Mbowe: Hayati Rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali ya juu, hakuwa mvivu hata kidogo

Mbowe: Hayati Rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali ya juu, hakuwa mvivu hata kidogo

Mbaya zaidi anaweza asitokee aliye kama yeye daima hapa Tanzania. I mean it

Haaa!!! So, hata wewe hutaki kumwiga Bulldozer, kumbe!??? Nawe umemsaliti JPM mapema hivi, kama akina Mr Kazi Ndugai!??? Why usingoje hata miaka miwili hivi ipite walau ile miwani yake aliyozikwa nayo imdondoke machoni!??? The people who misunderstand or hate JPM are either ^mental,^ naive or sincerely & purposely ignorant.
 
Nasisitiza, bila kujali machache mabaya yaliyotokea, Tanzania na Africa, bado inahitaji viongozi wa aina ya hayati JPM!!

Wazungu ni watu wanaoishi kwenye mikwara mbuzi, Bwawa la umeme Rifiji, mabeberu walichimba mkwara tangu JKN na woote waliofuatia, Kiboko yao Alipoichukua nchi huyu mwamba asiyeogopa chochote hata kifo, kwa kauli yake moja tu, leo tunamuda mchache tu tuanze kutumia umememe wa bei ndogo na kuanza kushindanisha bidhaa zetu na bidhaa za mataifa mengine masokoni, kwa sababu gharama za uzalishaji zitakuwa chipa, na Tanzania itauza bidhaa zake popote pale duniani

lala salama Jemedali JPM, uliyonifunza, stayaasahau hadi naingia kaburini
 
Sio kitoto mkuu.
Golden chance never came twice

Jasmoni Tegga
Na kilichomkuta mzee kinaweza kuogopesha watu wa aina yake kutaka kuongoza nchi.
Je nani anaweza kuwa kama yeye au zaidi ?


Kila mtu, including his enemies, aliamini kwamba JPM alikuwa chaguo la Mungu na alikuja kwa utashi kutoka juu. Je tuamini kwamba the very same GOD ameenda likizo, au ameishiwa nguvu sasa au haipenda tena nchi yetu kiasi kwamba hawezi kutupatia mwingine!??? Nothing is IMPOSSIBLE with GOD!!!
 
Nasisitiza, bila kujali machache mabaya yaliyotokea, Tanzania na Africa, bado inahitaji viongozi wa aina ya hayati JPM!!

Wazungu ni watu wanaoishi kwenye mikwara mbuzi, Bwawa la umeme Rifiji, mabeberu walichimba mkwara tangu JKN na woote waliofuatia, Kiboko yao Alipoichukua nchi huyu mwamba asiyeogopa chochote hata kifo, kwa kauli yake moja tu, leo tunamiaka michache tu tuanze kushindanisha bidhaa zetu na bidhaa za mataifa mengine masokoni, kwa sababu gharama za uzalishaji zitakuwa chipa, na Tanzania itauza bidhaa zake popote pale duniani

lala salama Jemedali JPM, uliyonifunza, stayaasahau hadi naingia kaburini

^kwa kauli yake moja tu^

Nice!!! The man of his words!!!
 
Nasisitiza, bila kujali machache mabaya yaliyotokea, Tanzania na Africa, bado inahitaji viongozi wa aina ya hayati JPM!!

Wazungu ni watu wanaoishi kwenye mikwara mbuzi, Bwawa la umeme Rifiji, mabeberu walichimba mkwara tangu JKN na woote waliofuatia, Kiboko yao Alipoichukua nchi huyu mwamba asiyeogopa chochote hata kifo, kwa kauli yake moja tu, leo tunamiaka michache tu tuanze kushindanisha bidhaa zetu na bidhaa za mataifa mengine masokoni, kwa sababu gharama za uzalishaji zitakuwa chipa, na Tanzania itauza bidhaa zake popote pale duniani

lala salama Jemedali JPM, uliyonifunza, stayaasahau hadi naingia kaburini

😍😍
 
Mbowe: Hayati rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali juu, hakuwa mvivu hata kidogo.

Msema kweli mpenzi wa Mungu

Shujaa ataendelea kuishi kwa yale mema mengi, makubwa na magumu aliyofanya.
Ataendelea kuishi kaburini?
 
Back
Top Bottom