinzani nchini ,lets be analytical. Mnaong'hag'hania Mbowe ni kukosa hoja,akina Marwa wa sauti ya watanzania,wavurugaji tu wa Chama hicho. Nendeni kwenye hoja za msingi msijifiche kwenye hoja dhaifu. Ni uchovu wa kufikiri na kushikiria chuki binafsi hamtafika popote.
Mbowe ni tatizo!! Kelele za Rushwa amezikalia kimya wakati yeye ndiye kiongozi Mkuu. Mbowe ni tatizo hastahili kuaminiwa tena!!
 
Hatusomi kwa yaliyotokea kwengine. Na wala si mbali. CUF waliingizwa ngoma iitwayo muafaka. Ikaandikwa kwenye katiba yao. Cheo cha Makamo wa kwanza wa raisi kikaundwa mahsusi wakilengwa wapinzani.

Mfumo umebaki wa kuhakikisha CCM haiondoki madarakani. Makamo wa raisi no kibogoyo asiyeweza kutoa maagizo yoyote. Ni kupita na misafara tu. Inashangaza ni vipi walikubali viraka vya katiba vya aina ile.
 
Binafsi nilikua nawaangalia tu mlipoitwa kujadili maridhiano ambayo hamkuelezwa mmekosewa wapi. Mkajibeba mzobe mzobe na rais akaja na mziki wake mpya akawaomba muingie kucheza.

Bila aibu mkausaliti umma wa watanzania uliokua nyuma yenu na kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii kuomba haki yao ya kusikilizwa hata kama hawakuandamana.

Rais akaanza kuwachezesha Ngoma inayoitwa 4R 😂😂. Mwenyekiti nae bila aibu akasahau kuwa aliitwa gaidi siku chache tu zilizopita akaanza kulisakata rhumba.

Akatoka kwenye vipaza sauti akimsifia mwenye kiremba kuwa anauongozi mzuri na anafuta demokrasia. Picha zikapigwa na kumbukumbi za picha mjongeo zikatunzwa.

Mbowe ulisikia wapi mtawala akaja na maridhiano wakati mfumo wake wa chama ndio unaongoza nchi?

Leo nimesikia kauli ya
Binafsi sijafurahi kwa watanzania na Viongozi wa CHADEMA.

wakikamatwa bila makosa? Je ni kosa kusafiri kwenda Mbeya?
Ni kosa kufanya majadiliano na mkutano wa ndani?

Mbowe toka hadharani tuombe radhi kwa kukipeleka chama kwenye maridhiano wakati mazingira ya siasa sio rafiki
Wewe unafikiri vibaya jilaumu wewe mwenyewe kwa kutoshiriki mapambano dhidi ya udhalimu wa CCM.
 
Kwa mtazamo wangu kila event inatakiwa liwe treated individually. Kufuta kesi ya ugaidi, kuondoa katazo la maandamano na mikutano (ambalo ni haki) na kutowabugudhi wapinzani waliokimbilia nje ya nchi kwa hofu ya kudhuliwa, haya yote ilikuwa ni sahihi kwa kiongozi wa upinzani kumshukuru kiongozi wa nchi. Hizi ni events zinazojitegemea.

Sasa kama huyo huyo aliyefanya mazuri amekuja kubadilika na kurudisha hali iliyokuwapo kabla, haina maana kwamba haitawezekana kumwambia aache na kulaani haya, maana hii ni event nyingine tofauti.

Kwangu mimi Mbowe alikuwa sahihi kushukuru kwa jambo lile, na atakuwa sahihi kukemea haya ya sasa
Mjomba haki haiombwi,nakumbuka tukichanga sana Enzi zile jamaa wanawekwa ndani..

Ukishukuru kupewa haki yako unaruhusu kupewa kwa kipimo.
Samia alishaingia boxi sababu hata kutoka nje ya nchi kukopa alikua hawezi.
 
Mbowe alaumiwe kwa lipi?Kila mmoja anayeona mambo asiyoyapenda amefanya nini kuonesha hapendi?Lawama,lawama,lawama tuuu huku umeshika simu umebweteka!
Baba ndubwi ninshida

Siku alipompokea EL ndio siku niliamini pesa can undress a wise man to the core

Baba tena credibiliry

Ni kiongozi wa ruzuku na posho
 
Sio mda wa kulamikiana na mtu apa , wewe umeifanyia nini nchi hii na wananchi wake
Mzee mimi nimechanga sana kusapoti Chama changu Chadema.
Mama yangu ni CCM lakini nimemfichia kichinjio Mara kadhaa Asiende kuv.. hao wazalimu.
 
Binafsi nilikua nawaangalia tu mlipoitwa kujadili maridhiano ambayo hamkuelezwa mmekosewa wapi. Mkajibeba mzobe mzobe na rais akaja na mziki wake mpya akawaomba muingie kucheza.

Bila aibu mkausaliti umma wa watanzania uliokua nyuma yenu na kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii kuomba haki yao ya kusikilizwa hata kama hawakuandamana.

Rais akaanza kuwachezesha Ngoma inayoitwa 4R 😂😂. Mwenyekiti nae bila aibu akasahau kuwa aliitwa gaidi siku chache tu zilizopita akaanza kulisakata rhumba.

Akatoka kwenye vipaza sauti akimsifia mwenye kiremba kuwa anauongozi mzuri na anafuta demokrasia. Picha zikapigwa na kumbukumbi za picha mjongeo zikatunzwa.

Mbowe ulisikia wapi mtawala akaja na maridhiano wakati mfumo wake wa chama ndio unaongoza nchi?

Leo nimesikia kauli ya
Binafsi sijafurahi kwa watanzania na Viongozi wa CHADEMA.

wakikamatwa bila makosa? Je ni kosa kusafiri kwenda Mbeya?
Ni kosa kufanya majadiliano na mkutano wa ndani?

Mbowe toka hadharani tuombe radhi kwa kukipeleka chama kwenye maridhiano wakati mazingira ya siasa sio rafiki
Chaula ndiyo kawaponza, siri inahofia Gen-Z kuanzia Mbeya na kusambaa. Si unajua pia TLS na ile list, so wamestukia game. Ila moto ulikuwa unaenda kuwaka mkali sana.
 
je ruzuku na posho azikate na inatolewa kwa mujibu wa sheria na kanuni. Hujui serikali inavyofanya kazi. usiwatoe watu kwenye ajenda muhimu ya ukamataji,utekaji,ajira, maisha magumu na katiba. achana na Mbowe. Anzisha chama chako uwe Mwenyekiti. chuki binafsi. laumu mfumo siyo personality
 
Back
Top Bottom