Mbowe: Ccm imeufanya mkoa wa Tanga kuwa kama shamba la bibi.

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
..Mbowe na ujumbe wake wamefika mkoani Tanga kufanya shughuli za uenezi wa chama.

..Pamoja na mambo mengine Mbowe amezungumzia hali ngumu ya uchumi mkoani Tanga na nchi nzima na jinsi inavyochangiwa na utawala mbaya wa Ccm.

Mwisho amewataka wananchi wa Tanga kukataa mkoa wao kuwa kama "shamba la bibi" la Ccm.

 
Mwamba hapoi yaani
 
Wale wenye uchungu na maiwha yao......tuungane
 
Tanga mpoo!!!
 
Ukishaona unategemea wanasiasa wakuletee maendeleo binafsi fahamu unakaribia kua mwehu.
 
Eti Kamanda wa vikosi vya aga leo yuko Ardhini😅😅😅
 
Mbowe-Vitu vimepanda bei CCM wanasingizia Vita,Zambia,Rwanda mafuta bei ni rahisi kuliko kwetu halafu yanapita bandari yetu,hilo nalo wanasingizia vita huko Ukraine
 
Tuko pamoja Mwenyekiti, serikali ya CCM wamejimilikisha nchi na kuigeuza vyanzo vya mapato ya viongozi, familia zao na kiduchu (buku saba saba) kwa CHAWA wao...

Kwa bajeti za nmna hii kama nchi, tutatoboa baada ya miaka elfu moja huko...


 
Tanga,Dodoma,Tabora,Morogoro,Lindi,Mtwara kiasi,Rukwa na Katavi inahitaji kampeni kubwa SANA ya ELIMU YA URAIA..MiCCM huwa yanazoa kura nyingi kweli huku
 
Safi kamanda ukweli sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…