gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Mnatumia migongo ya vyombo vya dola kuumiza wapinzani wenu alafu unasema ujinga wa milele.wewe milele utakuwepo?.Pole sana ,hakitaaa kishike madara mile na milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatumia migongo ya vyombo vya dola kuumiza wapinzani wenu alafu unasema ujinga wa milele.wewe milele utakuwepo?.Pole sana ,hakitaaa kishike madara mile na milele
Joined september 2024, na unaona unajua kucheza mindgame vibaya!Anapigania ruzuku, hana habari na mtu Mbowe. Hata ikimaanisha mmwage damu ili ahalalishe uenyekiti wake yupo tayari
eti no refoms no electionsHana dhiki hizo boss.

Acha kujipa imani kwa watu kwa nafasi ambazo bado hawajazitumikia.Subiri Mkuu!!!! Ngoja kwanza huyu Mmachame aachie wadhifa halafu watu Kama kina Lissu na Heche waanze kazi ndio utajua kuwa tulichelewa sana kupata maendeleo kwenye hili Taifa
Akupishe wewe au nani?.Hao mnaowapigia upatu msifikiri watafanya mambo ya tofauti labda kama mnataka chama kifutwe.Tatizo sio mbowe wala cdm bali ccm iliyohodhi siasa za kihuni ndo maana mambo yote hayo yanatokea.Kuwe kwanza na demokrasia sawa ndo tupime uwezo wa mbowe na tumhukumu kwa haki.Mzee Mbowe apishe damu mpya.
Niambie mzee mwenye hati miliki ya jf? Yani kuwahi kujiunga na JF ndio unaona umepatia maishaa😁😁.Joined september 2024, na unaona unajua kucheza mindgame vibaya!
Nashangaa umejiunga juzi unaongea ukhanithi wa hatari.Niambie mzee mwenye hati miliki ya jf? Yani kuwahi kujiunga na JF ndio unaona umepatia maishaa😁😁.
Khanithi mwenyewe bwana, alaaa! Kutukana ni dalili ya kuishiwa hoja, jiheshimu basi ili kutendea haki u-expert wakoNashangaa umejiunga juzi unaongea ukhanithi wa hatari.