johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huu Ndio udhaifu mkubwa aliouonyesha Freeman Mbowe kama Mwenyekiti Mtendaji wa Chadema
Zile Nafasi zilikuwa ni za Chama na siyo za akina Halima James Mdee na wenzake 18 kama individuals
Huu Ufisadi utawatafuna Mbowe na Mnyika Milele yote
Ni hayo tu 🐼
Zile Nafasi zilikuwa ni za Chama na siyo za akina Halima James Mdee na wenzake 18 kama individuals
Huu Ufisadi utawatafuna Mbowe na Mnyika Milele yote
Ni hayo tu 🐼