Mbowe atumia lugha chafu. Amuita DC Ilemela mjinga, hana Wilaya

Mbowe atumia lugha chafu. Amuita DC Ilemela mjinga, hana Wilaya

mbowe ni mwanasiasamalayamalaya mshenzi hana adabu
Kwa hiyo ndugu yangu Boya kulingana na tafsiri yako ndivyo unavyo muona Mwamba?Ila wengine tunanwona Mwamba analipambania taifa Kweri Kweri.
 
Kwa hiyo ndugu yangu Boya kulingana na tafsiri yako ndivyo unavyo muona Mwamba?Ila wengine tunanwona Mwamba analipambania taifa Kweri Kweri.
hivi huyu bwege mbowe anampambania nani katika hili taifa kweli mtakuwa mnagongwa na mbowe nyie mpaka akili zimewaisha
 
Mrudisheni mwenyekiti kwenye lockdown
Corona ni hatari atiiii
HUENDA CHANJO YA DUBAI IMEMUATHIRI MWENYEKITII. KWA KAULI HIZI NINA HOFU SANA ASIMLAZIMISHE MAMA KUREJEA STAILI YA UONGOZI YA AWAMU YA TANO. SITASHANGAA AKINA SABAYA WAKAREJESHWA HAI NA AKINA MAKONDA NAO DAR. TOO BAD FOR SURE. MBONA AMESHINDWA KUWA NA SUBRA ALIYOOMBWA NA MAMA?
 
Kama kuna mwendawazimu katamka kuwa ana Wilaya yake, hata kumwita mjinga, ni kumpandisha chati. Huyo ni mwendawazimu.
 
sasa hivi Mbowe anaweza hata kumuita DC mjinga na asifanywe kitu....hahahahahaha...kwahiyo tuendelee tu kuchekacheka dola na watendaji wake wanapovunjiwa heshima?... kuna mahala ukiwaacha sana watu huru huwa na tabia ya kuamini wanaweza kufanya chochote.
ukileta mambo ya kijinga we ni mjinga, mikutano ya ccm inafanyika hadharani kila siku wapinzani mnawazuia si ujinga huo
 
Na hapo kuna RPC/OCD/OCS hawachukui hatua kwa lugha hizo, ndio maana akina Sabaya wanajaza ombwe,kamata weka ndani
 
Back
Top Bottom