Mbowe anaungwa mkono na Wajumbe wapiga kura wengi ndani ya CHADEMA, Lissu anaungwa mkono na umati mkubwa wa wapiga kelele

Mbowe anaungwa mkono na Wajumbe wapiga kura wengi ndani ya CHADEMA, Lissu anaungwa mkono na umati mkubwa wa wapiga kelele

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Friends, ladies and gentlemen.

Kwa kifupi kabisa, ukipima kwa jicho la rohoni kabisa, numbers of votes zinamfavor chairman Mbowe, huku useless mass popularity ikimfavor vice chairman Lisu, ikiwa uchaguzi wa ndani wa chadema utafanyika mwaka huu 2024 au 2025.

There is no way Lissu can beat Mbowe in the ballot box, because Mbowe has real numbers, than Lisu has.

Uchaguzi ni mchakato unaozingatia na kutegemea zaidi numbers kwa washindani ili kushinda.

Ni dhahiri kanda za Pwani, Nyasa, Victoria na Kaskazini ni ngome imara za mwenyekiti wa sasa wa chadema Taifa, na tayari katika ujumla wake zimejipambanua kumuunga mkono.

Kanda ya kati, nadhani sote tunafahamu uhasama kati ya Lissu na Kigaila. Ni majirani wasioelewana hawa.Tuchukulie kanda hiyo itakua imegawanyika.

Kanda ya Viktoria kwa kamanda Ezekia Wenje, kama kawaida Taifa zima linafahamu, huyo ndie makamu mwenyekiti wa chadema Taifa ajae, ambae pia anamuunga mkono Dr. Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa chadema Taifa.

Nguvu ya Ezekia Wenje kisiasa ndani ya chadema, imemlazimisha na kumtoa mtu maarufu sana ulingoni kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa chama Taifa.

Kanda za Serengeti, Magharibi, Kusini n.k ni kama wanatafuta platforms na namna ya kujipambanua wako upande wa Mbowe au Lisu.

Kwa ujumla, mizizi ya mwenyekiti wa chadema Taifa wa sasa ni mirefu, imara na imejikita sana ndani ya chadema. Kuing’oa yahitajika mipango mikakati ya kisayansi, Lakini pia nguvu, bongo kali, ushawishi wa hali na mali na jitihada za ziada. Asilimia kubwa ya viongozi wa chadema wa kanda, mikoa na wilaya wanatokana na mapendekezo na baraka za mwenyekiti wa chadema wa sasa.

Kwa maoni na mtazamo wako kisiasa, kati ya kanda 10 za kiutawala zilizopo chadema, unadhani ni kanda zipi zinanaweza kuunga mkono azma ya Tundu Lisu kua mwenyekiti wa chadema Taifa badala ya Freeman Mbowe?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
 
Friends, ladies and gentlemen.

kwa kifupi kabisa,
ukipima kwa jicho la rohoni kabisa, numbers of votes zinamfavor chairman Mbowe, huku useless mass popularity ikimfavor vice chairman Lisu, ikiwa uchaguzi wa ndani wa chadema utafanyika mwaka huu 2024 au 2025.
There is no way Lisu can beat Mbowe in the ballot box, because Mbowe has real numbers, than Lisu has.

Uchaguzi ni mchakato unaozingatia na kutegemea zaidi numbers kwa washindani ili kushinda.

Ni dhahiri kanda za Pwani, Nyasa, Victoria na Kaskazini ni ngome imara za mwenyekiti wa sasa wa chadema Taifa, na tayari katika ujumla wake zimejipambanua kumuunga mkono.

Kanda ya kati,
nadhani sote tunafahamu uhasama kati ya Lisu na Kigaila. Ni majirani wasioelewana hawa.Tuchukulie kanda hiyo itakua imegawanyika.

Kanda ya Viktoria kwa kamanda Ezekia Wenje, kama kawaida Taifa zima linafahamu, huyo ndie makamu mwenyekiti wa chadema Taifa ajae, ambae pia anamuunga mkono Dr.Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa chadema Taifa.

Nguvu ya Ezekia Wenje kisiasa ndani ya chadema, imemlazimisha na kumtoa mtu maarufu sana ulingoni kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa chama Taifa.

Kanda za Serengeti, Magharibi, Kusini n.k ni kama wanatafuta platforms na namna ya kujipambanua wako upande wa Mbowe au Lisu.

Kwa ujumla,
mizizi ya mwenyekiti wa chadema Taifa wa sasa ni mirefu, imara na imejikita sana ndani ya chadema. Kuing"oa yahitajika mipango mikakati ya kisayansi, Lakini pia nguvu, bongo kali, ushawishi wa hali na mali na jitihada za ziada. Asilimia kubwa ya viongozi wa chadema wa kanda, mikoa na wilaya wanatokana na mapendekezo na baraka za mwenyekiti wa chadema wa sasa.

Kwa maoni na mtazamo wako kisiasa, kati ya kanda 10 za kiutawala zilizopo chadema, unadhani ni kanda zipi zinanaweza kuunga mkono azma ya Tundu Lisu kua mwenyekiti wa chadema Taifa badala ya Freeman Mbowe?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Machawa ya mzee Mbowe hayana hata aibu ,hivi jaribuni kuweka wasifu wa msomi Lissu na wasifu wa mzee Mbowe ndio mtajua kuwa makelele yote mnayorushia Lissu ni kwa ajili ya jambo moja tu, Lissu ni mkuwbwa mno kwa mzee Mbowe kwa Fikra ,mawazo na akili kwa ujumla .Acheni uwoga jamani ,kama mnavyojiita cham cha demokrasia ni wakati wa kuthitisheni hilo na si porojo.
 
Friends, ladies and gentlemen.

kwa kifupi kabisa,
ukipima kwa jicho la rohoni kabisa, numbers of votes zinamfavor chairman Mbowe, huku useless mass popularity ikimfavor vice chairman Lisu, ikiwa uchaguzi wa ndani wa chadema utafanyika mwaka huu 2024 au 2025.
There is no way Lisu can beat Mbowe in the ballot box, because Mbowe has real numbers, than Lisu has.

Uchaguzi ni mchakato unaozingatia na kutegemea zaidi numbers kwa washindani ili kushinda.

Ni dhahiri kanda za Pwani, Nyasa, Victoria na Kaskazini ni ngome imara za mwenyekiti wa sasa wa chadema Taifa, na tayari katika ujumla wake zimejipambanua kumuunga mkono.

Kanda ya kati,
nadhani sote tunafahamu uhasama kati ya Lisu na Kigaila. Ni majirani wasioelewana hawa.Tuchukulie kanda hiyo itakua imegawanyika.

Kanda ya Viktoria kwa kamanda Ezekia Wenje, kama kawaida Taifa zima linafahamu, huyo ndie makamu mwenyekiti wa chadema Taifa ajae, ambae pia anamuunga mkono Dr.Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa chadema Taifa.

Nguvu ya Ezekia Wenje kisiasa ndani ya chadema, imemlazimisha na kumtoa mtu maarufu sana ulingoni kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa chama Taifa.

Kanda za Serengeti, Magharibi, Kusini n.k ni kama wanatafuta platforms na namna ya kujipambanua wako upande wa Mbowe au Lisu.

Kwa ujumla,
mizizi ya mwenyekiti wa chadema Taifa wa sasa ni mirefu, imara na imejikita sana ndani ya chadema. Kuing"oa yahitajika mipango mikakati ya kisayansi, Lakini pia nguvu, bongo kali, ushawishi wa hali na mali na jitihada za ziada. Asilimia kubwa ya viongozi wa chadema wa kanda, mikoa na wilaya wanatokana na mapendekezo na baraka za mwenyekiti wa chadema wa sasa.

Kwa maoni na mtazamo wako kisiasa, kati ya kanda 10 za kiutawala zilizopo chadema, unadhani ni kanda zipi zinanaweza kuunga mkono azma ya Tundu Lisu kua mwenyekiti wa chadema Taifa badala ya Freeman Mbowe?🐒

Mungu Ibarki Tanzania

Hahaha chawa uvccm anajua undani wa chadema ati!
 
Machawa ya mzee Mbowe hayana hata aibu ,hivi jaribuni kuweka wasifu wa msomi Lissu na wasifu wa mzee Mbowe ndio mtajua kuwa makelele yote mnayorushia Lissu ni kwa ajili ya jambo moja tu, Lissu ni mkuwbwa mno kwa mzee Mbowe kwa Fikra ,mawazo na akili kwa ujumla .Acheni uwoga jamani ,kama mnavyojiita cham cha demokrasia ni wakati wa kuthitisheni hilo na si porojo.
Gentleman,
elewa somo basi sio kukurupuka na mihemko tu.

elections is all about numbers. where are numbers for Lisu miongoni mwa kanda 10 za kiutawala chadema?

atapata sapoti ya kura kutoka kwa wajumbe wa kanda ipi kwa mfano?

wasifu na kutia huruma ati alipigwa risasi vitasaidia nini na hana numbers za wajumbe kushinda uchaguzi?

Mbowe mpaka sasa ana kanda4, kibindoni uchaguzi ufanyike leo au mwakani anayo full support, mathalan kanda ya Pwani, Kaskazini, Victoria na Nyasa.

Na ili ushinde uchaguzi wa ndani wa chadema Taifa ni muhimu kua na sapoti ya kanda zisizo pungua 7, Je Lisu ana uhakika wa kanda hata moja gentleman, hata uje na wasifu?

mambo ya wasifu si ni kwenye mazishi?🐒
 
Friends, ladies and gentlemen.

kwa kifupi kabisa,
ukipima kwa jicho la rohoni kabisa, numbers of votes zinamfavor chairman Mbowe, huku useless mass popularity ikimfavor vice chairman Lisu, ikiwa uchaguzi wa ndani wa chadema utafanyika mwaka huu 2024 au 2025.
There is no way Lisu can beat Mbowe in the ballot box, because Mbowe has real numbers, than Lisu has.

Uchaguzi ni mchakato unaozingatia na kutegemea zaidi numbers kwa washindani ili kushinda.

Ni dhahiri kanda za Pwani, Nyasa, Victoria na Kaskazini ni ngome imara za mwenyekiti wa sasa wa chadema Taifa, na tayari katika ujumla wake zimejipambanua kumuunga mkono.

Kanda ya kati,
nadhani sote tunafahamu uhasama kati ya Lisu na Kigaila. Ni majirani wasioelewana hawa.Tuchukulie kanda hiyo itakua imegawanyika.

Kanda ya Viktoria kwa kamanda Ezekia Wenje, kama kawaida Taifa zima linafahamu, huyo ndie makamu mwenyekiti wa chadema Taifa ajae, ambae pia anamuunga mkono Dr.Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa chadema Taifa.

Nguvu ya Ezekia Wenje kisiasa ndani ya chadema, imemlazimisha na kumtoa mtu maarufu sana ulingoni kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa chama Taifa.

Kanda za Serengeti, Magharibi, Kusini n.k ni kama wanatafuta platforms na namna ya kujipambanua wako upande wa Mbowe au Lisu.

Kwa ujumla,
mizizi ya mwenyekiti wa chadema Taifa wa sasa ni mirefu, imara na imejikita sana ndani ya chadema. Kuing"oa yahitajika mipango mikakati ya kisayansi, Lakini pia nguvu, bongo kali, ushawishi wa hali na mali na jitihada za ziada. Asilimia kubwa ya viongozi wa chadema wa kanda, mikoa na wilaya wanatokana na mapendekezo na baraka za mwenyekiti wa chadema wa sasa.

Kwa maoni na mtazamo wako kisiasa, kati ya kanda 10 za kiutawala zilizopo chadema, unadhani ni kanda zipi zinanaweza kuunga mkono azma ya Tundu Lisu kua mwenyekiti wa chadema Taifa badala ya Freeman Mbowe?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Mwaka huu utapata tabu sana
 
Mambo yao waachie wenyewe
Gentleman,
kama mbobevu muandamizi wa masuala ya siasa za vyama vya siasa siwezi kuthubutu kuacha mambo haya hata kwa sekunde moja,

kwasasababu ndiyo taaluma yangu.

umenifanya nikumbuke kuna taarabu moja ina maneno haya, nanukuu,

"sina pressure kwenye taaluma yangu, nakula maisha silali njaa wenzangu"

mwisho wa kunukuu wimbo huo 🐒
 
Gentleman,
Ngoma inapigwa Chadema lakini viuno na unenguaji vipo CCM🤣🤣 gentleman, gentleman. Hii imekaaje?
Gentleman,
hii inadhirisha bayana kwamba, Lisu has no numbers, compared to Mbowe in wining the support of delegates to clinch the seat of mwenyekiti wa Chadema Taifa 🐒
 
pale ambapo mwana lumumba anajipa cheo cha uchambuzi katika uchaguzi wa chama cha upinzani
haya mambo ni wanasiasa na wanadipomasia waandamizi pekee wanaweza kufanya gentleman..

kwingineko ni useless tu.

so,
usiondoke jukwaani, mengi zaidi yanakuja, but Lisu has completely no numbers to beat Mbowe in the ballot for the national chairmanship of Chadema 🐒
 
Nimegundua CCM wanamwogopa sana Tundu Lissu
Binafsi namuonea huruma kuamua kuonja sumu kwa ulimi kwa mbwembe na majigambo ya kiwango cha juu mno, huku akiwa hana support ya numbers kumfanya ashinde uchaguzi ndani ya chadema.

Hebu tukumbushane kiungwana gentleman, ni kanda gani ya kiutawala ina sapoti azma ya Tundu Lisu kugombea nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa?

kanda za Viktoria, Pwani, Nyasa na Kaskazini tayari zinamsapoti Mbowe 🐒
 
pale ambapo mwana lumumba anajipa cheo cha uchambuzi katika uchaguzi wa chama cha upinzani
Huyu sio Lumumba hujaona hao ni watukanaji wa Mbowe huyu ni Ntobi kabisa ndio ana kiingereza chake design hiyo hajui verb inakaa wapi na Noun wala adjective yeye anakobela kokote!
Nyie chadema ndio mnaenda kuwa TLP hamuepuki hilo!! You are done and dsted!!! Mbowe sio mpinzani hata yeye anajua na kwa jinsi hali ilivyo kila aliejitoleza kutaka mawazo mapya Alitoka chadema historia ya hilo ni ndefu...
Tukija kwenye uhalisia wewe Ntobi pale shinyanga unaweza kuita mkutano wa hadhara ukapata watu 20??? Wewe??? Wakusikilize eti mkiti wa mkoa my shiit!! Llakini unatukana mtu kama Lisu..
 
Binafsi namuonea huruma kuamua kuonja sumu kwa ulimi kwa mbwembe na majigambo ya kiwango cha juu mno, huku akiwa hana support ya numbers kumfanya ashinde uchaguzi ndani ya chadema.

Hebu tukumbushane kiungwana gentleman, ni kanda gani ya kiutawala ina sapoti azma ya Tundu Lisu kugombea nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa?

kanda za Viktoria, Pwani, Nyasa na Kaskazini tayari zinamsapoti Mbowe 🐒

Hahah eti unamuonea huruma!😛

OK suppose kashindwa kwa kura unafikiri maisha yake yatasimama? Atabaki Lissu (Simba) na maisha yataendelea jionee huruma mwenyewe unayetegemea kula kwa uchawa na siasa! Simba hana shaka, kwanza chadema haimpi hata mshahara, anapambania WITO wake tu. Na hata akishindwa, ile lecture imesikika nchi nzima hata ccm (kubwa lao sio uvccm) wamejifunza, mwangwi wa lile somo utaleta mabadiliko makubwa kila mahali! Wakati ni ukuta tusubiri na tuone.

Ile ilikua sio tu kutia nia ila ni lecture ya mwaka! hata mama yetu alikaa chini kupata somo, alishamsahau Simba na darasa lake tangu bunge la katiba (kama ulikua ushakomaa) na sasa kasema dah, huyu bwana bado ni yuleyule
 
Back
Top Bottom