Mbowe angekuwa makini angejikita zaidi kwenye kuwaendeleza na kuwapatia elimu ya siasa na uraia wanachama wake vyuoni

Mbowe angekuwa makini angejikita zaidi kwenye kuwaendeleza na kuwapatia elimu ya siasa na uraia wanachama wake vyuoni

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Siasa ya karne hii inahitaji elimu ili uweze kupambanua mambo na kuwa na hoja za msingi.

Vijana wa CHADEMA wengi elimu yao ni duni sana na ni watu wa kulalama kwa mkumbo tu bila kutumia akili sababu elimu ni hakuna.

Spika amezingatia misingi ya katiba maana hawezi kuenda kinyume na katiba ambayo ndio sheria mama lakini wao wanalaumu tu hii ni sababu hawana elimu ya kutosha na hawajui nini maana ya katiba.

Ndio maana hata Katiba ya CHADEMA ina maruerue lakini hawawezi kuhoji maana wao siasa uchwara na ushabiki ndio dili.

Huwezi kuwa na katiba inayompa kiongozi kuongoza bila ukomo halafu usioji kabisa. Elimu ni muhimu
 
Apewe bajeti ya kufanya hiyo kazi na wizara ya elimu au vyuo vyenyewe.
 
Movi inaanza;

Umaskini umetamalaki; vijana wamekata tamaa... wengi hawajitambui! Vijana wengi kama si wote huko vyuoni ni machawa au wasaka fursa kupitia ccm.

Wale wasiojihusisha na siasa utakuta ni wafuasi wa bongo muvi, betting au bongo fleva au seasons au wanajiuza!
 
Siasa ya karne hii inahitaji elimu ili uweze kupambanua mambo na kuwa na hoja za msingi.

Vijana wa CHADEMA wengi elimu yao ni duni sana na ni watu wa kulalama kwa mkumbo tu bila kutumia akili sababu elimu ni hakuna.

Spika amezingatia misingi ya katiba maana hawezi kuenda kinyume na katiba ambayo ndio sheria mama lakini wao wanalaumu tu hii ni sababu hawana elimu ya kutosha na hawajui nini maana ya katiba.

Ndio maana hata Katiba ya CHADEMA ina maruerue lakini hawawezi kuhoji maana wao siasa uchwara na ushabiki ndio dili.

Huwezi kuwa na katiba inayompa kiongozi kuongoza bila ukomo halafu usioji kabisa. Elimu ni muhimu
Kwa uandishi huu na wewe unajiona umesoma?

Haaaaaaaaaa, haaaaaaaaaa
 
Siasa ya karne hii inahitaji elimu ili uweze kupambanua mambo na kuwa na hoja za msingi.

Vijana wa CHADEMA wengi elimu yao ni duni sana na ni watu wa kulalama kwa mkumbo tu bila kutumia akili sababu elimu ni hakuna.

Spika amezingatia misingi ya katiba maana hawezi kuenda kinyume na katiba ambayo ndio sheria mama lakini wao wanalaumu tu hii ni sababu hawana elimu ya kutosha na hawajui nini maana ya katiba.

Ndio maana hata Katiba ya CHADEMA ina maruerue lakini hawawezi kuhoji maana wao siasa uchwara na ushabiki ndio dili.

Huwezi kuwa na katiba inayompa kiongozi kuongoza bila ukomo halafu usioji kabisa. Elimu ni muhimu
Sijui kwanini watu wengi mnakuwa wajinga hivi tena kwa kupenda wenyewe.
 
Back
Top Bottom