Mbowe aondolewe kwa nguvu kama mwenyekiti wa CHADEMA. Amezoea kufanya biashara za kisiasa, hafai

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Angalia mwaka 2015 alipovuta mpunga na kutuuza usiku wa manane na kumkaribisha Lowasa.

Alivuta mpunga Dkt. Slaa akabaki kuduwaa na kuropoka. Prof Safari umeona hiyoooo.

Alishatupiga sana.

Sasa hivi creame yote ya asali analamba yeye.

Kwa hiii kaliba ya Mbowe hafai hata kidogo. Tuitishe mkutano mkuu na kumkataaa. Tumkatae kabisa.
 
Sukuma gang kufikia 2025 lazima mfe kwa sonona mtake msitake na mbowe hatoki kwa matakwa ya sukuma gang.
 
Wehu mpo wengi, Mbowe anawanyima usingizi Sana! Siku zote kwenye maisha pambana na mtu wa hadhi yako! Wewe na Mbowe anga na ardh!
 
Uviccm mnateseka sana!
Badili avatar, tumia ya Lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…