Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mr. Boya kanywe chai kwanza hii ngoma inawaumizwa kichwa hadi hao unaowaamini, mmeingia cha kiume bila nguo ya ndani.hiyo ndiyo hali halisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mr. Boya kanywe chai kwanza hii ngoma inawaumizwa kichwa hadi hao unaowaamini, mmeingia cha kiume bila nguo ya ndani.hiyo ndiyo hali halisi
Halafu wakainama?Mr. Boya kanywe chai kwanza hii ngoma inawaumizwa kichwa hadi hao unaowaamini, mmeingia cha kiume bila nguo ya ndani.
yaani hapa nilipo nime relax sanaaaa nawasikilizia mnavyoumia mnavyomuona mbowe akiendelea kunyea debe miaka kadhaaMr. Boya kanywe chai kwanza hii ngoma inawaumizwa kichwa hadi hao unaowaamini, mmeingia cha kiume bila nguo ya ndani.
woooi! nyie mataga pori ndiyo mnahaha kama kuku liyekatwa kichwa, sisi hayo majela na mateso tushazoeya saana.yaani hapa nilipo nime relax sanaaaa nawasikilizia mnavyoumia mnavyomuona mbowe akiendelea kunyea debe miaka kadhaa
Wewe ni takataka.akili za kuambiwa changanya na zako unakuja kulalamika hapa kwa ujinga ulioufanya mwenyewe? angekuwa katulia na kufanya mambo yake nani annnnnnnnnnnnnnnnnngsumbua anakula alichokuwa anakipanda
Haya uliyopost hapa ndiyo yatasababisha gaidi abubakar aachiwe?
Wewe ni takataka.
Kabisa hadi magaidi wako jela!Mataga wanaisoma namba...
Cc Sabaya
Ungekuwa na uwezo wa kufikiri japo kidogo, ungeenda kuwaliza kuwalalamikia hao wenzio, hivi ni kwa nini wanaendelea kuchelewesha hatua ya kuja 'kumhukumu' mtu waliemtafutakwa siku na rasilimali nyingi, wakati 'wanao ushahidi na vielelezo' vyote?akili za kuambiwa changanya na zako unakuja kulalamika hapa kwa ujinga ulioufanya mwenyewe? angekuwa katulia na kufanya mambo yake nani annnnnnnnnnnnnnnnnngsumbua anakula alichokuwa anakipanda
Hapo Hamna kesi, Ni mchezo TU wa kudhoofisha harakat za katiba mpya!#HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa @ChademaTz @freemanmbowetz na wenzake imeahirishwa hadi Agosti 27 mwaka huu itakapoletwa tena kusikiliza hoja zilizowasilishwa na upande wawashitakiwa kuhusu matamshi yaliyotolewa na taasisi moja ya serikali kuhusu washtakiwa wao. https://t.co/7lQiU9FpHq