Mbowe, Damu za Watanzania zilizomwagika miaka 20 hazitakuacha salama

Mbowe, Damu za Watanzania zilizomwagika miaka 20 hazitakuacha salama

Nashawishika kusema huyu Mbowe ndiyo aliyemuua Chacha Wangwe Alfonce Mawazo na akamteka Ben Sa8, pengine aliwaona ni wasaliti.
 
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa

Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia

Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.

Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo

Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!

Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.

Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.

Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama

Pole Sana mama Tanzania
Wewe ulikuwa umejipanga kwa lipi ndugu?
 
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa

Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia

Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.

Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo

Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!

Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.

Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.

Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama

Pole Sana mama Tanzania
Pole kwa maumivu kwani Mbowe kafanya nini yeye katangaza tu atagombea kwani shida iko wapi, bado nafasi ipo mfanyie kampeni mgombea wako ashinde.
 
DIVIDE & RULE! hakika kwenye hili chama tawala kimeupiga mwingi
 
Kuna watu wengi sana Wamekufa nchi hii kwa sababu ya hicho chama.
Unayakumbuka yaliyotokea Morogoro kwenye maandamano ya Chadema? Maandamano ya Arusha na Songea?
Kuna watu wengi wamemwaga damu zao wakikitetea chama. Leo anakuja jamaa anakuambia amekijenga chama kwa damu, damu gani aliwahi kumwaga kwa sababu ya Chadema?

Nayasema haya kwa uchungu mkubwa

Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia

Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.

Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo

Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!

Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.

Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.

Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama

Pole Sana mama Tanzania
O
 
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa

Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia

Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.

Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo

Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!

Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.

Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.

Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama

Pole Sana mama Tanzania
Kwanini kuendelea kumlaumu Mbowe? Kama Lissu ana uwezo wa kuwa Mwenyekiti nae si aanzishe chama chake akae muhula mmoja aondoke. Kung'ang'ania vya wengine vya nini? Yeye si aliletwa na Mbowe Chadema? Leo kawa mkubwa kuliko aliyemleta? Ujinga Gani huu?
 
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa

Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia

Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.

Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo

Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!

Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.

Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.

Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama

Pole Sana mama Tanzania
Rasmi Mbowe nimemfuta siyo mpinzani ni mamluki wa CCM
 
Kuna watu wengi sana Wamekufa nchi hii kwa sababu ya hicho chama.
Unayakumbuka yaliyotokea Morogoro kwenye maandamano ya Chadema? Maandamano ya Arusha na Songea?
Kuna watu wengi wamemwaga damu zao wakikitetea chama. Leo anakuja jamaa anakuambia amekijenga chama kwa damu, damu gani aliwahi kumwaga kwa sababu ya Chadema?


O
Hakuna kitu ni ujinga watu wengi wamechukizwa chama kinaenda kuwa TLP ilichangamka
 
mimi sijaelewa hivi kwani mbowe amefuta uchaguzi? nijuavyo kuna uchaguzi utafanyika na atakayeshinda kwa mujibu wa katiba atasimikwa uwenyekiti sasa drama zote za nini? kama wana chadema hawamtaki mbowe watamkataa kwenye kura isitoshe wakati mbowe & co. wanaondoa ukomo wa uwenyekiti tundu lisu na watu wake walikuwa wapi kupinga?

demokrasia ni ngumu …
Nani atasimamia hizo kura? rushwa aliyotembeza Abduli siyo ya kawaida
 
Back
Top Bottom