Mbowe aondolewe kwa nguvu kama mwenyekiti wa CHADEMA. Amezoea kufanya biashara za kisiasa, hafai

Nyie Sukuma gang mbona mnaweweseka sana na Mbowe na mnamwach John Momose Cheyo ambaye amekuwa mwenyekiti wa UDP kwa muda mrefu zaidi ya ule ambao Mbowe amekuwa mwenyekti wa CHADEMA?
 
Sukuma gang kufikia 2025 lazima mfe kwa sonona mtake msitake na mbowe hatoki kwa matakwa ya sukuma gang.
Hamna demokrasia ndani ya chama alafu mnataka demokrasia kwenye nchi nyie mna akili au matope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…