Alidhani akikaa mahabusu nchi italipukaHIYO MPAKA MIAKA MITANO ITAISHA KWA MTINDO HUO JAMAA AYAZOEE TU MAISHA YA SERO NDIYO NYUMBANI KWAKE KWA SASA
Makamanda wamebaki wachache sana mitandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alidhani akikaa mahabusu nchi italipukaHIYO MPAKA MIAKA MITANO ITAISHA KWA MTINDO HUO JAMAA AYAZOEE TU MAISHA YA SERO NDIYO NYUMBANI KWAKE KWA SASA
Inasemekana wapo waliokuwa wanampa kibri enzi hizo akiwemo makongoro Nyerere and entire royal family, kwa sasa mama kawapooza na teuzi mjuba akiminywa wasiweze fanya lolote.Uyu jamaa angekuwa na makandokando mwenda zake angemuacha kweli? Ila SIASA ni ujinga sana sitamani hata mjukuu wangu aingie huko
Unataka kuniambia kwamba wale mashekhe wa uamsho sio mashujaa kweli!!! Maana wamechutama mazima.Kamwe,shujaa huwa hachutami kuomba huruma ya mtesi,daima atasimama kwa ajili ya Wana wa nchi hii.
Umeshasikia mwanasiasa gani wa upinzani kutoka Rwanda, Burundi, South Sudan, Sudan anazunguka nchi za wazungu kutaka nchi zao ziwekewe vikwazo? Hizo nchi wapinzani wameonewa sana lakini hawafanyi kinachofanywa na CHADEMA.Pia jiulize kama tunge kuwa na utaratibu wakutatua matatizo yetu haya yange tokea?
Lisu na wengine wametendewa mabaya kwa lengo la kuwazima kibabe sasa wao wafanyeje!
Huu n udhalilishwaji wa Hali ya juu kabisa kutokea, yaani mwenyekiti wetu, na c wetu tu, Mwenyekiti wa chama kikuu Cha upinzani ana bebwa na yeye kwenye karandinga?? Yale ma V8vx yana fanya Nini police na hata huko magereza,?Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake wameshindwa kufikishwa mahakamani leo kutokana na tatizo la usafiri, hivyo kulazimu kesi kuendeshwa kwa njia ya video. Shauri hilo limefikishwa Mahakamani kwa ajili ya kutajwa, na limeahirishwwa hadi Agosti 27 litakaposikilizwa.
Sawa boss. Njia ya ukombozi ni ngumu na ndefu. Hata makaburu walishereheka kama unavyoshangilia wewe baada ya kumfunga Mandela na wenzake miaka 27 jela. Kinachotia matumaini ni kwamba Mbowe hatafia jela. Ipo siku atatoka na atatoka kijasiri - "triumphantly".HIYO MPAKA MIAKA MITANO ITAISHA KWA MTINDO HUO JAMAA AYAZOEE TU MAISHA YA SERO NDIYO NYUMBANI KWAKE KWA SASA
Yaani Tanzania unafananisha na Burundi, Sudan,Rwanda nk! kweli mkuu? Raila Odinga nini kilitokea hadi Kenyata akaamua wayamalize, Fatili Bob Wine nini kilitokea kwake.Umeshasikia mwanasiasa gani wa upinzani kutoka Rwanda, Burundi, South Sudan, Sudan anazunguka nchi za wazungu kutaka nchi zao ziwekewe vikwazo? Hizo nchi wapinzani wameonewa sana lakini hawafanyi kinachofanywa na CHADEMA...
Ndugu naona wazidi kuthibitisha kuwa wewe wafanana kabisa na yule mfungwa, mmoja wa wale waliopewa msamaha wa Rais(Jiwe), lakini yeye akawa hataki kutoka na kuwa huru.matatizo ya kutumia uhuru uliopewa kuvuka mipaka ndiyo yanamkost mbowe wenu
Nimetaja nchi zenye worse situations. Nakubaliana na wewe kwamba Tanzania haiwezi kufananishwa na hizo nchi. Ndiyo maana nchi za wazungu zinashangaa wapinzani wa Tanzania kila siku wako kwao wakati wapinzania kutoka nchi zenye worse situations kama Burundi, Rwanda na Sudan wako kimya. Wanapambana ndani ya nchi zao.Yaani Tanzania unafananisha na Burundi, Sudan,Rwanda nk! kweli mkuu? Raila Odinga nini kilitokea hadi Kenyata akaamua wayamalize, Fatili Bob Wine nini kilitokea kwake.
Matatizo haya yakubabikiwa watu na kupiga watu risari yameanzishwa na Magufuli na masheria yake ya ajabu ajabu kwa faida yake mwenyewe.
Tunamuombea aje kuwa hai ili aje kuyashuhudia. AMENSawa boss. Njia ya ukombozi ni ngumu na ndefu. Hata makaburu walishereheka kama unavyoshangilia wewe baada ya kumfunga Mandela na wenzake miaka 27 jela. Kinachotia matumaini ni kwamba Mbowe hatafia jela. Ipo siku atatoka na atatoka kijasiri - "triumphantly".
Wanapokezana tu route ndani ya mabasi ya magereza na saambayaBongo raha sana
Tuliza kishundu hicho Mbowe alishakutatua marinda kama amekuacha tafuta mabasha wengine huko CCM.Tatizo la mashoga ambao Lissu amewatosa kuwapeleka Ubelgiji mkaliwe matako.
Uzuri wa hii, waneshasema kuwa ushahidi umekanilika.Kesi za ugaidi azijawahi kuisha mapema
yaani mnajisumbua sana hayo ni makalatasi tu ambayo mpaka leo wapo wanayo katiba mpya na mambo hayaendi kama walivyodhani ikiwemo hiyo south africa na mjirani zetu tu hapo acheni mama yetu mpendwa ajenge uchumi acheni tamaa ya madaraka hapo kwenye katiba mnachokitaka ni tume huru tu hakuna kingine uchu wa madaraka umewajaaNdugu naona wazidi kuthibitisha kuwa wewe wafanana kabisa na yule mfungwa, mmoja wa wale waliopewa msamaha wa Rais(Jiwe), lakini yeye akawa hataki kutoka na kuwa huru...
Ndugu naona wazidi kuthibitisha kuwa wewe wafanana kabisa na yule mfungwa, mmoja wa wale waliopewa msamaha wa Rais(Jiwe), lakini yeye akawa hataki kutoka na kuwa huru...
Rais ambaye hajachaguliwa na wananchi hawezi kuwajali wananchi, anachojali ni katiba iliyompa uarais,Tulifikiri huyu mvaa ushungi atakuwa tofauti lakini kumbe tulijidanganya
Kuna ubaya gani kuwa nyani? Ni kipi kinakufanya wewe ujione ni bora kuliko nyani? Kujifungia ndani ya maukuta mazito mazito na walinzi juu? Nikupeleke maporini wanakoishi nyani ukaishi huko utachukua hata siku 3? Also acha kuwahusudu hao wazungu, ni binadamu tu kama wewe, hawana uspesho wowote
Chadema ipo zaidi ya miaka 20 embu jiulize kwanini ni miaka ya Magufuli tu ndiyo iliyasababisha Lisu na Lema kuikimbia nchi?Nimetaja nchi zenye worse situations. Nakubaliana na wewe kwamba Tanzania haiwezi kufananishwa na hizo nchi. Ndiyo maana nchi za wazungu zinashangaa wapinzani wa Tanzania kila siku wako kwao wakati wapinzania kutoka nchi zenye worse situations kama Burundi, Rwanda na Sudan wako kimya. Wanapambana ndani ya nchi zao. Kesi ya Uganda, lini ulisikia Bob Wine anazunguka Marekani na Ulaya kushawishi Uganda iwekewe vikwazo? Anapambana na Museveni ndani kwa ndani. Baadhi ya Wazungu wanaotaka kumsaidia wanakuja Uganda, siyo yeye kuwafuata. Chadema acheni kujiabisha. Nchi nyingi zimepita kwenye migogoro mikubwa lakini hawaonekani kwao hao wazungu wenu. Angalia migogoro iliyotokea Misri, Libya, Yemen na sasa Ethiopia. Umesikia kiongozi wa Tigray Ethiopia anazunguka Ulaya na Amerika ili Ethiopia iwekewe vikwazo? Badilikeni. Ya Tigray ndiyo yangekuwa yanatokea Tanzania, Uongozi wote wa Chadema ngazi ya Taifa na pengine hadi Wilaya ungekuwa nje ya nchi kuzunguka kwa wazungu wao. It is a shame.