Uchaguzi 2020 Mbowe hatafuti urais, bali anatafuta njia ya kupiga pesa

Uchaguzi 2020 Mbowe hatafuti urais, bali anatafuta njia ya kupiga pesa

Deo Meck Mbagi

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
360
Reaction score
525
MBOWE HATAFUTI URAIS, BALI ANATAFUTA NJIA YA KUPIGA PESA

- Ni mjasiriasiasa mbobezi, Kwake muhimu ni pesa na sio huduma kwa wananchi

- Anafahamu katika dunia ya leo hakuna mtu anaweza chagua Rais aliyepata sifuri darasani na kuacha Rais mwenye PHD

- Anajua akigombea yeye atakusanya pesa kwa wahisani wao kama mgombea urais na kuzisweka mfukoni kama ilivyo ada yake

- Tayari Lema kaanza kumshugulikia Lissu maana ndio tishio la Mbowe kwenye kupeperusha bendera ya Chadema

Pazia la kutangaza nia kwa mgombea urais kupitia chadema limefungwa juzi ambako wanachama watano wa Chadema wamejitokeza, wanaume wanne na mwanamama mmoja.

Ambapo Mwenyekiti wa chadema ambaye tayari jimbo lilimshinda na wananchi wa jimbo hilo kumzomea na kusababisha mkutano wake kukatishwa pia amejitokeza na kujitangaza kama mgombea.

Mtu ambaye Jimbo dogo la Hai limemshinda, mtu ambaye pesa za michango ya wabunge kashindwa kuzilinda na kaishia kuzifisadi hakika hana uwezo wa kuongoza Taifa letu.

Ila tunaomjua Mbowe tunafahamu kuwa yeye aliacha ujasiriamali na akaamua kuwa mjasiriasiasa, Kwake yeye siasa ni mradi wa njia ya mkato katika kupata utajiri na wazazi wenza kwa kuwaahidi ubunge wa Viti Maalum kama ilivyothibitika juzi katika IGIZO ambalo director wa IGIZO alikosea script.

Kutangaza nia kwa Mbowe ni kama alivyofanya 2005 kwani baada ya uchaguzi huo ndio aliweza kujenga nyumba anayoishi Mikocheni kwani pesa aliyoomba kwa wafadhiri mbalimbali kwa ajili ya kampeni alitumia kidogo na nyingi akatunza kwa ajili yake.

Mbowe anafahamu hana uwezo wa kushinda Jimbo, hivyo malengo yake ni kuwa mgombea urais huku akijua hana uwezo wa kushinda bali atatumia jukwaa hilo kukusanya michango na kuendelea kujinufaisha kupitia siasa kama ilivyo ada yake siku zote.

Ni dhahiri Mbowe hana uwezo wa kuwa Rais, hat ukiangalia kitaaluma ni mtu asiye na taaluma zaidi ya ujanja ujanja wa kuunga hapa na pale. Dunia ya leo hauwezi chagua Rais ambaye ni form four failure na ukaacha Rais mwenye PHD na mwenye uwezo mkubwa kama Rais Dr. John Magufuli.

Hilo Mbowe analijua vyema na anafahamu kwamba hakuna mtanzania mzembe anayeweza kufikiri mtu kama yeye anaweza kuwa Rais, mtu ambaye ni mlevi wa kupindukia ambaye anapata majanga katika ulevi na kutaka kutengeneza taharuki kwenye jamii kuwa alivamiwa na watu watatu, kumbe watu hao ni ndugu ambao ni: John Walker, Konyagi na K Vant.

Jana sote tumesikia maneno ya Mbunge aliyemaliza muda wake na ambaye wananchi walishamchoka, Godbless Lema wa Arusha Mjini. Amesikika akimponda Lissu kuwa tayari anajiona mgombea urais wakati bado. Lema kama mndani wa siri wa Mbowe anajua walichopanga, hivyo Lissu asahau kabisa suala la kuwa mgombea wa chadema kwani wenye chama chao wanataka kupiga pesa za kustaafia maana wanajua chama kimeshapoteza mvuto kwa watanzania na tunachoenda kufanya ni kukizika hapo October 25, 2020.

Hivyo Lissu ahesabu maumivu tu maana wenye chama chao, wamiliki wana jambo lao na ni kutumia jukwaa la uchaguzi kukusanya mabilioni. Wala dhamira sio kushinda kwani wanafahamu mgombea wao hauziki hata bure, na hata movie ya kujitafutia umaaruru pia ilibuma, ni kama nyani akikaribia kufa basi miti yote huteleza.

Tukutane kwa debe hapo October 25, 2020.

For God and My Country.

Deo Meck

Kada mtiifu wa CCM.
 
Daah! Bongo buana, ni waona mbaaali Sana aisee, mkuu, Umeona mbaali mno Kaka, na hii ndiyo kweli, maana hata Kwa akiri ya kawaida, Kwa mjibu wa Elimu ya Mzee, haruhusiwi Kwa sasa kugombea Uraisi, kama sikosei, mtu anayeruhusiwa ni mtu mwenye digre angalau, sasa mwenzetu hana hiyo sifa
 
Acha waji ga wapigwe.
Mbowe mpigaji cku zote.

Amewapiga kupitia kesi za kutengeneza ili apige kupitia mawakiri.
Juzi tena kapiga kupitia ndege yakukodi alivyoteleza kwa ulevi.

Achana nao acha wapigwe nyumbu wa CDM
 
Acha waji ga wapigwe.
Mbowe mpigaji cku zote.

Amewapiga kupitia kesi za kutengeneza ili apige kupitia mawakiri.
Juzi tena kapiga kupitia ndege yakukodi alivyoteleza kwa ulevi.

Achana nao acha wapigwe nyumbu wa CDM
Nasikia mlikua wote na wewe ndio kati ya wale wanaojiuzi na ulimuuzia
 
Ukisoma hii habari ni kama kweli vile.
Ni kweli mgombea uraisi ndie atakuwa mtumia ruzuku na michango mkubwa kwa kampeni

Vita vya uraisi chadema Ni ya kugombea ruzuku na michango .Lisu ,Mbowe na Msigwa wako kwenye patashika ya kugombea sufuria la ruzuku na michango ya wafadhili waile

Ni Nyalandu pekee ambaye Hana mpango na Hilo sufuria sababu anazo nyingi na hajawahi kula ruzuku haijui utamu wake.Hao watatu walishaila
 
Watu Kama nyie ndio mtu akiwatilia maanani sana anaweza kufa aidha kwa presha au kujiua...............

Huwa mnakuwaga failures na mnapambana kuaminisha jamii ya kuwa Kila mtu Ni mshindwaji Kama ninyi............
 
MBOWE HATAFUTI URAIS, BALI ANATAFUTA NJIA YA KUPIGA PESA

- Ni mjasiriasiasa mbobezi, Kwake muhimu ni pesa na sio huduma kwa wananchi

- Anafahamu katika dunia ya leo hakuna mtu anaweza chagua Rais aliyepata sifuri darasani na kuacha Rais mwenye PHD

- Anajua akigombea yeye atakusanya pesa kwa wahisani wao kama mgombea urais na kuzisweka mfukoni kama ilivyo ada yake

- Tayari Lema kaanza kumshugulikia Lissu maana ndio tishio la Mbowe kwenye kupeperusha bendera ya Chadema

Pazia la kutangaza nia kwa mgombea urais kupitia chadema limefungwa juzi ambako wanachama watano wa Chadema wamejitokeza, wanaume wanne na mwanamama mmoja.

Ambapo Mwenyekiti wa chadema ambaye tayari jimbo lilimshinda na wananchi wa jimbo hilo kumzomea na kusababisha mkutano wake kukatishwa pia amejitokeza na kujitangaza kama mgombea.

Mtu ambaye Jimbo dogo la Hai limemshinda, mtu ambaye pesa za michango ya wabunge kashindwa kuzilinda na kaishia kuzifisadi hakika hana uwezo wa kuongoza Taifa letu.

Ila tunaomjua Mbowe tunafahamu kuwa yeye aliacha ujasiriamali na akaamua kuwa mjasiriasiasa, Kwake yeye siasa ni mradi wa njia ya mkato katika kupata utajiri na wazazi wenza kwa kuwaahidi ubunge wa Viti Maalum kama ilivyothibitika juzi katika IGIZO ambalo director wa IGIZO alikosea script.

Kutangaza nia kwa Mbowe ni kama alivyofanya 2005 kwani baada ya uchaguzi huo ndio aliweza kujenga nyumba anayoishi Mikocheni kwani pesa aliyoomba kwa wafadhiri mbalimbali kwa ajili ya kampeni alitumia kidogo na nyingi akatunza kwa ajili yake.

Mbowe anafahamu hana uwezo wa kushinda Jimbo, hivyo malengo yake ni kuwa mgombea urais huku akijua hana uwezo wa kushinda bali atatumia jukwaa hilo kukusanya michango na kuendelea kujinufaisha kupitia siasa kama ilivyo ada yake siku zote.

Ni dhahiri Mbowe hana uwezo wa kuwa Rais, hat ukiangalia kitaaluma ni mtu asiye na taaluma zaidi ya ujanja ujanja wa kuunga hapa na pale. Dunia ya leo hauwezi chagua Rais ambaye ni form four failure na ukaacha Rais mwenye PHD na mwenye uwezo mkubwa kama Rais Dr. John Magufuli.

Hilo Mbowe analijua vyema na anafahamu kwamba hakuna mtanzania mzembe anayeweza kufikiri mtu kama yeye anaweza kuwa Rais, mtu ambaye ni mlevi wa kupindukia ambaye anapata majanga katika ulevi na kutaka kutengeneza taharuki kwenye jamii kuwa alivamiwa na watu watatu, kumbe watu hao ni ndugu ambao ni: John Walker, Konyagi na K Vant.

Jana sote tumesikia maneno ya Mbunge aliyemaliza muda wake na ambaye wananchi walishamchoka, Godbless Lema wa Arusha Mjini. Amesikika akimponda Lissu kuwa tayari anajiona mgombea urais wakati bado. Lema kama mndani wa siri wa Mbowe anajua walichopanga, hivyo Lissu asahau kabisa suala la kuwa mgombea wa chadema kwani wenye chama chao wanataka kupiga pesa za kustaafia maana wanajua chama kimeshapoteza mvuto kwa watanzania na tunachoenda kufanya ni kukizika hapo October 25, 2020.

Hivyo Lissu ahesabu maumivu tu maana wenye chama chao, wamiliki wana jambo lao na ni kutumia jukwaa la uchaguzi kukusanya mabilioni. Wala dhamira sio kushinda kwani wanafahamu mgombea wao hauziki hata bure, na hata movie ya kujitafutia umaaruru pia ilibuma, ni kama nyani akikaribia kufa basi miti yote huteleza.

Tukutane kwa debe hapo October 25, 2020.

For God and My Country.

Deo Meck

Kada mtiifu wa CCM.
Lumumba nasikia posho imeongezeka kutoka 7000 mpaka 10000 hongera sana mkuu 10000 ya chap chap

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli upo wapi hapo mzee acheni utoto nyie Lumumba yaani mmejiaminisha nyie ndio watakatifu wakati ni wafilisi nchi.


Sheenz.
Na sijaona uongo kwenye hii mada ila kwa wapiga deki barabara
 
MBOWE HATAFUTI URAIS, BALI ANATAFUTA NJIA YA KUPIGA PESA

- Ni mjasiriasiasa mbobezi, Kwake muhimu ni pesa na sio huduma kwa wananchi

- Anafahamu katika dunia ya leo hakuna mtu anaweza chagua Rais aliyepata sifuri darasani na kuacha Rais mwenye PHD

- Anajua akigombea yeye atakusanya pesa kwa wahisani wao kama mgombea urais na kuzisweka mfukoni kama ilivyo ada yake

- Tayari Lema kaanza kumshugulikia Lissu maana ndio tishio la Mbowe kwenye kupeperusha bendera ya Chadema

Pazia la kutangaza nia kwa mgombea urais kupitia chadema limefungwa juzi ambako wanachama watano wa Chadema wamejitokeza, wanaume wanne na mwanamama mmoja.

Ambapo Mwenyekiti wa chadema ambaye tayari jimbo lilimshinda na wananchi wa jimbo hilo kumzomea na kusababisha mkutano wake kukatishwa pia amejitokeza na kujitangaza kama mgombea.

Mtu ambaye Jimbo dogo la Hai limemshinda, mtu ambaye pesa za michango ya wabunge kashindwa kuzilinda na kaishia kuzifisadi hakika hana uwezo wa kuongoza Taifa letu.

Ila tunaomjua Mbowe tunafahamu kuwa yeye aliacha ujasiriamali na akaamua kuwa mjasiriasiasa, Kwake yeye siasa ni mradi wa njia ya mkato katika kupata utajiri na wazazi wenza kwa kuwaahidi ubunge wa Viti Maalum kama ilivyothibitika juzi katika IGIZO ambalo director wa IGIZO alikosea script.

Kutangaza nia kwa Mbowe ni kama alivyofanya 2005 kwani baada ya uchaguzi huo ndio aliweza kujenga nyumba anayoishi Mikocheni kwani pesa aliyoomba kwa wafadhiri mbalimbali kwa ajili ya kampeni alitumia kidogo na nyingi akatunza kwa ajili yake.

Mbowe anafahamu hana uwezo wa kushinda Jimbo, hivyo malengo yake ni kuwa mgombea urais huku akijua hana uwezo wa kushinda bali atatumia jukwaa hilo kukusanya michango na kuendelea kujinufaisha kupitia siasa kama ilivyo ada yake siku zote.

Ni dhahiri Mbowe hana uwezo wa kuwa Rais, hat ukiangalia kitaaluma ni mtu asiye na taaluma zaidi ya ujanja ujanja wa kuunga hapa na pale. Dunia ya leo hauwezi chagua Rais ambaye ni form four failure na ukaacha Rais mwenye PHD na mwenye uwezo mkubwa kama Rais Dr. John Magufuli.

Hilo Mbowe analijua vyema na anafahamu kwamba hakuna mtanzania mzembe anayeweza kufikiri mtu kama yeye anaweza kuwa Rais, mtu ambaye ni mlevi wa kupindukia ambaye anapata majanga katika ulevi na kutaka kutengeneza taharuki kwenye jamii kuwa alivamiwa na watu watatu, kumbe watu hao ni ndugu ambao ni: John Walker, Konyagi na K Vant.

Jana sote tumesikia maneno ya Mbunge aliyemaliza muda wake na ambaye wananchi walishamchoka, Godbless Lema wa Arusha Mjini. Amesikika akimponda Lissu kuwa tayari anajiona mgombea urais wakati bado. Lema kama mndani wa siri wa Mbowe anajua walichopanga, hivyo Lissu asahau kabisa suala la kuwa mgombea wa chadema kwani wenye chama chao wanataka kupiga pesa za kustaafia maana wanajua chama kimeshapoteza mvuto kwa watanzania na tunachoenda kufanya ni kukizika hapo October 25, 2020.

Hivyo Lissu ahesabu maumivu tu maana wenye chama chao, wamiliki wana jambo lao na ni kutumia jukwaa la uchaguzi kukusanya mabilioni. Wala dhamira sio kushinda kwani wanafahamu mgombea wao hauziki hata bure, na hata movie ya kujitafutia umaaruru pia ilibuma, ni kama nyani akikaribia kufa basi miti yote huteleza.

Tukutane kwa debe hapo October 25, 2020.

For God and My Country.

Deo Meck

Kada mtiifu wa CCM.
Mbona aligomea manunuzi Kama mbunge tu analamba ndefu vipi boss wa wabunge angeuzwa kwa ngapi
 
Daah! Bongo buana, ni waona mbaaali Sana aisee, mkuu, Umeona mbaali mno Kaka, na hii ndiyo kweli, maana hata Kwa akiri ya kawaida, Kwa mjibu wa Elimu ya Mzee, haruhusiwi Kwa sasa kugombea Uraisi, kama sikosei, mtu anayeruhusiwa ni mtu mwenye digre angalau, sasa mwenzetu hana hiyo sifa
Kweli kabisa. Elimu ya kuunga na gundi
 
MBOWE HATAFUTI URAIS, BALI ANATAFUTA NJIA YA KUPIGA PESA

- Ni mjasiriasiasa mbobezi, Kwake muhimu ni pesa na sio huduma kwa wananchi

- Anafahamu katika dunia ya leo hakuna mtu anaweza chagua Rais aliyepata sifuri darasani na kuacha Rais mwenye PHD

- Anajua akigombea yeye atakusanya pesa kwa wahisani wao kama mgombea urais na kuzisweka mfukoni kama ilivyo ada yake

- Tayari Lema kaanza kumshugulikia Lissu maana ndio tishio la Mbowe kwenye kupeperusha bendera ya Chadema

Pazia la kutangaza nia kwa mgombea urais kupitia chadema limefungwa juzi ambako wanachama watano wa Chadema wamejitokeza, wanaume wanne na mwanamama mmoja.

Ambapo Mwenyekiti wa chadema ambaye tayari jimbo lilimshinda na wananchi wa jimbo hilo kumzomea na kusababisha mkutano wake kukatishwa pia amejitokeza na kujitangaza kama mgombea.

Mtu ambaye Jimbo dogo la Hai limemshinda, mtu ambaye pesa za michango ya wabunge kashindwa kuzilinda na kaishia kuzifisadi hakika hana uwezo wa kuongoza Taifa letu.

Ila tunaomjua Mbowe tunafahamu kuwa yeye aliacha ujasiriamali na akaamua kuwa mjasiriasiasa, Kwake yeye siasa ni mradi wa njia ya mkato katika kupata utajiri na wazazi wenza kwa kuwaahidi ubunge wa Viti Maalum kama ilivyothibitika juzi katika IGIZO ambalo director wa IGIZO alikosea script.

Kutangaza nia kwa Mbowe ni kama alivyofanya 2005 kwani baada ya uchaguzi huo ndio aliweza kujenga nyumba anayoishi Mikocheni kwani pesa aliyoomba kwa wafadhiri mbalimbali kwa ajili ya kampeni alitumia kidogo na nyingi akatunza kwa ajili yake.

Mbowe anafahamu hana uwezo wa kushinda Jimbo, hivyo malengo yake ni kuwa mgombea urais huku akijua hana uwezo wa kushinda bali atatumia jukwaa hilo kukusanya michango na kuendelea kujinufaisha kupitia siasa kama ilivyo ada yake siku zote.

Ni dhahiri Mbowe hana uwezo wa kuwa Rais, hat ukiangalia kitaaluma ni mtu asiye na taaluma zaidi ya ujanja ujanja wa kuunga hapa na pale. Dunia ya leo hauwezi chagua Rais ambaye ni form four failure na ukaacha Rais mwenye PHD na mwenye uwezo mkubwa kama Rais Dr. John Magufuli.

Hilo Mbowe analijua vyema na anafahamu kwamba hakuna mtanzania mzembe anayeweza kufikiri mtu kama yeye anaweza kuwa Rais, mtu ambaye ni mlevi wa kupindukia ambaye anapata majanga katika ulevi na kutaka kutengeneza taharuki kwenye jamii kuwa alivamiwa na watu watatu, kumbe watu hao ni ndugu ambao ni: John Walker, Konyagi na K Vant.

Jana sote tumesikia maneno ya Mbunge aliyemaliza muda wake na ambaye wananchi walishamchoka, Godbless Lema wa Arusha Mjini. Amesikika akimponda Lissu kuwa tayari anajiona mgombea urais wakati bado. Lema kama mndani wa siri wa Mbowe anajua walichopanga, hivyo Lissu asahau kabisa suala la kuwa mgombea wa chadema kwani wenye chama chao wanataka kupiga pesa za kustaafia maana wanajua chama kimeshapoteza mvuto kwa watanzania na tunachoenda kufanya ni kukizika hapo October 25, 2020.

Hivyo Lissu ahesabu maumivu tu maana wenye chama chao, wamiliki wana jambo lao na ni kutumia jukwaa la uchaguzi kukusanya mabilioni. Wala dhamira sio kushinda kwani wanafahamu mgombea wao hauziki hata bure, na hata movie ya kujitafutia umaaruru pia ilibuma, ni kama nyani akikaribia kufa basi miti yote huteleza.

Tukutane kwa debe hapo October 25, 2020.

For God and My Country.

Deo Meck

Kada mtiifu wa CCM.
Acha kutumwa na ccm inaonesha jinsi msivyojiamini kwenye uchaguzi ujao. Mtu mmoja tu anawasumbua ccm wote: Mbowe.
 
MBOWE HATAFUTI URAIS, BALI ANATAFUTA NJIA YA KUPIGA PESA

- Ni mjasiriasiasa mbobezi, Kwake muhimu ni pesa na sio huduma kwa wananchi

- Anafahamu katika dunia ya leo hakuna mtu anaweza chagua Rais aliyepata sifuri darasani na kuacha Rais mwenye PHD

- Anajua akigombea yeye atakusanya pesa kwa wahisani wao kama mgombea urais na kuzisweka mfukoni kama ilivyo ada yake

- Tayari Lema kaanza kumshugulikia Lissu maana ndio tishio la Mbowe kwenye kupeperusha bendera ya Chadema

Pazia la kutangaza nia kwa mgombea urais kupitia chadema limefungwa juzi ambako wanachama watano wa Chadema wamejitokeza, wanaume wanne na mwanamama mmoja.

Ambapo Mwenyekiti wa chadema ambaye tayari jimbo lilimshinda na wananchi wa jimbo hilo kumzomea na kusababisha mkutano wake kukatishwa pia amejitokeza na kujitangaza kama mgombea.

Mtu ambaye Jimbo dogo la Hai limemshinda, mtu ambaye pesa za michango ya wabunge kashindwa kuzilinda na kaishia kuzifisadi hakika hana uwezo wa kuongoza Taifa letu.

Ila tunaomjua Mbowe tunafahamu kuwa yeye aliacha ujasiriamali na akaamua kuwa mjasiriasiasa, Kwake yeye siasa ni mradi wa njia ya mkato katika kupata utajiri na wazazi wenza kwa kuwaahidi ubunge wa Viti Maalum kama ilivyothibitika juzi katika IGIZO ambalo director wa IGIZO alikosea script.

Kutangaza nia kwa Mbowe ni kama alivyofanya 2005 kwani baada ya uchaguzi huo ndio aliweza kujenga nyumba anayoishi Mikocheni kwani pesa aliyoomba kwa wafadhiri mbalimbali kwa ajili ya kampeni alitumia kidogo na nyingi akatunza kwa ajili yake.

Mbowe anafahamu hana uwezo wa kushinda Jimbo, hivyo malengo yake ni kuwa mgombea urais huku akijua hana uwezo wa kushinda bali atatumia jukwaa hilo kukusanya michango na kuendelea kujinufaisha kupitia siasa kama ilivyo ada yake siku zote.

Ni dhahiri Mbowe hana uwezo wa kuwa Rais, hat ukiangalia kitaaluma ni mtu asiye na taaluma zaidi ya ujanja ujanja wa kuunga hapa na pale. Dunia ya leo hauwezi chagua Rais ambaye ni form four failure na ukaacha Rais mwenye PHD na mwenye uwezo mkubwa kama Rais Dr. John Magufuli.

Hilo Mbowe analijua vyema na anafahamu kwamba hakuna mtanzania mzembe anayeweza kufikiri mtu kama yeye anaweza kuwa Rais, mtu ambaye ni mlevi wa kupindukia ambaye anapata majanga katika ulevi na kutaka kutengeneza taharuki kwenye jamii kuwa alivamiwa na watu watatu, kumbe watu hao ni ndugu ambao ni: John Walker, Konyagi na K Vant.

Jana sote tumesikia maneno ya Mbunge aliyemaliza muda wake na ambaye wananchi walishamchoka, Godbless Lema wa Arusha Mjini. Amesikika akimponda Lissu kuwa tayari anajiona mgombea urais wakati bado. Lema kama mndani wa siri wa Mbowe anajua walichopanga, hivyo Lissu asahau kabisa suala la kuwa mgombea wa chadema kwani wenye chama chao wanataka kupiga pesa za kustaafia maana wanajua chama kimeshapoteza mvuto kwa watanzania na tunachoenda kufanya ni kukizika hapo October 25, 2020.

Hivyo Lissu ahesabu maumivu tu maana wenye chama chao, wamiliki wana jambo lao na ni kutumia jukwaa la uchaguzi kukusanya mabilioni. Wala dhamira sio kushinda kwani wanafahamu mgombea wao hauziki hata bure, na hata movie ya kujitafutia umaaruru pia ilibuma, ni kama nyani akikaribia kufa basi miti yote huteleza.

Tukutane kwa debe hapo October 25, 2020.

For God and My Country.

Deo Meck

Kada mtiifu wa CCM.
Acha matusi, kwani huwezi kuandika bila matusi, pesa anazipiga na mamako
 
Acha matusi, kwani huwezi kuandika bila matusi, pesa anazipiga na mamako
Anazipiga na mzazi mwenzie Joyce Mukya, aka mbunge mchepuko wa Mwenyekiti
. Yaani chama kama danguro, Mwenyekiti anatumia nafasi yake kupata rushwa ya ngono kwa wabunge. Hatari sana.
 
Back
Top Bottom