LGE2024 Mbowe anazungumza na Watazania muda huu makao makuu ya CHADEMA Dar es Salaam, akitoa tathmini ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Mbowe anazungumza na Watazania muda huu makao makuu ya CHADEMA Dar es Salaam, akitoa tathmini ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Subiri Mkuu!!!! Ngoja kwanza huyu Mmachame aachie wadhifa halafu watu Kama kina Lissu na Heche waanze kazi ndio utajua kuwa tulichelewa sana kupata maendeleo kwenye hili Taifa
 
Baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe alihojiwa na Al Jazeera news Lakini ni ile ya Man to man

Sasa hii ya BBC, Al Jazeera, DW, Islamic Media nk kwa pamoja kuhudhuria hii press ya Leo ndio Nimeshangaa sana 🐼

Ngoja tuone
 
Baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe alihojiwa na Al Jazeera news Lakini ni ile ya Man to man

Sasa hii ya BBC, Al Jazeera, DW, Islamic Media nk kwa pamoja kuhudhuria hii press ya Leo ndio Nimeshangaa sana 🐼

Ngoja tuone
Chama kubwa.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, anazungumza na Watanzania muda huu kutoka makao makuu ya chama hicho, Mikocheni, jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huu muhimu, Mbowe anatarajiwa kuzungumzia masuala ya kisiasa, hali ya chama, na mustakabali wa taifa, huku akitoa mwongozo wa CHADEMA katika hatua zinazofuata kuelekea maendeleo ya demokrasia nchini.

Fuatilia hapa live


mbona havisikiki jamani, hatutaki kusimuliwa
 
Muda wa kuanza ndio wanatengeneza mitambo hakuna chama hapa ni kikundi cha wahuni
 
Back
Top Bottom