Mbowe haoneshi dalili ya kung'atuka licha ya kuwa mwenyekiti kwa miaka mingi CHADEMA

Mbowe haoneshi dalili ya kung'atuka licha ya kuwa mwenyekiti kwa miaka mingi CHADEMA

Acha upumbavu mkuu, Mr. Mbowe family ina pesa nyingi hata kabla babu yako hajazaliwa,pesa sio tatizo kwenye family hii, kajitolea mhanga kutetea umma wa watanzania waliojawa uoga wa kizuzu kama wewe mtoa hoja
Acha upuuzi. Hakuna mfanyabiashara anaweza kujitoa mhanga kwa kupoteza vitu vyake kutetea mtu. Biashara ya siasa inamlipa Mbowe kuliko hizo biashara za familia yao.
 
Vpi mbona HANGAYA nyie na fomu mmeshamchangia kabisa mbuzi nyie
 
Mimi naona bado Mbowe ni kiongozi sahihi wa chama chake kinachojifia. CHADEMA hakuna mwenye akili timamu ya kuongoza CHADEMA kwenye huu mwisho wa uhai wake.
 
Chama cha Familia, munajuwa Bali mu wabishi.. mtajiju.. 😅😅😅

Weka na kideo kabisaa.. tumuwone akiyatamka..


Kazi iendelee...
 
Na Nulphin Charles Heche, Mtwara

Katika hali ya kushangaza Freeman Mbowe ameonyesha nia ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA licha ya kuongoza kwa zaidi ya Miaka 20. Wanachama wengi wanaonekana kumchoka kutokana na tabia yake ya ubadhirifu wa mali za chama kwa madai ya kukidai chama pesa.

Freeman Mbowe aliyeoa mtoto wa Edwin Mtei Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema alipokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Bob Makani na kukificha kijiti kwapani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa. Historia inaonyesha kila anayejaribu kuwania nafasi ya Uenyekiti hukumbwa na kadhia itokanayo na utemi wa Mbowe.

Hivi karibuni Chadema imeonekana kupoteza ushawishi hususani katika miji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, jambo lililothibitishwa na uchache wa waandamanaji katika maandamano yaliyolenga kufufua chama hicho hivi karibuni. Kwa muda mrefu Freeman Mbowe amekuwa akijilimbikizia mali na kushindwa kujenga hata Ofisi ya makao makuu HQ ya Chadema.
Unataka Hawara yako awe mwenyekiti? MBOWE YUPO SANA CHADEMA
 
Na Nulphin Charles Heche, Mtwara

Katika hali ya kushangaza Freeman Mbowe ameonyesha nia ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA licha ya kuongoza kwa zaidi ya Miaka 20. Wanachama wengi wanaonekana kumchoka kutokana na tabia yake ya ubadhirifu wa mali za chama kwa madai ya kukidai chama pesa.

Freeman Mbowe aliyeoa mtoto wa Edwin Mtei Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema alipokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Bob Makani na kukificha kijiti kwapani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa. Historia inaonyesha kila anayejaribu kuwania nafasi ya Uenyekiti hukumbwa na kadhia itokanayo na utemi wa Mbowe.

Hivi karibuni Chadema imeonekana kupoteza ushawishi hususani katika miji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, jambo lililothibitishwa na uchache wa waandamanaji katika maandamano yaliyolenga kufufua chama hicho hivi karibuni. Kwa muda mrefu Freeman Mbowe amekuwa akijilimbikizia mali na kushindwa kujenga hata Ofisi ya makao makuu HQ ya Chadema.
Unaongea anti clockwise kabsaaaa! Mbowe ndio upinzani na upinzani ni Mbowe. Ustake kuturudisha 1995 wewe!
 
Na Nulphin Charles Heche, Mtwara

Katika hali ya kushangaza Freeman Mbowe ameonyesha nia ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA licha ya kuongoza kwa zaidi ya Miaka 20. Wanachama wengi wanaonekana kumchoka kutokana na tabia yake ya ubadhirifu wa mali za chama kwa madai ya kukidai chama pesa.

Freeman Mbowe aliyeoa mtoto wa Edwin Mtei Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema alipokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Bob Makani na kukificha kijiti kwapani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa. Historia inaonyesha kila anayejaribu kuwania nafasi ya Uenyekiti hukumbwa na kadhia itokanayo na utemi wa Mbowe.

Hivi karibuni Chadema imeonekana kupoteza ushawishi hususani katika miji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, jambo lililothibitishwa na uchache wa waandamanaji katika maandamano yaliyolenga kufufua chama hicho hivi karibuni. Kwa muda mrefu Freeman Mbowe amekuwa akijilimbikizia mali na kushindwa kujenga hata Ofisi ya makao makuu HQ ya Chadema.
Kuna dalili yeyote ccm kuachia madaraka? Mbowe amepewa kazi na chadema kuhakikisha inaing oa ccm
 
🤣🤣Ingekuwa hivyo Nyerere angefia madarakani
Don't justfy udikteta uchwara na wizii wa Mali za chama na ruzuku
Angefia madarakani ndiyo. Unadhani aliachia madaraka kwasababu alipenda? Alishindwa kuyala matapishi yake.

Inaonekana hujui hata maana ya udikteta.
 
Na Nulphin Charles Heche, Mtwara

Katika hali ya kushangaza Freeman Mbowe ameonyesha nia ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA licha ya kuongoza kwa zaidi ya Miaka 20. Wanachama wengi wanaonekana kumchoka kutokana na tabia yake ya ubadhirifu wa mali za chama kwa madai ya kukidai chama pesa.

Freeman Mbowe aliyeoa mtoto wa Edwin Mtei Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema alipokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Bob Makani na kukificha kijiti kwapani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa. Historia inaonyesha kila anayejaribu kuwania nafasi ya Uenyekiti hukumbwa na kadhia itokanayo na utemi wa Mbowe.

Hivi karibuni Chadema imeonekana kupoteza ushawishi hususani katika miji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, jambo lililothibitishwa na uchache wa waandamanaji katika maandamano yaliyolenga kufufua chama hicho hivi karibuni. Kwa muda mrefu Freeman Mbowe amekuwa akijilimbikizia mali na kushindwa kujenga hata Ofisi ya makao makuu HQ ya Chadema.
Ang'atuke aende wapi? Hiyo ni biashara ya familia wengine kama kina Heche, Msigwa, Mnyika ni wasindiiizaji tu.

Kataeni kutumika kama ngazi ya kumtajirisha Mbowe
 
Kwani wewe inakuuma nini?
Chama chako wanasemaje kuhusu fomu moja kwa raisi?
CDM kuna demokrasia kuliko ccm i swear!
 
Kila kitu kina mwisho. Umepata raha na umepata taabu kwenye nafasi yako ya kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA tangu mwaka 2024. Umekipigania CHAMA vya kutosha sasa sema basi IMETOSHA na umwachie kijiti mwenzako atakayependekezwa na Chama. Usiache CHAMA kifie mikononi mwako.
 
Back
Top Bottom