Uchaguzi 2020 Mbowe hatafuti urais, bali anatafuta njia ya kupiga pesa

Hakuna hiyo Sheria kama nchi ila CCM wao wanataka mgombea wao walau awe na Shahada ya Kwanza.
Vyama vingine havilazimishwi hilo kwasababu sio takwa la kikatiba.
 
Nami nasema Mbowe atafuti kupiga pesa ila Mbowe ana uhakika wa kushinda ubunge tena hvo anataka kuficha aibu tu ya kukosa kiti cha KUB.
 
Dah.....Mbowe Ni jembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…