Mh"Watu wanadai katiba its about our life, RAIS anaita chokochoko, na sasa wameibuka na viongozi wa ajabu mfano kuna DC mjinga mjinga hapa ilemela aliita waandishi wa habari kuwaambia kuwa haruhusu mikutano ya hadhara wilayani kwangu. Wewe una wilaya yako?" @freemanmbowetz https://t.co/dCK06EfnJM
Sio timu fisi wametawala,?panya tena?Panya sasa wametawala kweli kweli
Kwa hiyo ndugu yangu Boya kulingana na tafsiri yako ndivyo unavyo muona Mwamba?Ila wengine tunanwona Mwamba analipambania taifa Kweri Kweri.mbowe ni mwanasiasamalayamalaya mshenzi hana adabu
hivi huyu bwege mbowe anampambania nani katika hili taifa kweli mtakuwa mnagongwa na mbowe nyie mpaka akili zimewaishaKwa hiyo ndugu yangu Boya kulingana na tafsiri yako ndivyo unavyo muona Mwamba?Ila wengine tunanwona Mwamba analipambania taifa Kweri Kweri.
Usiwe unaandika huna fact mwenzako alifaulu akapangiwa ihungo Bukoba, akamaliza six akapata kazi BOTsasa mbowe anauelewa gani form four zero?
Tuonyeshe uelewa wako ili nasi tukuelewe.sasa mbowe anauelewa gani form four zero?
hahaaaa alifeli huyo anawadanganya kumbe hata hamumujui?Usiwe unaandika huna fact mwenzako alifaulu akapangiwa ihungo Bukoba, akamaliza six akapata kazi BOT
Waulize akina nani watakuambia.hivi huyu bwege mbowe anampambania nani katika hili taifa kweli mtakuwa mnagongwa na mbowe nyie mpaka akili zimewaisha
HUENDA CHANJO YA DUBAI IMEMUATHIRI MWENYEKITII. KWA KAULI HIZI NINA HOFU SANA ASIMLAZIMISHE MAMA KUREJEA STAILI YA UONGOZI YA AWAMU YA TANO. SITASHANGAA AKINA SABAYA WAKAREJESHWA HAI NA AKINA MAKONDA NAO DAR. TOO BAD FOR SURE. MBONA AMESHINDWA KUWA NA SUBRA ALIYOOMBWA NA MAMA?Mrudisheni mwenyekiti kwenye lockdown
Corona ni hatari atiiii
Wewe leta cv tuone nanimwongo kama wewe siyo mwongo unaleta siasa za majitakahahaaaa alifeli huyo anawadanganya kumbe hata hamumujui?
nyie ndiyo mna siasa za kisenge anaWewe leta cv tuone nanimwongo kama wewe siyo mwongo unaleta siasa za majitaka
Zakwake ni za maji safi hivyo hongera zake.Wewe leta cv tuone nanimwongo kama wewe siyo mwongo unaleta siasa za majitaka
Ni utoto kuchafua watu huna facts ni mmoja wa hao wajinganyie ndiyo mna siasa za kisenge ana
ukileta mambo ya kijinga we ni mjinga, mikutano ya ccm inafanyika hadharani kila siku wapinzani mnawazuia si ujinga huosasa hivi Mbowe anaweza hata kumuita DC mjinga na asifanywe kitu....hahahahahaha...kwahiyo tuendelee tu kuchekacheka dola na watendaji wake wanapovunjiwa heshima?... kuna mahala ukiwaacha sana watu huru huwa na tabia ya kuamini wanaweza kufanya chochote.
Tuwe na hoja za msingi, tusitetee wanaovunja sheria.Anayetaka heshima awe wa kwanza kuilinda heshima . Tangu Mama aseme neno chokochoko. Kumeibuka dharau kwa watendaji na wateule kwa WaTz wengine.
Ungemwambia yule aliegeuka chakula ya funzaAcha ujinga ujinga