Pre GE2025 Mbowe awa motivation speaker baada ya kuangukia pua Uchaguzi CHADEMA, aibuka na ujumbe wa kiroho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Atajuata maisha yake yote kwa kitendo cha kutimuliwa na wanasaccos wenzie kupitia kura .Yote mema aliyofanya ni BURE na ndoto zake za kugombania URAIS ndio basi tena.
 
Huyu Bado anaumia hajaridhika.Wenzake Huwa wanakaa kimyaa wakisikilizia wanaanza kuongea waliona mambo yanaharibika kama kete ya siasa Sasa kujisemesha hivi ni rahisi kusema Anachochea mivitano.

Ukistaafu Kaa kimya
 
Chezea Mchagga kunyanganywa tonge la luzuku ya chama kila mwaka wewee? Acha kabisa!
 
Safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ