Sasa usiposubiri matokeo utafanya nini kwa hayo unayoyasema?Sijui kama nimekwisha kueleza humu tokea tumeanza; kwamba wewe ni mtu unaye tazama mambo juu juu; huna upeo wa kudadizi na kuona kinacho tengenezwa. Unasubiri hadi uone matokeo ndipo uanze kuchambua ilivyo tokea! Hilo ni tatizo.
Ndio maana nasema usubiri matokeo kisha tujadili chama sio watu.Mbowe, ambaye alikuwa bado hajalainishwa.
Maswali ya namna hii yananipotezea muda tu mkuu 'Nanye'.
Kama ni matokeo yaliyo patikana kama yale ya CCM na uchaguzi /uchafuzi wa serikali za mitaa; nao ilibidi usubiri matokeo au siyo?Sasa usiposubiri matokeo utafanya nini kwa hayo unayoyasema?
Mi nasubiri matokeo.
Watu ndio wanao tengeneza chama. kama baadhi ya hao watu wanapata matatizo ni lazima hao wajadiliwe.Ndio maana nasema usubiri matokeo kisha tujadili chama sio watu.
Kupiga kelele hakuwezi kubadili matokeo, kama kuna rough tutajua tukiiona, lakini huwezi kuanza kusema dakika ya 80 mchezaji wetu atakatwa mitama halafu referee hato tupa foul wakati hata mchezo haujaanza.Kama ni matokeo yaliyo patikana kama yale ya CCM na uchaguzi /uchafuzi wa serikali za mitaa; nao ilibidi usubiri matokeo au siyo?
Kuna kitu umekifumbia akili maksudi kabisa ili usikijue; au hata kama unajuwa, unajiweka tu mwenyewe kwenye sehemu ya kutojuwa!
Vikosi vya Uasi huwa vinaanzishwa hivi hiviUsajiliii wanabana aseee maelekezo ....
Kwani wewe hukuziona rafu za CCM na Serikali za Mitaa; wakati Jemedari Mbowe na BUSARA zake kuona hakuna sababu za kupiga kelele kuzuia ujambazi? Hiyio ndiyo tabia mnayo funzwa na wafadhili wenu hawa wa CCM na mmeikazania sana ikomae hata ndani ya CHADEMA.Kupiga kelele hakuwezi kubadili matokeo, kama kuna rough tutajua tukiiona
EEEeeeenHEEeeeeee!Ila ikitokea hivyo ndivyo, basi sasa utajinyonga?
Mmepiga kelele miaka yote, na matokeo yamekuwa yale ysle miaka yote, sioni kama kelele zimewasaidia popote.Kwani wewe hukuziona rafu za CCM na Serikali za Mitaa; wakati Jemedari Mbowe na BUSARA zake kuona hakuna sababu za kupiga kelele kuzuia ujambazi? Hiyio ndiyo tabia mnayo funzwa na wafadhili wenu hawa wa CCM na mmeikazania sana ikomae hata ndani ya CHADEMA.
Sasa naona unapuyanga tu, huna lolote tena la kujadili na kueleweka. Huyo "malaika" unaye mzungumzia wewe ume mwokota wapi' umeshushiwa toka mbinguni?Mmepiga kelele miaka yote, na matokeo yamekuwa yale ysle miaka yote, sioni kama kelele zimewasaidia popote.
Mneyempigia kelele ni nani hasa, na kelele zinabadirishaje matokeo?
Kila kitu mnataka alaumiwe Mbowe, huyk Tundu Lisu kajiunga chadema jana?
Amekuwa makamu mwenyekiti na kashiriki kwenye maamuzi yote ya chama, hata alipokuwa ubelgiji alushiriki kea zoom.
Lakini leo, mnajifanya yeye ni malaika kashuka jana kuja kurekebisha kila kitu Tanganyika hii.
Yeye hausiki na maamuzi yoyote ya chama, lakini alikuwa makamu mwenyekiti wa chama.
Hajawahi kufanya chochote ndani ya chadema, huyo mnamchagua afanye nini sasa?
Hajui chochote, ahusiki na chochote,miaka yote yuko chadema, kila kitu anasema ni Mbowe, halafu bado mnataka achaguliwe kuwa kiongozi.
Kweli akili ni nywele.
Hahaha una matatizo sana hujijui tu, hicho chama umejiunga lini wewe hadi kimekupagawisha hivyo?EEEeeeenHEEeeeeee!
Lugha kama hizi mkuu ''Nanye' usifikiri zinatikisa chochote hapa. Ni ishara ya utupu kichwani mbali ya kuwa alama ya 'desperation'.
Nijinyonge kwa vile tapeli Mbowe kavuruga chama alicho kiongoza kwa miaka ishirini? Una wenda wazimu umekupanda kichwani?
Mbowe kwa matokeo yoyote yatakavyo kuwa; hana tena heshima ya kuwa kiongozi wa kueleweka wa chama cha siasa. Samia kammaliza kimoja,; kamwongeza kwenye safu ya akina Lipumba, Cheyo na wengineo.
He is done. Finished. Na anataka kuizika CHADEMA yenyewe hivyo hivyo.
Hahaha wewe unapiga kura, au uko chadema umewahi kuhudhuria kikao gani cha chama, umewahi kushiriki kufanya maamuzi yoyote ndani ya chama wewe, kwa ngazi yoyote hata ya kata?Sasa naona unapuyanga tu, huna lolote tena la kujadili na kueleweka. Huyo "malaika" unaye mzungumzia wewe ume mwokota wapi' umeshushiwa toka mbinguni?
Kama wewe unaona huyo "malaika" hana lolote; usihangaike hivi acha mambo yachukue mkondo wake bila ya kuingilia taratibu za mkondo huo. Hilo pekee ndilo suluhisho.
Inapo fikia huku, unajitambilsha wazi kuwa wewe siyo mtu wa kupotezea muda.Hahaha una matatizo sana hujijui tu, hicho chama umejiunga lini wewe hadi kimekupagawisha hivyo?
Hivi ungekuwa wewe ndiye mgombea, si ungekimbia uchi wewe?
Inatosha.Hahaha wewe unapiga kura, su uko chadema umewahi kuhudhuria kikao gani cha chama, umewahi kushiriki kufanya maamuzi yoyote mdani ya chama wewe, kwa ngazi yoyote hata ya kata?
Yani uelewi lakini unataka kujiona unafahamu vitu hata huvifahamu, unafuata upepo tu.
Nimekwambia lete ushahidi wa chochote, chochote tangu umeanza kuandika humu.
Unamsikiliza mgombea wako unabeba maneno yake unaleta humu, huna ushahidi we twende kazi.
Jifunze kutuliza akili yako. Usiwe mfuasi lopolopo.
Hahaha tutaona mnavyo jinasibu kama mtapokea au mtasusia matokeo.Inapo fikia huku, unajitambilsha wazi kuwa wewe siyo mtu wa kupotezea muda.
Mimi sina ushabiki wa kipuuzi kama huu.
Mimi nipo hapa peke yangu, sina kundi lolote hapa tunalo shiriki kuweka maoni humu. Kwa hiyo ni upungufu wa akili kunifanya niwe nawasilisha maoni ya hao wengine wote.Hahaha tutaona mnavyo jinasibu kama mtapokea au mtasusia matokeo.
Hahaha hapa zaidi ya kusubiri matokeo hatutafika mwisho. Hatu wezi ku pre-empt matokeo kwa vyovyote vile.Mimi nipo hapa peke yangu, sina kundi lolote hapa tunalo shiriki kuweka maoni humu. Kwa hiyo ni upungufu wa akili kunifanya niwe nawasilisha maoni ya hao wengine wote.
Ngoja nikupe msimamo wangu wa mwisho katika hili swala, kama unayo akili ya kuelewa basi elewa na usihangaike tena kutaka kujuwa maoni yangu ni yapi juu ya hili:
Maoni yangu ni kuwa, haijalishi chochote sasa, Mbowe awe Mwenyekiti wa CHADEMA kwa njia zozote zitakazo mwezesha kubaki katika nafasi hiyo, kihalali au kimazingaombwe, CHADEMA kamwe haitakuwa kama CHADEMA ilivyo kuwa siku za nyuma, na Mbowe hatakuwa tena na hadhi ya Mwenyekiti kama aliyo wahi kuwa nayo siku za nyuma, CHADEMA ikiwa chama chenye vuguvugu.
Hapa ndio mwisho wa Mbowe, kisiasa (hata kama ataingizwa kwenye ushirika na CCM ya Samia). Na CHADEMA itabaki tu kuwa kama CUF, TLP, NCCR, UDP vilivyo.
Sijui, pengine manufaa atakayo pata yeye kama mtu binafsi ni matokeo ya kibiashara yanayo tokana na haya yote aliyo kubali kuyashiriki.
Mbowe hatatambulika tena kuwa miongoni mwa waTanzania walio tafuta mabadiko ya kweli nchini Tanzania.
Namalizia hapa na wewe. Subiri kusherehekea ushindi, hata kama utakuwa umetengenezwa na wafadhili toka CCM.