Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Tumekusikia,sasa nenda kaungane na akina Silinde, Lijuakali na Nassary kuunga juhudi za mungu wa Lumumba utapewa ubunge kama wenzako.
 
Mgombea wa uraisi kupitia muungano wa chadema na act ni Benard Membe. Hao wasingida wawili watakuwa wapiga debe tu wa Benard Membe.
Ova
 
Vyama pinzani vimeshakosa uelekeo mwaka huu,
 
Kila mjumbe alipiga kura tatu.

Mkuu nimeangalia Id yako ni ya March, nyingi ya id za kuanzia machi mpaka sasa ni za wanaccm, na ziko kwa mpango maalum wa kuitetea ccm wakati wa uchaguzi mkuu, na kuleta sintofahamu na uchonganishi ndani ya cdm.

Tufanye ni kweli usemayo, lakini uchaguzi wowote ni lazima kuwe na wapiga kura, na kila mtu anaweza kumchagua amtakaye au anayemuamini. Hapo kuna kosa gani. Isipokuwa sisi wapiga kura wengi wa upinzani tuna imani na Lisu. Hivyo maamuzi yoyote nje ya Lisu cdm wajue wamepoteza.
 
Habari za uhakika kutoka ndani ya kamati kuu ya CHADEMA jana ni kuwa wajumbe walipiga kura za kupendekeza majina matatu yatakayofaa kupeperusha bendera ya Chama hicho katika uchaguzi Mkuu. Kila mjumbe alipiga kura 3

Matoke ni kuwa Lazaro Nyalandu aliongoza kwa kura zote zilizopigwa na Lissu alikosa kura 4.

Mpinzani namba moja wa Lissu ni Mbowe.

Bado Lissu Mbowe amalize kazi nilishaandikaga humu.

Tusubiri Baraza kuu na Mkutano Mkuu!
 
Habari za uhakika kutoka ndani ya kamati kuu ya CHADEMA jana ni kuwa wajumbe walipiga kura za kupendekeza majina matatu yatakayofaa kupeperusha bendera ya Chama hicho katika uchaguzi Mkuu. Kila mjumbe alipiga kura 3

Matoke ni kuwa Lazaro Nyalandu aliongoza kwa kura zote zilizopigwa na Lissu alikosa kura 4.

Mpinzani namba moja wa Lissu ni Mbowe.

Bado Lissu Mbowe amalize kazi nilishaandikaga humu.

Tusubiri Baraza kuu na Mkutano Mkuu!
Hizi habari zenu za ajabu ajabu wacheni kuhangaika.

Lissu kuwa na sifa ya kugombea Urais haiitaji akili ya mbinguni kutambua hilo, huyo ndie anaekubalika kwa sasa.

Halafu kumbe na wewe unapenda Lissu awe mgombea Urais na u CCM wako, ni vizuri.
 
Ndugu wana bodi.

Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.

Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.

Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.

Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.

Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!

Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA

KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020

*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.

Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.

Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.

Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.

Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.

Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.

Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.

Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.

Ni wenu.


Subirini Tuomboleze Msiba wa BWM na kusubiri huyo lISSU Arudi
 
Kwenye mgawo wa percentage ndio sijaelewa, huenda nilikimbia hesabu
Kama nimemwelewa vizuri mleta mada ni kuwa wajumbe 28, kila mmoja alitakiwa achague majina matatu ya kupeleka Baraza kuu. Ina maana wajumbe wote waliandika jina la Nyarandu lakini si wote walioandika jina la Tundu Lisu.

Lakini vyovyote vile iwavyo, Baraza Kuu ndilo litatoa jina la mgombea. Na sina shaka jina hilo litakuwa ni Tundu Antipas Lisu. Wengine wote watamuunga mkono kwa nguvu zao zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku nako wanatakuwa fisi wanaanza kutafunana wao kwa wao..😀
Mwandiko ka wa Bashite!
Aisee, hakuna rangi tutaacha kuiona watz!

#2020_twende_na_Rungwe_RaisiJMT
#CHAUMA_2020

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Ndugu wana bodi.

Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.

Ukweli ni kwamba kati ya watu 8 waliorudisha fomu ni watu wawili tu wenye ushindani.
1. Mh Tundu Lissu
2. Mh Lazaro Nyalandu.

Hawa wote ni wenyeji wa mkoa wa Singida na wote ni wajumbe wa kamati kuu ya chadema taifa.

Binafsi nilishitushwa sana kiasi cha kubadilisha mapigo ya moyo wangu baada ya kuona matokeo ya kura za maoni za kamati kuu ya CHADEMA.

Kilichonishitua ni kuona ``think tank`` ya CHADEMA inaamini Mhe Lazaro Nyalandu ni bora kuliko Mhe Tundu Lissu aliyekinga chama kwa damu yake na risasi 16 ambazo mpaka sasa hatujajua Kama kweli zilikuwa zinampiga au malaika walitega migongo yao ndio ikapigwa lisasi kwa niaba yake? Kwasababu mpaka sasa watanzania na wanachadema bado wanajiuliza huyu jamaa aliponaje!!

Bila kutia chumvi yafuatayo ni matokeo ya tatu bora za maoni ya kamati kuu ya CHADEMA

KURA ZA WAGOMBEA URAIS JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KAMA ZILIVYOPIGWA NA KAMATI KUU YA CHADEMA, DAR ES SALAAM, JULY 22, 2020

*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)

Haya ndiyo majina yatakayo kwenda Baraza Kuu la CHADEMA.

Baada ya matokeo haya nikaanza upelelezi kujua nini kimejiri Kaka Tundu Lissu azidiwe kura na mh Lazaro Nyalandu.

Uchunguzi wangu umebaini kuwa Mhe Aikael Mbowe na Nduguye Mhe Godbless Lema ndiyo walikua nyuma kuhakikisha kuwa Lazaro Nyalandu anamzidi kura za maoni Mhe Tundu Lissu katika maoni ya Kamati kuu.

Kwa ufupi naambatanisha chat za Whatsapp kati ya Mhe Lema na Mhe Mbowe baada ya matokeo ya kura hizo.

Na nina ushahidi thabiti watu wanne waliomnyima kura Lissu ni wafuatao.

1. Freeman Mbowe.
2. Godbless Lema.
3. Halima Mdee.
4. Esther Bulaya.

Pia nichukue wasaa huu kuwajulisha Mhe Esther Matiko na kaka Patrick Ole Sosopi kuwa makini katika siasa zao ndani ya chadema Mwamba hawatazami kwa jicho rafiki.

Wajumbe wa baraza kuu na mkutano mkuu wa chadema taifa wanaopinga mpango wa Mwamba kumuunga mkono Lazaro Nyarandu na ambao wanamuunga mkono mh Tundu lissu,mjiandae pia kisaikolojia yajayo yanafurahisha.

Sasa nimeanza kuamini kwanini wanachama wa chadema na viongozi wengi walikuwa wanatimkia vyama vya Nccr mageuzi na ccm wakisema Kuna tatizo naona sasa linaanza kuwa dhahiri machoni kwa watanzania na wanachama wa chadema.

Ni wenu.
Ndugu yangu,
njozi mfu zinazokutesa ni dalili ya kutwaliwa na kuandamwa na shetani.
Utaweza kuachana nae tu kwa kutubu na kumrudia Mungu.
Ninazidi kukuombea kwa Mungu ili moyo wako upate wepesi wa kumkataa shetani na mambo yake yote.
Amen
 
kura halali 28..
nyalandu 28
lissu 24
mwingne 23

hio hesabu iko sawa kweli? au mim ndio sielewi
Watu 28 waliambiwa wachague majina 3 Kati ya watia nia 8., Kwenye list ya wapiga kura wote 28 Nyalandu alikuwepo, Lissu alitokea kwenye list ya wapiga kura 24 tu, na mwingine list ya wapiga kura 23. Kumbuka ni kupendekeza majina 3 Kati ya 8 yaliyokuwepo. Ukiumiza kichwa kidogo utaelewa.
 
Back
Top Bottom