Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 566
- 1,583
Subiri Mkuu!!!! Ngoja kwanza huyu Mmachame aachie wadhifa halafu watu Kama kina Lissu na Heche waanze kazi ndio utajua kuwa tulichelewa sana kupata maendeleo kwenye hili Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sala yenu mtaisali all times, haondoki mtuApumzike inatosha sasa
Anaweweseka sana mwamba wa kaskazini dah maskini Freeman Mbowe, akina Lisu wanamuhangaisha sana mbaba wa watu jaman, hadi huruma aise
mskize kwa makini chairman Mbowe basi gentleman,CCM ni mataahira sana sana, wanaongea upumbavu mtupu
Hiyo KAULIMBIU ilishazikwa huko CHATO!Haya
Hapa KAZI TU 🐼
Chama kubwa.Baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe alihojiwa na Al Jazeera news Lakini ni ile ya Man to man
Sasa hii ya BBC, Al Jazeera, DW, Islamic Media nk kwa pamoja kuhudhuria hii press ya Leo ndio Nimeshangaa sana 🐼
Ngoja tuone
Hakina sifa za kushika dola. Kinajiendesha kwa mfumo wa VICOBANilianza kuvutiwa na hiki chama nikiwa mdogo sana hadi leo hakishiki dola kwanini
Thubutu 🐼😂Hiyo KAULIMBIU ilishazikwa huko CHATO!
Mkuu hata kama ni upendo sasa huu upendo wako hata haumsaidii Mbowe tena.sala yenu mtaisali all times, haondoki mtu
Anaboa kwa kweli. Amuachie CHADEMA Tundulisu anatosha sana.Akiache chama chetu mbowe
Chama chetu sisi WachagaChama chako wewe na nani?
Utaumia sana habwagi mtu lolote hapa.....itakuumiza sanaLabda atabwaga Manyanga
Wanamhangaisha na wako wote hapo, naona mnarukia story za vijiweni mnazileta humu.Anaweweseka sana mwamba wa kaskazini dah maskini Freeman Mbowe, akina Lisu wanamuhangaisha sana mbaba wa watu jaman, hadi huruma aise 🐒
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, anazungumza na Watanzania muda huu kutoka makao makuu ya chama hicho, Mikocheni, jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huu muhimu, Mbowe anatarajiwa kuzungumzia masuala ya kisiasa, hali ya chama, na mustakabali wa taifa, huku akitoa mwongozo wa CHADEMA katika hatua zinazofuata kuelekea maendeleo ya demokrasia nchini.
Fuatilia hapa live