Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, kila nyimbo mtaimba, mlidhani ni dhaifu mkataka kumwingia kichwa kichwa eh? Kalichukua jambazi lenu kuu kaliweka mahali salama...!! Mmebaki kutukana mitandaoni tu, field hamna kitu, na bado!Taasisi gani hiyo Kama sio mama dikteta?
Ndiyo wanachokitaHapo Hamna kesi, Ni mchezo TU wa kudhoofisha harakat za katiba mpya!
#FreeFreemanmbowe
Utoto at work. Hapo wazungu wanaachaje kutuita manyani kwa mfano?Hahaha, kila nyimbo mtaimba, mlidhani ni dhaifu mkataka kumwingia kichwa kichwa eh? Kalichukua jambazi lenu kuu kaliweka mahali salama...!! Mmebaki kutukana mitandaoni tu, field hamna kitu, na bado!
#HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa @ChademaTz @freemanmbowetz na wenzake imeahirishwa hadi Agosti 27 mwaka huu itakapoletwa tena kusikiliza hoja zilizowasilishwa na upande wawashitakiwa kuhusu matamshi yaliyotolewa na taasisi moja ya serikali kuhusu washtakiwa wao. https://t.co/7lQiU9FpHq
Gaidi mbowe analiwa na papasi ,Mkuu uwe unapumzika na kunywa angalau maji. Habari yenye maudhui haya ilishaletwa. Uwe unasoma na mada za wengine kabla ya kukurupuka na kuja kurudia mada humu.Huchoki kuleta nyuzi hapa JF kama johnthebaptist ?
Sio manyani magaidi wapo wanapewa haki yaoUtoto at work. Hapo wazungu wanaachaje kutuita manyani kwa mfano?
Sio manyani magaidi wapo wanapewa haki yao
USSR
Na hatutachoka kudai Katiba mpya tukiwa hai au marehemu.Hapo Hamna kesi, Ni mchezo TU wa kudhoofisha harakat za katiba mpya!
#FreeFreemanmbowe
Ushauri wako nitaufanyia kazi mwanasheria uchwara.Mkuu uwe unapumzika na kunywa angalau maji. Habari yenye maudhui haya ilishaletwa. Uwe unasoma na mada za wengine kabla ya kukurupuka na kuja kurudia mada humu.Huchoki kuleta nyuzi hapa JF kama johnthebaptist ?
Ukiwa kwenye heat lazima umtaje Mbowe, utafikiri wewe ndiye wa kutolewa usichana kisha ukaachwa. Mkaushie huyu mshikaji mbona hata huko CCM kuna wanaume?#HABARI Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa @ChademaTz @freemanmbowetz na wenzake imeahirishwa hadi Agosti 27 mwaka huu itakapoletwa tena kusikiliza hoja zilizowasilishwa na upande wawashitakiwa kuhusu matamshi yaliyotolewa na taasisi moja ya serikali kuhusu washtakiwa wao. https://t.co/7lQiU9FpHq
Uyu jamaa angekuwa na makandokando mwenda zake angemuacha kweli? Ila SIASA ni ujinga sana sitamani hata mjukuu wangu aingie hukoKinachofuatia hapo ni kuvurugika kisaikolojia mpaka watakapokata tamaa kabisa, ogopa unaambiwa kesho mahakamani , ghafla unaambiwa hauendi gari hazipo sawa na huna chochote cha kuwafanya… mala zoom network ipo low… yaani jamaa angechutama tu asubiri hekima za Mama, kukaza na huku unamakandokando yako ni kubaya..
Yakukamata watu yako polisi yakupeleka watuhumiwa mahakamani yapo magereza ndiyo yaliyoharibikaMagari ya kwenda kukamata watu yapo ila ya kuwapeleka mahakamani hayapo?