Mmesema ngombe atachunjwa alvyolala CHADEMA. ACT mnasema mtakwenda hivyo hivyo. mnaona yanayoendelea . Tanzania Daima limefugiwa, watashindwaje kuwapiga mabomu wakamtangaza wanayempenda hata mkikusanyika kwa maelefu, mamilioni! Wafuasi wenu watahimili mabomu? Risasi?
Kama wamediriki kulifuta Tanzania Daima, bila aibu, mjue hakuna kitu kwenye uchaguzi. Watafanya wapendavyo. Hakuna wanayemuogopa maana Bunge hakuna , Mahakama ni maiti , mfu anayelekea kuoza!
Kama wamediriki kulifuta Tanzania Daima, bila aibu, mjue hakuna kitu kwenye uchaguzi. Watafanya wapendavyo. Hakuna wanayemuogopa maana Bunge hakuna , Mahakama ni maiti , mfu anayelekea kuoza!