Pre GE2025 Mbowe: Hawa wanaongea uzushi uzushi kila siku kwenye vyombo vya habari baada ya Uchaguzi tutawashughulikia

Pre GE2025 Mbowe: Hawa wanaongea uzushi uzushi kila siku kwenye vyombo vya habari baada ya Uchaguzi tutawashughulikia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inavyoonekana ni kwamba Mbowe amemshtukia Wenje na maneno yake ya hovyo.
 
Kuna mambo nilikuwa namtetea sana Mbowe kuwa hawezi kuyafanya lakini kwa ninachokishuhudia sasa baada ya Lissu kutangaza kugombea uenyekiti, Mbowe anaweza kufanya chochote kile linapokuja suala la uenyekiti wale. Hata hii ya Chacha Wangwe kiasi naanza kuiamini,huyu jamaa anaonekana yuko humble lakini kwenye suala la uenyekiti anakuwa beast.
💯
 
===
Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii.

Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya kamati kuu ya Mbowe kuwashughulikia.
Kiko wapi huyu ni dikteta kuliko hata dikteta Mussolini
 
Back
Top Bottom