Pre GE2025 Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Pre GE2025 Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema inawafuasi wa ajabu sana, Lisu mwenye uwezo mkubwa wa hoja na kujieleza hawataki ashindane na Mbowe wanayemuita kilaza, dhaifu na hana hoja.

Strong vs Weak candidate, lakini Strong candidate hawataki agombee wanataka AACHIWE, APEWE,APISHWE, uwenyekiti, hawataki ashindanishwe kwa namba yoyote ile.

Hawataki uchaguzi wa haki, wakati ni kipimo cha demokrasia ya wengi.

Tulipaswa kupongeza uamuzi huu wa Mbowe, ili Lisu awe mwenyekiti mwenye merit, naye awe anasimama kwa confidence kwamba amechaguliwa.

Lisu alikosoa urais wa Samia, leo mnataka apewe uwenyekiti bila kugombea, mnajielewa kweli?
 
Mbowe ni mjinga anataka akifa azikwe na chama kaburini. M7 wa bongo ni mwendawazimu Mbowe
 
Na siku hizi ni lazima apate 100% ya kura zinazopigwa!

Amandla...
Hahaha umesahau wale walioimba tunamtaka Lowasa? Lakini mwenyekiti akawa Magufuli, kura zao zilimfikiaje Magufuli hadi akapata 100%.

CCM ni mwenyekiti anaupata by default, hakuna kura.

Au sikukuelewa, uliposema siku hizi ulikuwa unamaanisha nini?
 
Kamanda alianza vizuri sana. Ila sina uhakika kama huku mwishoni anaenda vizuri. Maana siyo jambo sahihi sana kujiona kama wewe ndiye mtu sahihi kwenye kundi la watu wengi, na hivyo kufikiri ndiyo una uwezo peke yako wa kuongoza.

Kama viongozi, wakati fulani tujifunze pia kuwaamini subordinates wetu.
 
Nyerere aliongoza ASP na TANU, pia CCM, na hata alipokuwa rais uluwahi kusikua uchaguzi wa rais au ulusikia uchaguzi baada ya yeye kung'atuka?
Uchaguzi Mkuu ulifanyika Mwaka 1980 (Miaka 3 Baada ya CCM kuzaliwa) , Uchaguzi wa Mwaka 1985 Mwaka aliong'atuka Nyerere na kwakuwa Mwinyi alikuwa kashinda urais wa Zanzibar na Alikuwa makamu wa Rais..

Katiba Iko wazi Ulitaka Baada ya Rais Kujiuzuru Ufanyike Uchaguzi mkuu wakati katiba Yetu iko wazi Kuwa Makamu wa Rais ataongoza?

Kule ccm hakuna uchaguzi wa mwenyekiti, anapatikana by default, anayekuwa rais ndiye mwenyekiti wa ccm taifa.

Magufuli alifariki, Samia alirithi urais na uwenyekiti wa ccm kwa pamoja, hiyo nayo demokrasia.
Hii ni sahihi kabisa!

Unategemea Rais Awe Mwingine na Mwenyekiti wa Chama Awe mwinginr unahisi Rais atakuwa Huru Kuongoza Wakati na Yeye Pia Anaongozwa??
 
Hahaha umesahau wale walioimba tunamtaka Lowasa? Lakini mwenyekiti akawa Magufuli, kura zao zilimfikiaje Magufuli hadi akapata 100%.

CCM ni mwenyekiti anaupata by default, hakuna kura.

Au sikukuelewa, uliposema siku hizi ulikuwa unamaanisha nini?
Umenielewa vizuri. Nilikuwa nazungumzia chaguzi mbili tatu za hivi karibuni.

Amandla...
 
Hatimaye SACCOS YA WACHAGA imepata DIKTETA KAMILI.

Lissu tumbo joto!
 
2004-2024 CCM Kimeongozwa na wenyeviti wanne tofauti(Mkapa, Kikwete, Magufuli & Samia). Kwa miaka hiyo ishirini CHADEMA Mwenyekiti ni huyo huyo tena bado anaongeza. Kati ya CCM na CHADEMA kipi Chama cha kidemokrasia?
Tutakuroga mzee😂😂😂
Msimu wa sikukuu, maswali magumu yanaleta stress😅😅
 
Chadema inawafuasi wa ajabu sana, Lisu mwenye uwezo mkubwa wa hoja na kujieleza hawataki ashindane na Mbowe wanayemuita kilaza, dhaifu na hana hoja.

Strong vs Weak candidate, lakini Strong candidate hawataki agombee wanataka AACHIWE, APEWE,APISHWE, uwenyekiti, hawatai ashindanishwe kwa namba yoyote ile.

Hawataki uchaguzi wa haki, wakati ni kipimo cha demokrasia ya wengi.

Tulipaswa kupongeza uamuzi huu wa Mbowe, ili Lisu awe mwenyekiti mwenye merit, naye awe anasimama kwa confidence kwamba amechaguliwa.

Lisu alikosoa urais wa Samia, leo mnataka apewe uwenyekiti bila kugombea, mnajielewa kweli?
Inashangaza sana. Mbowe kusema anagombea tena anaitwa dikteta.

Nafikiri watu wengi wameathirika na mfumo wa CCM. Kwamba aliye madarakani akigombea basi ni mshindi automatically.

Labda hata huko CHADEMA uchaguzi ni kiini macho tu. Hakuna demokrasia bali janja janja! Kama ni hivyo sijui watu wanaungaje mkono chama cha aina hiyo kinapopambana na CCM na serikali yake.
 
2004-2024 CCM Kimeongozwa na wenyeviti wanne tofauti(Mkapa, Kikwete, Magufuli & Samia). Kwa miaka hiyo ishirini CHADEMA Mwenyekiti ni huyo huyo tena bado anaongeza. Kati ya CCM na CHADEMA kipi Chama cha kidemokrasia?
Haina shida acha wajumbe wafanye yao
 
Chadema inawafuasi wa ajabu sana, Lisu mwenye uwezo mkubwa wa hoja na kujieleza hawataki ashindane na Mbowe wanayemuita kilaza, dhaifu na hana hoja.

Strong vs Weak candidate, lakini Strong candidate hawataki agombee wanataka AACHIWE, APEWE,APISHWE, uwenyekiti, hawatai ashindanishwe kwa namba yoyote ile.

Hawataki uchaguzi wa haki, wakati ni kipimo cha demokrasia ya wengi.

Tulipaswa kupongeza uamuzi huu wa Mbowe, ili Lisu awe mwenyekiti mwenye merit, naye awe anasimama kwa confidence kwamba amechaguliwa.

Lisu alikosoa urais wa Samia, leo mnataka apewe uwenyekiti bila kugombea, mnajielewa kweli?
Hao unao waelezea hapa ni akina nani?

Ni nani asiye taka uchaguzi huru na wa Haki; unaweza kuwataja hao?

Sasa kumbuka: unapo zungumzia uchaguzi "HURU na HAKI" uwe na hakika ya unacho kizungumzia.

Ni muhimu uelewe mchakato wa uchaguzi huo ulivyo pangwa. Nani wanao shiriki kwenye huo uchaguzi, na wamepatikana kwa njia zipi!

Na uhusika wa hao wenye vyombo vilivyo nje ya chama wakijihusisha na shughuli za chama ili matokeo yawe yanayo egemea uhitaji wao.

Kwa hiyo usije hapa na kuchanganya akili za watu kwamba kuna wasiotaka uchaguzi ulio "HURU na HAKI."

Hata CCM wanadai kwa nguvu zote kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopita juzi; wameupata kwa HAKI na ulikuwa HURU kabisa! Huenda nawe unakubaliana na ujuha wa aina hiyo!

Inaeleweka wazi Mbowe naye kaandaa ushindi wa kishindo kwa njia hiyo hiyo. Mbowe amekuwa mwanafunzi mzuri sana wa kuiga maovu ya CCM na kuyaingiza CHADEMA kwa manufaa yake.
 
Hao unao waelezea hapa ni akina nani?

Ni nani asiye taka uchaguzi huru na wa Haki; unaweza kuwataja hao?

Sasa kumbuka: unapo zungumzia uchaguzi "HURU na HAKI" uwe na hakika ya unacho kizungumzia.

Ni muhimu uelewe mchakato wa uchaguzi huo ulivyo pangwa. Nani wanao shiriki kwenye huo uchaguzi, na wamepatikana kwa njia zipi!

Na uhusika wa hao wenye vyombo vilivyo nje ya chama wakijihusisha na shughuli za chama ili matokeo yawe yanayo egemea uhitaji wao.

Kwa hiyo usije hapa na kuchanganya akili za watu kwamba kuna wasiotaka uchaguzi ulio "HURU na HAKI."

Hata CCM wanadai kwa nguvu zote kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopita juzi; wameupata kwa HAKI na ulikuwa HURU kabisa! Huenda nawe unakubaliana na ujuha wa aina hiyo!

Inaeleweka wazi Mbowe naye kaandaa ushindi wa kishindo kwa njia hiyo hiyo. Mbowe amekuwa mwanafunzi mzuri sana wa kuiga maovu ya CCM na kuyaingiza CHADEMA kwa manufaa yake.
Kwa hiyo ndio maana hutaki uchaguzi, unataka mgombea apite bila kupingwa, asipigiwe kura? Wagombeaji wanafahamu nani anapiga kura na nani apigi, wanafahamu taratibu za uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi. Usianze kujenga hoja mfu kwasababu unahisi mgombea fulani atashinda.

Huyo mnayemtaka ata akishinda mtakuja na visingizio tu.

Kulalamika ni sehemu ya maisha yenu.
 
Chadema inawafuasi wa ajabu sana, Lisu mwenye uwezo mkubwa wa hoja na kujieleza hawataki ashindane na Mbowe wanayemuita kilaza, dhaifu na hana hoja.

Strong vs Weak candidate, lakini Strong candidate hawataki agombee wanataka AACHIWE, APEWE,APISHWE, uwenyekiti, hawatai ashindanishwe kwa namba yoyote ile.

Hawataki uchaguzi wa haki, wakati ni kipimo cha demokrasia ya wengi.

Tulipaswa kupongeza uamuzi huu wa Mbowe, ili Lisu awe mwenyekiti mwenye merit, naye awe anasimama kwa confidence kwamba amechaguliwa.

Lisu alikosoa urais wa Samia, leo mnataka apewe uwenyekiti bila kugombea, mnajielewa kweli?


Maajabu ya dunia ni pale mwana ccm mbowe anaporudisha fomu kugombea chadema.
 
Inashangaza sana. Mbowe kusema anagombea tena anaitwa dikteta.

Nafikiri watu wengi wameathirika na mfumo wa CCM. Kwamba aliye madarakani akigombea basi ni mshindi automatically.

Labda hata huko CHADEMA uchaguzi ni kiini macho tu. Hakuna demokrasia bali janja janja! Kama ni hivyo sijui watu wanaungaje mkono chama cha aina hiyo kinapopambana na CCM na serikali yake.
Waongo, wao wanataka mgombea wao aachiwe nafasi yani asishindane na yeyote bali yeye mwenyewe.
Wanasema ni hodari, lakini wanatafuta huruma.
Wafuasi waajabu sana, hawataki demokrasia, kwao demokrasia ni mgombea wao kushinda bila kushindana, yale wanayoyapinga ya kuengua na kupitisha wagombea bila kupingwa ndicho wanakitaka.
Kikitokea hicho hutawasikia tena wakilalamika.
 
Maajabu ya dunia ni pale mwana ccm mbowe anaporudisha fomu kugombea chadema.
Itakuwa ni ajabu, alipewaje fomu ya kugombea, na inashangaza kama wamepokea fomu ya mwana ccm.
Na itashangaza wajumbe wana chadema wakimpigia kura hata moja, mwana ccm.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Uchaguzi Mkuu ulifanyika Mwaka 1980 (Miaka 3 Baada ya CCM kuzaliwa) , Uchaguzi wa Mwaka 1985 Mwaka aliong'atuka Nyerere na kwakuwa Mwinyi alikuwa kashinda urais wa Zanzibar na Alikuwa makamu wa Rais..

Katiba Iko wazi Ulitaka Baada ya Rais Kujiuzuru Ufanyike Uchaguzi mkuu wakati katiba Yetu iko wazi Kuwa Makamu wa Rais ataongoza?


Hii ni sahihi kabisa!

Unategemea Rais Awe Mwingine na Mwenyekiti wa Chama Awe mwinginr unahisi Rais atakuwa Huru Kuongoza Wakati na Yeye Pia Anaongozwa??
Nyerere 1980 alishindana na nani kwenye huo uchaguzi?

Nani alishinda?

1985, aling'atuka hivyo mwinyi hakugombea, alipewa uwenyekiti by difault.

Kwani rais ni Mungu hadi ajilimbikizie madaraka yote pekeyake, hivyo unadhani mwenyekiti akiwa mwingine atawajibishwa na chama kwa maamuzi mabovu?

Sasa hapo tatizo liko wapi kukiwa na checks and balance?

Katiba ya ccm iko hivyo, na ya chadema iko tofauti na ya ccm.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom