Uchaguzi 2020 Mbowe hatafuti urais, bali anatafuta njia ya kupiga pesa

Uchaguzi 2020 Mbowe hatafuti urais, bali anatafuta njia ya kupiga pesa

Daah! Bongo buana, ni waona mbaaali Sana aisee, mkuu, Umeona mbaali mno Kaka, na hii ndiyo kweli, maana hata Kwa akiri ya kawaida, Kwa mjibu wa Elimu ya Mzee, haruhusiwi Kwa sasa kugombea Uraisi, kama sikosei, mtu anayeruhusiwa ni mtu mwenye digre angalau, sasa mwenzetu hana hiyo sifa
Hakuna hiyo Sheria kama nchi ila CCM wao wanataka mgombea wao walau awe na Shahada ya Kwanza.
Vyama vingine havilazimishwi hilo kwasababu sio takwa la kikatiba.
 
Nami nasema Mbowe atafuti kupiga pesa ila Mbowe ana uhakika wa kushinda ubunge tena hvo anataka kuficha aibu tu ya kukosa kiti cha KUB.
 
Dah.....Mbowe Ni jembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom