Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulikuwa umejipanga kwa lipi ndugu?Nayasema haya kwa uchungu mkubwa
Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia
Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.
Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo
Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!
Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.
Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.
Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama
Pole Sana mama Tanzania
Pole kwa maumivu kwani Mbowe kafanya nini yeye katangaza tu atagombea kwani shida iko wapi, bado nafasi ipo mfanyie kampeni mgombea wako ashinde.Nayasema haya kwa uchungu mkubwa
Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia
Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.
Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo
Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!
Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.
Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.
Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama
Pole Sana mama Tanzania
Poleni sanaNashawishika kusema huyu Mbowe ndiyo aliyemuua Chacha Wangwe Alfonce Mawazo na akamteka Ben Sa8, pengine aliwaona ni wasaliti.
Asante mkuu, tulikuwa hatumjui muuaji sasa tumemjuaPoleni sana
Mbowe kugombea tena mbona imewauma sanaAsante mkuu, tulikuwa hatumjui muuaji sasa tumemjua
Haituumi maana chama ni mali yake na familia yake. Au unasemaje?Mbowe kugombea tena mbona imewauma sana
Mkuu, sasa wale covid 19 hatima yao itakuwaje?Poleni sana team Lissu, Sasa munaelekea wapi? MSigwa ameshatangulia CCM
Mkuu, sasa wale covid 19 hatima yao itakuwaje?
ONayasema haya kwa uchungu mkubwa
Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia
Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.
Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo
Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!
Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.
Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.
Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama
Pole Sana mama Tanzania
Kwanini kuendelea kumlaumu Mbowe? Kama Lissu ana uwezo wa kuwa Mwenyekiti nae si aanzishe chama chake akae muhula mmoja aondoke. Kung'ang'ania vya wengine vya nini? Yeye si aliletwa na Mbowe Chadema? Leo kawa mkubwa kuliko aliyemleta? Ujinga Gani huu?Nayasema haya kwa uchungu mkubwa
Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia
Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.
Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo
Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!
Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.
Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.
Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama
Pole Sana mama Tanzania
Rasmi Mbowe nimemfuta siyo mpinzani ni mamluki wa CCMNayasema haya kwa uchungu mkubwa
Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia
Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu huku ukijua kabisa Chadema sio chama Cha upinzani nakuhakikishia you will pay.
Kuharibu maisha ya watu wakati wewe haujawai kuguswa hata na unyayo wa fimbo
Kukitumia chama kujinufaisha hakika nakwambia damu ni nzito kuliko maji!!
Uongo unaweza kuchelewa lakini una mwisho Leo ndio nakwambia damu zilizomwagika utalipia.
Samahani Sana kwa Zitto Kabwe, Slaa, Nasari, Kafulila na wengine ambao uliona huu upumbavu wa CHADEMA na mkaondoka.
Pole ndugu wa marehemu wote waliotangulia sababu ya hiki chama
Pole Sana mama Tanzania
Hakuna kitu ni ujinga watu wengi wamechukizwa chama kinaenda kuwa TLP ilichangamkaKuna watu wengi sana Wamekufa nchi hii kwa sababu ya hicho chama.
Unayakumbuka yaliyotokea Morogoro kwenye maandamano ya Chadema? Maandamano ya Arusha na Songea?
Kuna watu wengi wamemwaga damu zao wakikitetea chama. Leo anakuja jamaa anakuambia amekijenga chama kwa damu, damu gani aliwahi kumwaga kwa sababu ya Chadema?
O
Nani atasimamia hizo kura? rushwa aliyotembeza Abduli siyo ya kawaidamimi sijaelewa hivi kwani mbowe amefuta uchaguzi? nijuavyo kuna uchaguzi utafanyika na atakayeshinda kwa mujibu wa katiba atasimikwa uwenyekiti sasa drama zote za nini? kama wana chadema hawamtaki mbowe watamkataa kwenye kura isitoshe wakati mbowe & co. wanaondoa ukomo wa uwenyekiti tundu lisu na watu wake walikuwa wapi kupinga?
demokrasia ni ngumu …
Mkuu, ninacho uliza ni kwamba, kwa wakati huu wao ni CHADEMA?kuna kila dalili za kurudi chamani, wengi ni vipenzi vya Mwenyekiti