Mbowe, Damu za Watanzania zilizomwagika miaka 20 hazitakuacha salama

Mbowe, Damu za Watanzania zilizomwagika miaka 20 hazitakuacha salama

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa

Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia

Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.

Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo

Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!

Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.

Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.

Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama

Pole Sana mama Tanzania
 
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa

Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia

Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben saanane, Alohonce mawazo, Kibao, lisasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu uku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay

Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo

Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!

Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.

Samahani Sana kwa Zitto kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao muliona huu upumbavu wa chadema na mukaondoka
Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama

Pole Sana mama Tanzania
Hapo kwenye mama Tanzania namkumbuka JAMES MBATIA
 
Habari njema hii kama unajisikia uchungu. Ukijifungua nitaanza kuitwa mjomba.
 
Mwanga wa alfajiri, upo ndani unachungulia dirishani kuona kama jua limeanza kuchomoza

Kumeanza kupambazuka
 
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa

Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia

Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.

Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo

Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!

Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.

Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na

Nayasema haya kwa uchungu mkubwa

Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia

Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.

Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo

Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!

Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.

Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.

Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama

Pole Sana mama Tanzania
CCM DAIMA Samia mitano tena nyie piganeni mkija kushtuka wengine washakua vibabu
 
Tuliwaambia acheni hizo harakati mkakaza fuvu sasa mnaanza kulia🐼
 
Poleni sana team Lissu, Sasa munaelekea wapi? MSigwa ameshatangulia CCM
 
Tanzania toka mwaka 92 hadi leo 2024 hakuna chama chochote cha upinzani kilichowahi kuongozwa na mpinzani.

Nashangaa mlivyokuwa mnashupaza shingo kuwatukana, kuwavua utu wao na kuwakosea heshima kina Prof Lipumba, Mrema, Cheyo nk huku Mbowe mkimuacha salama.
 
Kama ni hivi CCM wataendelea kutuchezea sana, anakuja mmoja kama Kikwete anatulegezea Demokrasia tunajiona tumefanya progress, halafu wanatuletea mwingine kama Magufuli anatuvuruga halafu in between kanakuja kamama kanasema tufanye maridhiano this game will go on forever..

Kwa siasa hizi anazosema Mbowe CCM itakaa madarakani forever labda itokee miujiza au kwa pressure ya mtutu au civil disobedience.
 
mimi sijaelewa hivi kwani mbowe amefuta uchaguzi? nijuavyo kuna uchaguzi utafanyika na atakayeshinda kwa mujibu wa katiba atasimikwa uwenyekiti sasa drama zote za nini? kama wana chadema hawamtaki mbowe watamkataa kwenye kura isitoshe wakati mbowe & co. wanaondoa ukomo wa uwenyekiti tundu lisu na watu wake walikuwa wapi kupinga?

demokrasia ni ngumu …
 
mimi sijaelewa hivi kwani mbowe amefuta uchaguzi? nijuavyo kuna uchaguzi utafanyika na atakayeshinda kwa mujibu wa katiba atasimikwa uwenyekiti sasa drama zote za nini? kama wana chadema hawamtaki mbowe watamkataa kwenye kura isitoshe wakati mbowe & co. wanaondoa ukomo wa uwenyekiti tundu lisu alikuwa wapi kupinga?
watu wamebaha!..🤣
 
Back
Top Bottom