Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Huyu jiwe haipiti siku bila kumuombea majanga kama magonjwa,ajali na kifo!Inshallah maombi yangu yafanyiwe wepesi asitoboe mpaka 2023!
kwa taaharifa yako utakufa wewe, atakufa EL atakufa TAL watamuacha hahahaha huoni hata dalili wengine wanachechemea?
 
Nampongeza kigwangalla kwa machungu anayopitia,ingependeza zaidi kama angelata pigo lingine chap chap!Pia Mwigulu imekuwa bahati mbaya,siku nyingine watavuka punda 8,inshallah tutasema RIP!
pia anapongezwa TAL kwa bullet itakayobaki kunako
 
wala mkuu rais hana nia mbaya na upinzani, ila wapinzani ndo wanadeka sana na kuvunja sheria makusudi ili wakiguswa na mahakama ionekane zimetumwa na Magufuli
Weka rejea hapa,wapinzani wameshashtakiwa kesi ngapi mahakamani?Je,jamhuri imeshinda kesi ngapi kati ya hizo?Hapo ndio utajua kuwa si kweli kwamba wapinzani huvunja sheria,bali ni serikali kutumia vyombo vya dola kuvikandamiza vyama vya upinzani!Wakati mwingine wanataka kuwasotesha na kesi nyingi mahakamani zisizo na mashiko!
 
kwa taaharifa yako utakufa wewe, atakufa EL atakufa TAL watamuacha hahahaha huoni hata dalili wengine wanachechemea?
Hahahhaaa,waliomsema Lowassa hatoboi wametangulia wao,Kombani na kapt Komba ni mashahidi wazuri!!!!!
Tutaona mpaka 2023 kama jiwe litatoboa!
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Kisheria Rais hana mamlaka ya kumtoa mahabusu mtuhumiwa yo yote kwani kufanya hivyo ni kuingilia uhuru wa mahakama. Ni pale tu mtuhumiwa amehukumiwa na kutamkiwa adhabu ndiyo Rais ana mamlaka ya kumfutia mwadhibiwa adhabu aliyopewa na mahakama. Tenganisha mtuhumiwa aliyeko mahabusu na mfungwa aliyeko jela. Mahakama pekee ndiyo yenye madaraka juu ya mahabusu na hakuna muhimili mwingine wa dola ambao una madaraka ya kuingilia uhuru huo wa mahakama. Mtuhumiwa akiisha fungwa mahakama inakuwa imemaliza kazi yake na hapo Rais ndiyo anaruhusiwa na katiba kutengua adhabu aliyopewa mfungwa.
 
pia anapongezwa TAL kwa bullet itakayobaki kunako
Bahati mbaya babu wa loliondo hayupo tena m
Screenshot_2019-03-07-09-37-48.png
aana sijui kama Jiwe alishapona maradhi yake!
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
humjui Mbowe wewe
 
Hahahhaaa,waliomsema Lowassa hatoboi wametangulia wao,Kombani na kapt Komba ni mashahidi wazuri!!!!!
Tutaona mpaka 2023 kama jiwe litatoboa!
ntakuita kila utokeapo msiba wa uwapendao naishia hapa
 
Back
Top Bottom