Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Nyie watu laiti mngejua hasira mnazopandikiza kwa raia mngeacha kupost up upuuzi huu..!!

Mbowe hana sababu ya kumuomba huyo mtu amwangalie yeye kwa jicho la huruma. Isipokuwa huyo Nyapara ndie wa kumuomba Mbowe amwangalie yeye kwa jicho hilo.. Hivi hamjiulizi kitu kidogo tu kama condom kuadimika mitaani, just kifaa cha kufanyia starehe kinaadimika na ku make headline Tanzania nzima..!! Nyie mnakutana kwenye mibaraza ya lumumba mnapapasana kisha mnakenua mnajisikia raha kwa vi elfu kadhaa mnavyopewa kwa muda mfupi kisha vinaisha .

Nawaambia hamjui impact ya upumbavu mnaopumbazwa kwenye mabalaza yenu endeleeni kuchekeshana huko... Mwanga hauko mbali.

BACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
siku zote kuwa mpole na aliyeshika kalakana zote.unaitajika utashi kama mtu unamjua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ngumu Sana
kuamini,
LAKINI tukubali kuwa, Mbowe aliteleza na kukosea!

I smell kuna kitu hakipo sawa cdm
japo,kwa nje tunaona Ina shine
 
Kuwa mkweli tu kamwambia kwamba madaraka ya hapa duniani huwa ni ya muda, tumia haki kuwahukumu wenzako na si vinginevyo..

aliyefyatua risasi na kuua anakula bata huku aliyekuwa anadai haki ya kikatiba na kisheria ya vitambulisho vya mawakala yumo ndani na leo siku ni ya 90, aisee!!
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Chezea jela,ujinga alioufanya wa kujifanya amelazwa kumbe yuko nje umoja wa ulaya Belgium akipanga na Lissu kulisaliti taifa is Unacceptable

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Rubbish!
 
Mtu anayeweza kutoa maelekezo kwa mtuhumiwa aliyeko mahabusu nini cha kumfanya pia anao uwezo wa kuelekeza vyombo vya dola kumtia mtu fulani mahabusu, na hapa ndipo mnapozidi kuthibitisha wenyewe malalamiko ya wapinzani kuwa wanapowekwa mahabusu na kufungwa jela,siyo kwamba wanakuwa na makosa isipokuwa wanawekwa mahabusu na kufungwa jela kwa maelekezo ya kutoka juu.
 
Ukisikia kumpaka matope JPM ndio huku kwa wewe mleta post uchwara, YAANI jpm anahusika vipi na mambo ya mahakama? NAKUTAKA UACHE UJINGA WAKO WA KUMPAKA MATOPE JPM kirahisi namna hii


Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Ikitokea hiyo, huo ni ujinga. Leo hii hawawezi kuomba rais kuingilia mambo ya kimahakama.
 
Rais haruhusiwi kuingilia mahakama
na mbowe analijua kabisa hilo kwamba rais haruhusiwi kuingilia mahakama sijui kwanini kawaza kwamba kumshirikisha Magufuli ndo suluhisho
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Kawahi posho yoko mapema kwa ku post ujinga huu
 
Back
Top Bottom