Mbowe anastahili lawama asilimia 100 % Kwa kinachoendelea kwa demokrasia ya Tanzania na vyama pinzani

Chaula ndiyo kawaponza, siri inahofia Gen-Z kuanzia Mbeya na kusambaa. Si unajua pia TLS na ile list, so wamestukia game. Ila moto ulikuwa unaenda kuwaka mkali sana.
Bado kitamuwakia tu huyu Maza
 
Sikatai maoni yako,ila lazima kujifunza tulipojikwaa,
 
nikijuacho ni kwamba Rais hajawatuma mapolisi kufanya walichokifanya. ni mapolisi tu yanajipendekeza kwa watawala wanasiasa, na mengine yanatafuta u IGP. Mapolisi yanajipendekeza kijinga bila kujua yanamharibia Rais.
 
nikijuacho ni kwamba Rais hajawatuma mapolisi kufanya walichokifanya. ni mapolisi tu yanajipendekeza kwa watawala wanasiasa, na mengine yanatafuta u IGP. Mapolisi yanajipendekeza kijinga bila kujua yanamharibia Rais.
Amini usiamini,Rais anafaham hili na amekaa kimyaa.Maana yake amelibariki.
Ni uoga kuwazuia watu wasiende Mbeya.
Ajabu Mwenyekiti wangu anatolewa Selo kwa kauli ya Katibu mkuu.
 
Hivi nyie mnasahau mapema sana sio?Akiwa madarakani Samia anahojiwa na Kikeke BBC akakiri kuwa Mbowe ni gaidi na alienda Kenya kujificha sijui na maneno gani.

Huku tuko street tunachanga waliokamatwa watoke,mzee Mbowe anaenda straight Ikulu kujadili Nini na mtu aliemuita Gaidi.

Lisu mbona alihoji haya mapema lakini Mbowe akaenda kwa Utashi wake.

Angekomaa hakuna maridhiano kama katiba ya Nchi ni ile ile.
Na niwaambie hizi sio Rangi za Samia ni Rangi za CCM,So alieko CCM haaminiki na asiaminiwe.

Inaendaje kwenye maridhiano ukiwa Hujui ulikosewa wapi,Vipi mashtaka yako ya Ugaidi.
 
Alienda kwenye maridhiano kwa maamuzi yakikao kipi cha Chama,ni mtu asie na akili atamtetea Mbowe kwa hili Ndio maana anaishia kujiinamia.

Ana mengi mazuri sana kama Kiongozi wangu lakini kwa Hili amekosea sanaa
 
NI KAMA UNAMPIGIA MBUZI GITAA TUH,MBOWE MWENYEWE NI DOUBLE AGENT ANAKULA HUKU NA HUKU,TOO BAD WEWE UNADHANI ANAWEZA KUWA MPIGANIA HAKI ZAKO,STUKA..!!
 
ACT,CCM ama kwingine kunakofanana na huko ndiko kwako.Wewe ni mmwaga sumu huna lolote.
 
You need proof kuwa she was well informed kua Mbowe si gaidi ila na akaamua kumtesa, tumtese tu....! It might be and most likely so, Samia aliambiwa kuwa Mbowe ni gaidi, na kwa vile Samia si mtu wa kutumia akili zake, deep thinking, ni iyo ngekewa ya kufika hapa alipo and being a lady! Akikuita kuwa njoo tuongee, kama unafikiri kwa kina kwa siasa za afrika, huwezi kukataa. msikilize, then from there utaamua!

Hata sasa wamekamatwa viongozi wote wa chadema.... Think of this, Samia akisema Mbowe na Uongozi wako wa juu, njoo tuongee kuhusu haya yaliyowapata.... utaenda au hutakwenda?

Mimi nitakwenda kumsikiliza na kutoa yaliyo moyoni mwangu bila kificho........ kwa ujeuri na ustadi mkubwa!

Let discuss
 
Kwahiyo mtu akikuita kwamba kuna mambo yanatakiwa yafanyike ili tuishi Kwa amani yaani Kwa mjibu wa Sheria ukaenda ni vibaya? Uchaguzi huru sawa, mikutano iendelee sawa, tutii katiba hata hii mbovu wakati tunaandaa katiba nyingine sawa, tuache lugha za matusi tuwe na siasa za kistaarabu sawa nk nk nk. Kakosea wapi? Kwanini usimlaumu aliyepindua 4R? Sometimes mnatukera mada nyingine sisi siyo watoto. Tunahitaji amani yetu, ya watoto wetu na wajukuu pia.
 
Spot on!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…