Mbowe ashindwa kuhudhuria Mahakamani. Kesi yaendeshwa kwa njia ya video, Yaahirishwa mpaka Agosti 27

Mbowe ashindwa kuhudhuria Mahakamani. Kesi yaendeshwa kwa njia ya video, Yaahirishwa mpaka Agosti 27

Eclaire

Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
93
Reaction score
222
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake wameshindwa kufikishwa mahakamani leo kutokana na tatizo la usafiri, hivyo kulazimu kesi kuendeshwa kwa njia ya video. Shauri hilo limefikishwa Mahakamani kwa ajili ya kutajwa, na limeahirishwwa hadi Agosti 27 litakaposikilizwa.

Ubovu.jpg
 
Mambo mengine badala ya kusikitisha, yanachekesha....

Hii ni aibu kubwa sana. Bora wangetoa kisingizio kingine...

Waendelee kutesa watu, ila wajue Corona yupo, anafanya malipizi pale raia wanapokosa njia ya kujitetea.... hawajifunzi kwa kilichomtokea mwendazake
 
yaani watapata shida sana kesi hizi haziishi leo wala kesho watu wazoee tu maisha yaendelee mifano ipo mingi kwa kesi kama hizi kuchukua miaka
kesi ya sabaya week nzima hii inaridima na leo wanaanza kujibu shutuma zao.
Muwe mnashirikisha ubongo kabla hamjaanza kudemka nyimbo mlizotunga wenyewe alafu mnasahau ubeti wa pili.
 
Back
Top Bottom