Mbowe awashukia wabunge wa CCM

Mbowe awashukia wabunge wa CCM

- Freeman anaweza kuongelea usultani baada ya yeye mwenyewe na mkwe wake kumtia kitanzi Zitto, alipotaka Demokrasia anayoililia kutoka CCM ni maajabu ya Musa, kweli ukishangaa ya musa utaona ya firauni, yeye Demokrasia ameikataa kutoka kwa Wangwe lakini leo ana ubavu wa kulaumu CCM hili taifa na unafiki sijui ni nani ametuloga!

- Halafu vipi Ndesamburo na Dr. Slaa kwani hawa ni American Idol? Freeman alizaliwa na hawa?

Respect.


FMEs!
Kwenye hoja za huyu dingi nilijua lazima utokee. Na kila hoja zenye jina la Malecela lazima utokee kwa jaziba kali kama kawa. Ahahahahahahaha wamegusa penyewe mzee wa dataz
 
Tanzania ni inchi ambayo haiwezi kuendelea maana hata wengi hawajui wanahitaji nini. Mwanamziki mmmoja alisema wabaya tunaishi nao na tunatembea nao. Hicho ndicho ninachoweza kuona hapa.

Ukiangalia Mkoa wa Dodoma ni kati ya mikoa iliyo nyuma kimaendeleo kuliko karibia mikoa yote Tanzania.

Barabara hakuna(wakati ni makao makuu ya chama eti na Serikali), wananchi ombaomba wengi wanatoka mkoa huu nk. Haya bwana tuendelee. Imefikia wakati tusitafute visingizio kama mtu hawezi ku-deliver lazima aambiwe bila woga.
 
Tatizo FMES huwa unaongea maneno meeengi yakuchusha yasiyo na substantial ndani yake kuandika full page si kwamba una piont sana jaribu kuwa concise tutakuelewa

ushauri wa bure kama kweli unampenda Mzee Malecela "kamwambie aachane na siasa wakati bado watu wanampenda kama si kumchekea siasa za Tanzania zinabadilika hazina muamana enzi za kubebana zinaelekea ukingoni kuna siku ataondoka kwa aibu" mwisho wa kujinukuru.

- Yaaani huu ndio ushauri wa kumpa kiongozi wa wananchi anayechaguliwa nao, mshauri Freeman amuachie kijana sana Zitto kwanza ndio nitampa huu ushauri Malecela, au? Bwa! ah! ha!

Es!
 
Kwenye hoja za huyu dingi nilijua lazima utokee. Na kila hoja zenye jina la Malecela lazima utokee kwa jaziba kali kama kawa. Ahahahahahahaha wamegusa penyewe mzee wa dataz

- Hapana mkuu wangu siku zote nina have fun na this kind of debate maana zinamkuza sana Malecela, infact JF bila Malecela haiwezekani soon itakua JF-Malecela, halafu mind you siku zote tunajadili viongozi tunaowapenda tu, kwa hiyo all is good na JF-Malecela, Anne Kilango, Jk, Zitto hawa ndio favs wa JF.

- ila ningependa kusikia what you have to say kuhusu hoja za umri na taifa letu unasemaje?


Es!
 
Tanzania ni inchi ambayo haiwezi kuendelea maana hata wengi hawajui wanahitaji nini. Mwanamziki mmmoja alisema wabaya tunaishi nao na tunatembea nao. Hicho ndicho ninachoweza kuona hapa.

Ukiangalia Mkoa wa Dodoma ni kati ya mikoa iliyo nyuma kimaendeleo kuliko karibia mikoa yote Tanzania.

Barabara hakuna(wakati ni makao makuu ya chama eti na Serikali), wananchi ombaomba wengi wanatoka mkoa huu nk. Haya bwana tuendelee. Imefikia wakati tusitafute visingizio kama mtu hawezi ku-deliver lazima aambiwe bila woga.

- Mkuu point taken, ila ni vyema ungawataja wabunge walio-deliver kwanza kabla ya kushukia wasio-deliver, kama Malecela can you do that mkuu?

Es!
 
Atemwe mtu kwa sababu hatekelizi wajibu wake au kwa sababu msimamo wake kiitikadi mnatofautiana na sio kwa sababu ya umri wake. Kama Malecela amekuwa mzigo kwa watu wa jimbo lake na taifa kwa jumla basi apingwe kwa nguvu zote lakini si kwa sababu amekula chumvi mno.

Amandla......
 
- Mkuu point taken, ila ni vyema ungawataja wabunge walio-deliver kwanza kabla ya kushukia wasio-deliver, kama Malecela can you do that mkuu?

Es!
Chitalilo,Mussa Hasan Zungu, Idd Azzani, Hawa Ghasia, hawa ni mifano ya Wabunge Vimeo ambao hawajafanya lolote hata kuwapa faraja wapiga kura wao....
Mzee Malecela pamoja na mapungufu yake lakini anawapa matumaini wapiga kura wake, ambao wamechoka maana matumaini yao hayageuki kuwa shibe ama maendeleo.....ila Mtera kama Jimbo linachangamoto nyingi ambazo mmbunge husika lazima awe sehemu ya ufumbuzi.
 
Kwenye hoja za huyu dingi nilijua lazima utokee. Na kila hoja zenye jina la Malecela lazima utokee kwa jaziba kali kama kawa. Ahahahahahahaha wamegusa penyewe mzee wa dataz

Kaka umesema kweli kabisa, siyo rahisi kuficha kipenda roho,

Ila hoja yake ya kuwa Mbowe hafai kueleza haya kwa sababu yeye mwenyewe alimnyima Zito kugombea uenyekiti unaizungumziaje? unataka kuikwepa simply kwa sababu anampenda Malecela? au hauna jibu?. Tofauti ya Malecela na Mbowe ni nini?

I believe politics is how you can keep yourself spotless na kila kitu kina credit sana wakati wa kura. Honestly Mbowe hafai kueleza hili, karusha jiwe amesahau kuwa yuko jumba la vioo!

Ile dhambi ya Mbowe walichomfanyia Zito haitasahaulika, itaandikiwa vitabu na kufanyiwa researach, na mpaka leo hakuna maelezo ya kina yaliyotolewa!
 
Kaka umesema kweli kabisa, siyo rahisi kuficha kipenda roho,

Ila hoja yake ya kuwa Mbowe hafai kueleza haya kwa sababu yeye mwenyewe alimnyima Zito kugombea uenyekiti unaizungumziaje? unataka kuikwepa simply kwa sababu anampenda Malecela? au hauna jibu?. Tofauti ya Malecela na Mbowe ni nini?

I believe politics is how you can keep yourself spotless na kila kitu kina credit sana wakati wa kura. Honestly Mbowe hafai kueleza hili, karusha jiwe amesahau kuwa yuko jumba la vioo!

Ile dhambi ya Mbowe walichomfanyia Zito haitasahaulika, itaandikiwa vitabu na kufanyiwa researach, na mpaka leo hakuna maelezo ya kina yaliyotolewa!
ila bado Mbowe anahaki yakuwafumbua Machoo wapiga kura KULE Mtera kua Matumaini anayowalisha mzee Malecela hayawapi shibe wala maendeleo.#
nami naamini kipenda roho ula nyama mbichi, maana !
 
Ile dhambi ya Mbowe walichomfanyia Zito haitasahaulika, itaandikiwa vitabu na kufanyiwa researach, na mpaka leo hakuna maelezo ya kina yaliyotolewa!
Ha ha ha aaaaa hizo ni siasa mzee kwa tulio nje tutabaki na tunayoyaona magazetini kwa walio ndani wanajua wanachokifanya ha ha ha aaaaaaaa.
 
Naomba nikujibu namba 1 na 4 japo kwa kifupi

1.Ndiyo ni ubaguzi...Kwani ni wapi katiba inasema wazee wasigombee?

4.Kwa nini Malecela anabaguliwa na Mbowe?,kwani yeye katiba ya nchi haimruhusu kuchaguliwa kuwa kiongozi?

Mbowe hajambagua Malecera kwa kuwa ni mzee ila alichodai ni kuwa Malecera ameongoza kwa muda mrefu sana,yatosha wapishe wengine sana...
 
Back
Top Bottom