Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Drama za TZ sijui zitakuja kuisha lini hahahaha, kwani suala la bwana Ustaadhi Abubakar kuhudhuria leo mahakamani ni surprise kama heart attack? Kwamba week yote hii wameshindwa kutengeneza hayo magari?