HIYO MPAKA MIAKA MITANO ITAISHA KWA MTINDO HUO JAMAA AYAZOEE TU MAISHA YA SERO NDIYO NYUMBANI KWAKE
Tanzania nchi ya kijinga sana,tusubiri poromoko la kiuchumi sijui sasa hivi tutakata nini,maanake kwenye simu tumemaliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HIYO MPAKA MIAKA MITANO ITAISHA KWA MTINDO HUO JAMAA AYAZOEE TU MAISHA YA SERO NDIYO NYUMBANI KWAKE
Nchi hii ni “tajiri sanaaaa” - Mh. Magufuli (RIP)Magari ya kwenda kukamata watu yapo ila ya kuwapeleka mahakamani hayapo?
Natamani corona ikupige wew kwanza then ndiyo iwafuate wanafisiemu wenzakohakuna hata anaye aibika maisha watu yanaenda kama kawaida anayepata tabu ni mbowe na ugaidi wake
Hivi kuna mzungu mwenye akili kama zako mkuu?Kuna ubaya gani kuwa nyani? Ni kipi kinakufanya wewe ujione ni bora kuliko nyani? Kujifungia ndani ya maukuta mazito mazito na walinzi juu? Nikupeleke maporini wanakoishi nyani ukaishi huko utachukua hata siku 3? Also acha kuwahusudu hao wazungu, ni binadamu tu kama wewe, hawana uspesho wowote
😂 😂 😂Magari ya kwenda kukamata watu yapo ila ya kuwapeleka mahakamani hayapo?
Walituhakikishia ushahidi wanao mikononi,watuambie kama wamekosa usafiri wakuuleta mahakamani tuwachangie.Serikalini inashindwa kuendelea na ubeti wa pili wa wimbo walioutunga wenyewe.
Ndiyo furaha yako,ndiyo furaha yenu wanakijani.Mwache asote hiyo kesi itahamishiwa Mahakama kuu, atakoma na kuzeekea selo.
Wakati huo huo kulikuwa na mahabusu wengine walioletwa mahakamaniWadau Haiingii Akili JESHI la MAGEREZA Kudai kuwa Ilishindwa Kumpeleka Mh.MBOWE Mahakamani kuwa GARI ni BOVU
SWALI
[emoji117]Je JESHI la MAGEREZA Mkoa wa Dsm lina Magari Mangapi?
[emoji117]Je ni Kweli kuwa MAGARI yote ya JESHI la MAGEREZA yaliharibika kwa Pamoja hiyo SIKU ya Tarehe 13/8?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Wanamwogopa mwamba😂Wakati huo huo kulikuwa na mahabusu wengine walioletwa mahakamani
Wakodi ubber watalipa wananchiWadau Haiingii Akili JESHI la MAGEREZA Kudai kuwa Ilishindwa Kumpeleka Mh.MBOWE Mahakamani kuwa GARI ni BOVU
SWALI
[emoji117]Je JESHI la MAGEREZA Mkoa wa Dsm lina Magari Mangapi?
[emoji117]Je ni Kweli kuwa MAGARI yote ya JESHI la MAGEREZA yaliharibika kwa Pamoja hiyo SIKU ya Tarehe 13/8?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
anaweza akawa na vilipuzi[emoji1787][emoji1787]Wanamwogopa mwamba[emoji23]
Leteni kejeli tu,hata kwenye kubambikia endeleeni na kejeli tu,muda utaongea.anaweza akawa na vilipuzi[emoji1787][emoji1787]
akazilipua mahakama buree.
hata hivyo ni jambo jema maana siku hizi mahakama zinaendeshwa kidigitali/kwa njia ya video conference na haswa ktk kipindi hiki cha mlipuko wa Corona ni vyema sana akabaki hukohuko mahabusi ili kuepuka maambukizi.
jambo la msingi wakili wake Kibatala anawakilisha Mahakamani.
Atavuna alichopanda. Mlevi wa konyagi aka mzee wa kubebwa bebwa tangu baba-mkwe wake alipombeba BOT hadi leo anategemea kubebwa - Aibu! Sheria itafuata mkondo wake.Ndiyo furaha yako,ndiyo furaha yenu wanakijani.
Acha upumbavu wewe.Atavuna alichopanda. Mlevi wa konyagi aka mzee wa kubebwa bebwa tangu baba-mkwe wake alipombeba BOT hadi leo anategemea kubebwa - Aibu! Sheria itafuata mkondo wake.