Mbowe ashindwa kuhudhuria Mahakamani. Kesi yaendeshwa kwa njia ya video, Yaahirishwa mpaka Agosti 27

Mbowe ashindwa kuhudhuria Mahakamani. Kesi yaendeshwa kwa njia ya video, Yaahirishwa mpaka Agosti 27

Kama ni gaidi na gari zimeharibika kwanini wasitumie yale magari yenye hadi bomb detectors yaliyokuwa yanatumiwa na msafara wa jiwe?
 
Kwani kuna shida gani ikiisha haraka mkuu? Usifurahie dhuluma kaka. Usifurahie kuona binadamu mwenzio akitendewa dhuluma.
akili za kuambiwa changanya na zako unakuja kulalamika hapa kwa ujinga ulioufanya mwenyewe? angekuwa katulia na kufanya mambo yake nani annnnnnnnnnnnnnnnnngsumbua anakula alichokuwa anakipanda
 
kesi ya sabaya hii ya sasa ni ndogo sana bado ya uhijumu uchumi nakuambia hii kesi siyo ya kisha leo wala kesho mbowe pia lazima miaka ikatike yaani mbona mnamsahau muda siyo mrefu na hivi tz tunaishi kutokana na matukio litakuja tukio lingine mbowe tunakuwa tuna msoma kwenye magazeti tu hivi uliona leo kama kulikuwa na watu wanajikusanya tena kwenda mahakamani?
hifadhi hii post yako nitakukumbusha.
Safari hii mmeingia cha kiume bila nguo ya ndani,
hii kesi sio ya mandazi kama mlizozoeya ukadhani eti ipigwe danadana za kipuuzi alafu ulimwengu unayoishuudia ukae kimya,
tayari mmeshaingia ubaridi ndiyomaana mnaigopa mahakama mtasema nyie ndiyo washtakiwa kumbe nyie ndiyo wapishi wa mashtaka ya kubumba.
 
hifadhi hii post yako nitakukumbusha.
Safari hii mmeingia cha kiume bila nguo ya ndani,
hii kesi sio ya mandazi kama mlizozoeya ukadhani eti ipigwe danadana za kipuuzi alafu ulimwengu unayoishidia ukae kimya,
tayari mmeshaingia ubaridi ndiyomaan mnaigopa mahakama mtasema nyie ndiyo washtakiwa kumbe nyie ndiyo wapishi wa mashtaka ya kubumba.
Kumeumana kule wanapigia mstari kauli ya Rais alisema uwongo BBC. Nikuongezee pop corn au bado unazo za kutosha?
 
Tatizo hamkumuelewa ssh aliposema usjalibu kina chamaji kwamiguu,watu wa pwani ndio wanaelewa zaidi maana ya hii kauli.kwa msaada kwawale wasioelewa nihivi! Ukienda sehemu yenye kina kilefu mfano bandalini ukaingiza miguu yote ili uone maji ni mengi au? Basi hautoliona hilo badala yake utazama mojakwamoja na kama hakuna wakukusaidia litabaki jina tu!
 
Mambo mengine badala ya kusikitisha, yanachekesha....

Hii ni aibu kubwa sana. Bora wangetoa kisingizio kingine...

Waendelee kutesa watu, ila wajue Corona yupo, anafanya malipizi pale raia wanapokosa njia ya kujitetea....
Mama anawakomesha mataga
 
Safi Sana,nachukia ugaidi kuliko kitu chochote,acha asote kabisa huyu mwamba ,na bado.
 
Mambo mengine badala ya kusikitisha, yanachekesha....

Hii ni aibu kubwa sana. Bora wangetoa kisingizio kingine...

Waendelee kutesa watu, ila wajue Corona yupo, anafanya malipizi pale raia wanapokosa njia ya kujitetea....
Ndo hasara za kupelekea kesi mahakamani kisiasa .Washamba Sana uchumi umewashinda wamekalia ujinga,Walaaniwe
 
Back
Top Bottom