Pre GE2025 Mbowe awa motivation speaker baada ya kuangukia pua Uchaguzi CHADEMA, aibuka na ujumbe wa kiroho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
nadhani ni ujumbe muhimu zaidi kwa waropokaji na wenye midimo,

bilashaka ni suala la muda tu neno hilo litatimia kwa uwazi zaidi, maana kuna midomo haitulii kabisa πŸ’
Comrade haupoi? 🀣🀣🀣
Vipi haujaridhika na ushindi wa Wakili Msomi aliyetukuka na asiyeshindwa Mh Tundu Antiphas Mughwai Lissu?
 
Comrade haupoi? 🀣🀣🀣
Vipi haujaridhika na ushindi wa Wakili Msomi aliyetukuka na asiyeshindwa Mh Tundu Antiphas Mughwai Lissu?
sichoki tu kufanya kazi muhimu ya siasa gentleman,

na suala la kuridhika ni jingine kabisa kwenye mambo haya muhimu ya kitaalamu kitaifa,

usomi ni dhana tu kwasabb wasomi tupo wengi tu tumetulia tuli na wala haturingi, hatujisifu wala kusifiwa πŸ’
 
nadhani ni ujumbe muhimu zaidi kwa waropokaji na wenye midimo,

bilashaka ni suala la muda tu neno hilo litatimia kwa uwazi zaidi, maana kuna midomo haitulii kabisa πŸ’
Wewe uliyekesha na Lucas Mwashambwa kusema kila aina ya maneno bado hamchoki kumfuatilia Lissu...angalia usije ukajikuta umerudisha kadi ya ccm na kujoin CDM.
 
Hatudanganyiki tena kwa maneno ya reja reja
 
Sauli wakati anaenda Damascus kuwaua Wana wa Mungu akasikia sauti ya Yesu Kristo ikimwambia " Sauli Sauli mbona waniudhi?"

Basi Sauli aliokoka Saa ile ile na kubatizwa akaitwa Paulo

Basi wale Wanasiasa mliostaafu hivi karibuni Muinjilisti Aggrey Mwanri amewafungulia milango

Karibuni sana πŸ˜„
 
Wewe uliyekesha na Lucas Mwashambwa kusema kila aina ya maneno bado hamchoki kumfuatilia Lissu...angalia usije ukajikuta umerudisha kadi ya ccm na kujoin CDM.
jiepushe na uptoshaji gentleman,

suala la kukesha kwa mchapakazi hodari ni kawaida tu,

mathalani,
leo jioni kuanzia majira ya saa3 usiku nitatoka dar es salaam kuelekea shamba, nategemea kufika mapema alfajiri na kuelekea moja kwa moja shamba,

Lakini siwez kuthubutu kukesha kwenye masuala yasiyo na tija wakati wananchi wanategemea kiongozi wao nionyeshe njia πŸ’
 
Asante FAM
Nimesoma Neno na Kubarikiwa nalo!

Shida si kile tunachoona ili kutoa tafsiri Bali vile tunavyoona!

Kwani aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo
 
Haya maneno yatatimia.ni wakati wa CHADEMA kukalishana chini,na kuzungumza kiutu uzima.
 
Aggrey Huyu huyu RC wa zamani?
 
Chadema kwisha habari yake leo Lema na Mbowe maadui wakati walikuwa wanashirikiana kuwapiga matofali kina ZitoπŸ˜‚
 
Alufa na omega kageukia uchungaji? Hata Yeriko atamcheka 😁😁😁



Aliambiwa kuwa huu ni mwaka wa kufosi 😁😁😁

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…