Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
Heche kajiunga kundi ambalo silo, Heche bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa, hao wengine washafikia mwisho.kifupi kajichanganya, wenzake wote wana miji ughaibuni - mwenzangu tuko naye hapa hapa Nyamongo tunagawana ugali dagaa pa kwenda hana..
aisee Heche.
Mbona sijawahi muona hapa The Fridays Lounge...🙄Heche kajiunga kundi ambalo silo, Heche bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa, hao wengine washafikia mwisho.kifupi kajichanganya, wenzake wote wana miji ughaibuni - mwenzangu tuko naye hapa hapa Nyamongo tunagawana ugali dagaa pa kwenda hana..
aisee Heche.
MBOWE ana kisasi Cha Nyegere===
Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii.
Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya kamati kuu ya Mbowe kuwashughulikia.
Kwa kauli hii(kama ni kweli kasema) ina maana ana uhakika wa kushinda.===
Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii.
Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya kamati kuu ya Mbowe kuwashughulikia.
Mbowe akiwa mwenyekiti chadema 2025 kwenye kampeni za urais.
KabisaMbowe akiwa mwenyekiti chadema 2025 kwenye kampeni za urais.
Heche kama Heche! Sema jamaa ana busaraHeche kajiunga kundi ambalo silo, Heche bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa, hao wengine washafikia mwisho.kifupi kajichanganya, wenzake wote wana miji ughaibuni - mwenzangu tuko naye hapa hapa Nyamongo tunagawana ugali dagaa pa kwenda hana..
aisee Heche.
yeye ana viziaga wahudumu, wanao toka bukoba.Mbona sijawahi muona hapa The Fridays Lounge...🙄
Siasa sii kujilimbikizia mali,na usiaminishe watu ujinga wakoHeche kajiunga kundi ambalo silo, Heche bado ana muda mrefu sana wa kufanya siasa, hao wengine washafikia mwisho.kifupi kajichanganya, wenzake wote wana miji ughaibuni - mwenzangu tuko naye hapa hapa Nyamongo tunagawana ugali dagaa pa kwenda hana..
aisee Heche.
hahahaahahahahahahahaha.....