Mbowe hatukutaki tena hilo elewa. Ni ajabu unafanya mahojiano masaa manne hukosoi kabisa utawala wa Samia badala yake unausifia! Madhara ya asali hayo

Mbowe hatukutaki tena hilo elewa. Ni ajabu unafanya mahojiano masaa manne hukosoi kabisa utawala wa Samia badala yake unausifia! Madhara ya asali hayo

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Mwenyekiti utaharibu, wewe tayari umeshakuwa team Samia tunaomba upumzike ili ulinde heshima yako. Mbona unajionyesha wazi kuwa ulishalamba asali?

Unafanya mahojiano masaa manne huongelei kabisa madhila tuliyopata, huongelei kabisa utaipeleka wapi CHADEMA ukichaguliwa badala yake unaongea tu mahistoria.

Kwamba ukichaguliwa utakuwa unahadithia hayo mahistoria yako kwa kipindi chote cha uongozi?

Eti tusibadilishe general wakati wa vita? Kama tunazidiwa vita tuendelee kukumbatia general aliyejichokea? Ili tuendelee kupigwa?

Sisi tunaona kabisa tunazidiwa vita na wewe General ni moja ya chanzo cha kuzidiwa! Kwamba huoni? Kwanini unang'ang'ania?

Huoni kila mwenye mapenzi mema na CHADEMA anakupinga? Leo utakuwa na tofauti gani na Lipumba? Si huwa anachaguliwa mpaka juzi? CUF yake iko wapi? Huoni kuwa ukiendelea kung'ang'ania unapoteza kundi kubwa la watu wanaohitaji mabadiliko?

Tunaenda kwenye box hatutakuchagua na ukitumia mbinu chafu tutakukabili na zaidi uking'ang'ania basi utafanya kazi na hao machawa wako. Tatizo linaonekana wazi ila unashupaa! Haya endelea kusifia utawala wa Samia. Endelea kutoa mikakati!
 
Mwenyekiti utaharibu, wewe tayari umeshakuwa team Samia tunaomba upumzike ili ulinde heshima yako. Mbona unajionyesha wazi kuwa ulishalamba asali?

Unafanya mahojiano masaa manne huongelei kabisa madhila tuliyopata, huongelei kabisa utaipeleka wapi Chadema ukichaguliwa badala yake unaongea tu mahistoria.

Kwamba ukichaguliwa utakuwa unahadithia hayo mahistoria yako kwa kipindi chote cha uongozi?

Eti tusibadilishe general wakati wa vita? Kama tunazidiwa vita tuendelee kukumbatia general aliyejichokea? Ili tuendelee kupigwa?

Sisi tunaona kabisa tunazidiwa vita na wewe General ni moja ya chanzo cha kuzidiwa! Kwamba huoni? Kwanini unang'ang'ania? Huoni kila mwenye mapenzi mema na Chadema anakupinga? Leo utakuwa na tofauti gani na Lipumba? Si huwa anachaguliwa mpaka juzi? CUF yake iko wapi? Huoni kuwa ukiendelea kung'ang'ania unapoteza kundi kubwa la watu wanaohitaji mabadiliko?

Tunaenda kwenye box hatutakuchagua na ukitumia mbinu chafu tutakukabili na zaidi uking'ang'ania basi utafanya kazi na hao machawa wako. Tatizo linaonekana wazi ila unashupaa! Haya endelea kusifia utawala wa Samia. Endelea kutoa mikakati!
Wewe huna kadi ukiitwa uandamane hutoki kura hupigi Mbowe amesema nyinyi ni watu wa mtandaoni hamsumbui!
 
Wewe huna kadi ukiitwa uandamane hutoki kura hupigi Mbowe amesema nyinyi ni watu wa mtandaoni hamsumbui!
Mimi ni mpiga kura na nitamchinja. Ikitokea ameshinda kwa bahati mbaya tunapishana mlangoni namuachia Chadema yake akae na machawa wake awahadithie historia yake vizuri. Kuongozwa na mlamba asali ni kitu nilikataa kwa dhati kabisa ya moyo wangu.
 
wakunja ngumi hamumtaki mbowe ila ndiye Mwenyekiti wa kudumu hapo CDM, yaani hata mkaombe msaada kutoka marekan hamuwez kumtoa huyo mwamba... Nyie CDM wapuuzi sana yaani mnataka chama apewe Lisu.
Hakuna kitu chama dume wanangojea kwa hamu na furaha siku ambayo mbowe atakufa. Maana hiyo ndio itakuwa mwisho wa CDM kuendelea kutamba...
Na hizi kelele za mitandaoni kumtukana mbowe ni ishara kwamba Lisu hawez kumshinda mbowe kwa kura...

Kidumu chama tawala... 2025 MITANO TENA... KAZI IENDELEEE...
 
Si mkapige kura mumkatae basi. Yeye kagombea na wengine pia wamegombea, nongwa ya nini?
 
Tetesi toka Twitter zinasema kuna mtu kalambishwa asali ya 12B. Dr Slaa kazungumzia hilo suala Twitter



12B sio pesa ya kitoto 🤣
 
wakunja ngumi hamumtaki mbowe ila ndiye Mwenyekiti wa kudumu hapo CDM, yaani hata mkaombe msaada kutoka marekan hamuwez kumtoa huyo mwamba... Nyie CDM wapuuzi sana yaani mnataka chama apewe Lisu.
Hakuna kitu chama dume wanangojea kwa hamu na furaha siku ambayo mbowe atakufa. Maana hiyo ndio itakuwa mwisho wa CDM kuendelea kutamba...
Na hizi kelele za mitandaoni kumtukana mbowe ni ishara kwamba Lisu hawez kumshinda mbowe kwa kura...

Kidumu chama tawala... 2025 MITANO TENA... KAZI IENDELEEE...
Ulichokiandika hata wewe mwenyewe ukisoma hutaelewa.
 
Mimi ni mpiga kura na nitamchinja. Ikitokea ameshinda kwa bahati mbaya tunapishana mlangoni namuachia Chadema yake akae na machawa wake awahadithie historia yake vizuri. Kuongozwa na mlamba asali ni kitu nilikataa kwa dhati kabisa ya moyo wangu.
Kwenda zako hukooo
Na wewe kalambe asali
 
Mwenyekiti utaharibu, wewe tayari umeshakuwa team Samia tunaomba upumzike ili ulinde heshima yako. Mbona unajionyesha wazi kuwa ulishalamba asali?

Unafanya mahojiano masaa manne huongelei kabisa madhila tuliyopata, huongelei kabisa utaipeleka wapi Chadema ukichaguliwa badala yake unaongea tu mahistoria.

Kwamba ukichaguliwa utakuwa unahadithia hayo mahistoria yako kwa kipindi chote cha uongozi?

Eti tusibadilishe general wakati wa vita? Kama tunazidiwa vita tuendelee kukumbatia general aliyejichokea? Ili tuendelee kupigwa?

Sisi tunaona kabisa tunazidiwa vita na wewe General ni moja ya chanzo cha kuzidiwa! Kwamba huoni? Kwanini unang'ang'ania? Huoni kila mwenye mapenzi mema na Chadema anakupinga? Leo utakuwa na tofauti gani na Lipumba? Si huwa anachaguliwa mpaka juzi? CUF yake iko wapi? Huoni kuwa ukiendelea kung'ang'ania unapoteza kundi kubwa la watu wanaohitaji mabadiliko?

Tunaenda kwenye box hatutakuchagua na ukitumia mbinu chafu tutakukabili na zaidi uking'ang'ania basi utafanya kazi na hao machawa wako. Tatizo linaonekana wazi ila unashupaa! Haya endelea kusifia utawala wa Samia. Endelea kutoa mikakati!
Wewe umekatazwa kuukosoa Keybord worrior?
 
Back
Top Bottom