Mbowe -CHADEMA na Zitto-ACT- mnakwenda kwenye uchaguzi kupata nini?

Nyie watu hoja zenu hata sizielewi; yani unaamanisha kufungiwa Tanzania Daima ndio sababu ya upinzani kushindwa uchaguzi?!

Kwamba kwa mtazamo wako, Tanzania Daima ndio lilikuwa jicho pekee la kuonesha maovu ya serikali ya CCM, kwahiyo sasa polisi wanaweza piga watu risasi watakavyo na mengine....

Are you serious.!!

Get out of that box you are.

Hizi mentallity za uoga na kukata tamaa namna hii ni dhambi hata kwa Mungu.
 
Basi kama thinking yako imeishia hapa basi, you cannot make sense out of what is happening around! and relate it /connect it to the coming events!
 
Watanzania tuisikilize na kuifuata sauti iliayo nyikani ya baba Askofu Bagonza.
tukutane @BagonzaWhite77

 
Unataka kusema kuwa hawa wanaopigwa na kuumizwa ni polisi wanafanya hivyo?
Unaenda kulinda kura za mbunge wa CHADEMA zisiibiwe unapigwa unavunjwa miguu na polisi, uchaguzi unaisha iliyempigania anahamia CCM.

Wajinga ndio waliwao
 
Unataka kusema kuwa hawa wanaopigwa na kuumizwa ni polisi wanafanya hivyo?
Mimi siwajui hao wanaopiga watu , ila ukitaka kuwajua wewe siku ya uchaguzi nenda kalinde kura,

Then usisahau kutuletea mrejesho.
 
Unaenda kulinda kura za mbunge wa CHADEMA zisiibiwe unapigwa unavunjwa miguu na polisi, uchaguzi unaisha iliyempigania anahamia CCM.

Wajinga ndio waliwao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tupo kwenye kipindi cha udikteta lakini msikate tamaa tuendelee kupambana manake nikiwaangalia akina Idd Amin, Mobutu, Ghaddafi, Hosni Mubarak, Saadam Hussein na wengine naona mwisho wa mtu yule utakuwaje...
 
Talk of reality on the ground. Jana Zito and team wamekamatwa, was there any resistance? Nilitegemea watu pale kama kumi au zaidi wafe, then dunia ishutuke, iingilie kati.... wamekamatwa no resistance at all, na ndiyo hivyo itakavyotokea wakati wa kupiga/kuhesabu kura..halafu unakwenda kwenye uchaguzi kufanya nini?
 
Unashauri wasishiriki uchaguzi kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…