Mbowe aondolewe kwa nguvu kama mwenyekiti wa CHADEMA. Amezoea kufanya biashara za kisiasa, hafai

Mbowe aondolewe kwa nguvu kama mwenyekiti wa CHADEMA. Amezoea kufanya biashara za kisiasa, hafai

Straightforward questions:
  • Hivi kwanini Sukuma gang ndiyo wanaumizwa na Mbowe kuwa mwenyekiti CDM ilhali watu/wanachama/supporters wa CDM wanang'ang'ania aendelee?
  • Watu wa CDM wanafaidika nini na Mbowe kuwa mwenyekiti na Sukuma gang wanaathirika nini katika harakati zao za kisiasa Mbowe anapoendelea kuwa mwenyekiti wa CDM?
Nyie Sukuma gang mbona mnaweweseka sana na Mbowe na mnamwach John Momose Cheyo ambaye amekuwa mwenyekiti wa UDP kwa muda mrefu zaidi ya ule ambao Mbowe amekuwa mwenyekti wa CHADEMA?
 
Sukuma gang kufikia 2025 lazima mfe kwa sonona mtake msitake na mbowe hatoki kwa matakwa ya sukuma gang.
Hamna demokrasia ndani ya chama alafu mnataka demokrasia kwenye nchi nyie mna akili au matope
 
Back
Top Bottom