Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Kwa sasa tujumuike kusherehekea majanga ya kigwangalla!ntakuita kila utokeapo msiba wa uwapendao naishia hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa tujumuike kusherehekea majanga ya kigwangalla!ntakuita kila utokeapo msiba wa uwapendao naishia hapa
Nilifikiri mtu akipata usingizi mzuri, akili inatulia na kuamka ukiwa fit physically and mentally. Kajitibu kwanza mkuu gonjwa linalokusumbua ndio uje ulete uzi wenye akili hapa jf. Ulichoandika ni upuuzi na watakuelewa wenye akili kama zako tu.Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Sisi tunalilia mambo ya maana wewe unalilia condom, tumia vile vifuko laini, nonsenseNyie watu laiti mngejua hasira mnazopandikiza kwa raia mngeacha kupost up upuuzi huu..!!
Mbowe hana sababu ya kumuomba huyo mtu amwangalie yeye kwa jicho la huruma. Isipokuwa huyo Nyapara ndie wa kumuomba Mbowe amwangalie yeye kwa jicho hilo.. Hivi hamjiulizi kitu kidogo tu kama condom kuadimika mitaani, just kifaa cha kufanyia starehe kinaadimika na ku make headline Tanzania nzima..!! Nyie mnakutana kwenye mibaraza ya lumumba mnapapasana kisha mnakenua mnajisikia raha kwa vi elfu kadhaa mnavyopewa kwa muda mfupi kisha vinaisha .
Nawaambia hamjui impact ya upumbavu mnaopumbazwa kwenye mabalaza yenu endeleeni kuchekeshana huko... Mwanga hauko mbali.
BACK TANGANYIKA
Sent using Jamii Forums mobile app
wala mkuu rais hana nia mbaya na upinzani, ila wapinzani ndo wanadeka sana na kuvunja sheria makusudi ili wakiguswa na mahakama ionekane zimetumwa na Magufuli
Wahindi nao ni watu wabaguzi wakubwa nyie https://jamii.app/JFUserGuide out in our countryKupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
hapana mkuu unakosea unavyofikiria hivyo hebu jipe nafasi pana ya kulifikiria hiloNi hivi, hizo ndio aina ya siasa za rais, hawezi ushindani, na amegeuza vyombo vya kimamlaka kutii utashi wake. Kwa sasa bunge, mahakama, vyombo vya dola vyote haviwezi kutekeleza wajibu wao kisheria bali vinasubiri yeye ndio avipangie vifanye nini.
Kumbe JPM ndie aliemfunga!!?Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
ngoja Tuangalie mwitikio wa JPM
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Utajua mwenyewe kila mtu Mungu anampa ufaham wake.kwa taarifa yako tunajua kila Vita Kati ya wabaya na wazuri na tuna uhakika wabaya wamejitega wenyewe watavuna walichopandaUtoto Ni shida Sana.. Mnarukia mambo makubwa kuliko umri wako. Mnabaki kuandika utoto.
Ndio akili zao zilipoishiahahahahahahahahaha anataka condom
Endelea hivyo hivyo kuwa na ubongokid P.u.m.b.*.-.a.v.uwamhukumu kunyongwa
Nyie watu laiti mngejua hasira mnazopandikiza kwa raia mngeacha kupost up upuuzi huu..!!
Mbowe hana sababu ya kumuomba huyo mtu amwangalie yeye kwa jicho la huruma. Isipokuwa huyo Nyapara ndie wa kumuomba Mbowe amwangalie yeye kwa jicho hilo.. Hivi hamjiulizi kitu kidogo tu kama condom kuadimika mitaani, just kifaa cha kufanyia starehe kinaadimika na ku make headline Tanzania nzima..!! Nyie mnakutana kwenye mibaraza ya lumumba mnapapasana kisha mnakenua mnajisikia raha kwa vi elfu kadhaa mnavyopewa kwa muda mfupi kisha vinaisha .
Nawaambia hamjui impact ya upumbavu mnaopumbazwa kwenye mabalaza yenu endeleeni kuchekeshana huko... Mwanga hauko mbali.
BACK TANGANYIKA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha jinga sanaNIMECHEKA SANA WATU WANAJADILI MASUALA YA MAANA YEYE ANALETA MAMBO YA CONDOM HAPA
Mbowe hana akili mbovu kuandika barua za kijinga,nyie mshaanza kuweweseka,na kuanguka lazima CCM ianguke.
Sent using Jamii Forums mobile app
ha
hapana mkuu unakosea unavyofikiria hivyo hebu jipe nafasi pana ya kulifikiria hilo