MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Acha upuuzi. Hakuna mfanyabiashara anaweza kujitoa mhanga kwa kupoteza vitu vyake kutetea mtu. Biashara ya siasa inamlipa Mbowe kuliko hizo biashara za familia yao.Acha upumbavu mkuu, Mr. Mbowe family ina pesa nyingi hata kabla babu yako hajazaliwa,pesa sio tatizo kwenye family hii, kajitolea mhanga kutetea umma wa watanzania waliojawa uoga wa kizuzu kama wewe mtoa hoja
Mwizi yule wewee!! Wewe ni mjinga tuAcha upumbavu mkuu, Mr. Mbowe family ina pesa nyingi hata kabla babu yako hajazaliwa,pesa sio tatizo kwenye family hii, kajitolea mhanga kutetea umma wa watanzania waliojawa uoga wa kizuzu kama wewe mtoa hoja
Unataka Hawara yako awe mwenyekiti? MBOWE YUPO SANA CHADEMANa Nulphin Charles Heche, Mtwara
Katika hali ya kushangaza Freeman Mbowe ameonyesha nia ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA licha ya kuongoza kwa zaidi ya Miaka 20. Wanachama wengi wanaonekana kumchoka kutokana na tabia yake ya ubadhirifu wa mali za chama kwa madai ya kukidai chama pesa.
Freeman Mbowe aliyeoa mtoto wa Edwin Mtei Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema alipokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Bob Makani na kukificha kijiti kwapani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa. Historia inaonyesha kila anayejaribu kuwania nafasi ya Uenyekiti hukumbwa na kadhia itokanayo na utemi wa Mbowe.
Hivi karibuni Chadema imeonekana kupoteza ushawishi hususani katika miji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, jambo lililothibitishwa na uchache wa waandamanaji katika maandamano yaliyolenga kufufua chama hicho hivi karibuni. Kwa muda mrefu Freeman Mbowe amekuwa akijilimbikizia mali na kushindwa kujenga hata Ofisi ya makao makuu HQ ya Chadema.
Unaongea anti clockwise kabsaaaa! Mbowe ndio upinzani na upinzani ni Mbowe. Ustake kuturudisha 1995 wewe!Na Nulphin Charles Heche, Mtwara
Katika hali ya kushangaza Freeman Mbowe ameonyesha nia ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA licha ya kuongoza kwa zaidi ya Miaka 20. Wanachama wengi wanaonekana kumchoka kutokana na tabia yake ya ubadhirifu wa mali za chama kwa madai ya kukidai chama pesa.
Freeman Mbowe aliyeoa mtoto wa Edwin Mtei Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema alipokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Bob Makani na kukificha kijiti kwapani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa. Historia inaonyesha kila anayejaribu kuwania nafasi ya Uenyekiti hukumbwa na kadhia itokanayo na utemi wa Mbowe.
Hivi karibuni Chadema imeonekana kupoteza ushawishi hususani katika miji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, jambo lililothibitishwa na uchache wa waandamanaji katika maandamano yaliyolenga kufufua chama hicho hivi karibuni. Kwa muda mrefu Freeman Mbowe amekuwa akijilimbikizia mali na kushindwa kujenga hata Ofisi ya makao makuu HQ ya Chadema.
Mnataka kuleta wangese wenzanu kwenye chama?Siku Mbowe akiachia uenyekiti , hapo Chadema itasonga mbele
Kuna dalili yeyote ccm kuachia madaraka? Mbowe amepewa kazi na chadema kuhakikisha inaing oa ccmNa Nulphin Charles Heche, Mtwara
Katika hali ya kushangaza Freeman Mbowe ameonyesha nia ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA licha ya kuongoza kwa zaidi ya Miaka 20. Wanachama wengi wanaonekana kumchoka kutokana na tabia yake ya ubadhirifu wa mali za chama kwa madai ya kukidai chama pesa.
Freeman Mbowe aliyeoa mtoto wa Edwin Mtei Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema alipokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Bob Makani na kukificha kijiti kwapani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa. Historia inaonyesha kila anayejaribu kuwania nafasi ya Uenyekiti hukumbwa na kadhia itokanayo na utemi wa Mbowe.
Hivi karibuni Chadema imeonekana kupoteza ushawishi hususani katika miji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, jambo lililothibitishwa na uchache wa waandamanaji katika maandamano yaliyolenga kufufua chama hicho hivi karibuni. Kwa muda mrefu Freeman Mbowe amekuwa akijilimbikizia mali na kushindwa kujenga hata Ofisi ya makao makuu HQ ya Chadema.
Chadema ndo Nuru ya tzChama cha Familia, munajuwa Bali mu wabishi.. mtajiju.. 😅😅😅
Weka na kideo kabisaa.. tumuwone akiyatamka..
Kazi iendelee...
Angefia madarakani ndiyo. Unadhani aliachia madaraka kwasababu alipenda? Alishindwa kuyala matapishi yake.🤣🤣Ingekuwa hivyo Nyerere angefia madarakani
Don't justfy udikteta uchwara na wizii wa Mali za chama na ruzuku
Ang'atuke aende wapi? Hiyo ni biashara ya familia wengine kama kina Heche, Msigwa, Mnyika ni wasindiiizaji tu.Na Nulphin Charles Heche, Mtwara
Katika hali ya kushangaza Freeman Mbowe ameonyesha nia ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA licha ya kuongoza kwa zaidi ya Miaka 20. Wanachama wengi wanaonekana kumchoka kutokana na tabia yake ya ubadhirifu wa mali za chama kwa madai ya kukidai chama pesa.
Freeman Mbowe aliyeoa mtoto wa Edwin Mtei Mwenyekiti wa kwanza wa Chadema alipokea kijiti cha uongozi kutoka kwa Bob Makani na kukificha kijiti kwapani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa. Historia inaonyesha kila anayejaribu kuwania nafasi ya Uenyekiti hukumbwa na kadhia itokanayo na utemi wa Mbowe.
Hivi karibuni Chadema imeonekana kupoteza ushawishi hususani katika miji ya Dar es salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, jambo lililothibitishwa na uchache wa waandamanaji katika maandamano yaliyolenga kufufua chama hicho hivi karibuni. Kwa muda mrefu Freeman Mbowe amekuwa akijilimbikizia mali na kushindwa kujenga hata Ofisi ya makao makuu HQ ya Chadema.