- Thread starter
- #41
Hata yale yanayopeleka majani ya ng’ombe wa boss pia.Hakuna jambo zuri zaidi ya kumuona adui yako akianguka, kwa ufupi mateso yao ni faraja kwetu. Ikitokea kwa ndugu yangu nitasikitika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata yale yanayopeleka majani ya ng’ombe wa boss pia.Hakuna jambo zuri zaidi ya kumuona adui yako akianguka, kwa ufupi mateso yao ni faraja kwetu. Ikitokea kwa ndugu yangu nitasikitika.
akili za kuambiwa changanya na zako unakuja kulalamika hapa kwa ujinga ulioufanya mwenyewe? angekuwa katulia na kufanya mambo yake nani annnnnnnnnnnnnnnnnngsumbua anakula alichokuwa anakipandaKwani kuna shida gani ikiisha haraka mkuu? Usifurahie dhuluma kaka. Usifurahie kuona binadamu mwenzio akitendewa dhuluma.
Mkuu,si kila siku hua mnasema mihimili mitatu isiingiliane?Tulifikiri huyu mvaa ushungi atakuwa tofauti lakini kumbe tulijidanganya
hii itakuwa ya kwanza kuisha mapema.Kesi za ugaidi azijawahi kuisha mapema
kaa utashuhudia miaka inavyo katika kwanza hii tu ya kuahirishwa leo haijasemwa mpaka lini unaweza ukute wiki ijayo siku zinaendahii itakuwa ya kwanza kuisha mapema.
hifadhi hii post yako nitakukumbusha.kesi ya sabaya hii ya sasa ni ndogo sana bado ya uhijumu uchumi nakuambia hii kesi siyo ya kisha leo wala kesho mbowe pia lazima miaka ikatike yaani mbona mnamsahau muda siyo mrefu na hivi tz tunaishi kutokana na matukio litakuja tukio lingine mbowe tunakuwa tuna msoma kwenye magazeti tu hivi uliona leo kama kulikuwa na watu wanajikusanya tena kwenda mahakamani?
usikimbie huu uzi tu.kaa utashuhudia miaka inavyo katika kwanza hii tu ya kuahirishwa leo haijasemwa mpaka lini unaweza ukute wiki ijayo siku zinaenda
Kumeumana kule wanapigia mstari kauli ya Rais alisema uwongo BBC. Nikuongezee pop corn au bado unazo za kutosha?hifadhi hii post yako nitakukumbusha.
Safari hii mmeingia cha kiume bila nguo ya ndani,
hii kesi sio ya mandazi kama mlizozoeya ukadhani eti ipigwe danadana za kipuuzi alafu ulimwengu unayoishidia ukae kimya,
tayari mmeshaingia ubaridi ndiyomaan mnaigopa mahakama mtasema nyie ndiyo washtakiwa kumbe nyie ndiyo wapishi wa mashtaka ya kubumba.
bibi muongo-muongo amejizalilishaKumeumana kule wanapigia mstari kauli ya Rais alisema uwongo BBC. Nikuongezee pop corn au bado unazo za kutosha?
Mama anawakomesha matagaMambo mengine badala ya kusikitisha, yanachekesha....
Hii ni aibu kubwa sana. Bora wangetoa kisingizio kingine...
Waendelee kutesa watu, ila wajue Corona yupo, anafanya malipizi pale raia wanapokosa njia ya kujitetea....
Ni mama kwa familia yake, kwetu sisi ni Rais.Mama anawakomesha mataga
Ndo hasara za kupelekea kesi mahakamani kisiasa .Washamba Sana uchumi umewashinda wamekalia ujinga,WalaaniweMambo mengine badala ya kusikitisha, yanachekesha....
Hii ni aibu kubwa sana. Bora wangetoa kisingizio kingine...
Waendelee kutesa watu, ila wajue Corona yupo, anafanya malipizi pale raia wanapokosa njia ya kujitetea....
Naona JIWE LA GIZANI LIMEKUPATA!AKIJA KUPATA NDUGUYAKO WA KARIBU AU WEWE MWENYEWE NDIYO UTAKUJA KUIHESHIMU HIYO CORONA
Tena utosiniNaona JIWE LA GIZANI LIMEKUPATA!