Mbowe: Hayati Rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali ya juu, hakuwa mvivu hata kidogo

Mbowe: Hayati Rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali ya juu, hakuwa mvivu hata kidogo

Kila mtu, including his enemies, aliamini kwamba JPM alikuwa chaguo la Mungu na alikuja kwa utashi kutoka juu. Je tuamini kwamba the very same GOD ameenda likizo, au ameishiwa nguvu sasa au haipenda tena nchi yetu kiasi kwamba hawezi kutupatia mwingine!??? Nothing is IMPOSSIBLE with GOD!!!

Upo sahihi.
Ni masikitiko tuu na sometimes mtu unaweza kumkufuru Mungu, kwanini yeye JPM kwani hakukua na mwengine ?
Miezi mitatu tuu wameenda kukopa hela kwa ajiri ya umeme wa jua, yani umeme wa jua kweli ? 2115MW hazitoshi, Magufuli was the utmost brain of operation needed for this country Mzee alikua na mikakati sana tena sana, na mikakati ni ile ya kugusa Taifa kwa mapana yote sio mambo kama kupeleka gesi kenya.


Umeamua kuja na ukweli mchungu kiasi hiki tena asubuhi hii!?
Sawa buana[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
yaaani ndio ukweli,
 
Uthubutu na Uchapakazi sio Substitute ya Utu na Kufuata Law and Order

Unaweza ukawa unachapa kazi kwa kuvunja Sheria
Let me tell you

" Ku'retrive mambo ya kwenye maandishi kujudge uhaliasi wa mambo hakutokufikisha mahala sahihi kimaono "
 
Huyo fashisti kafa na kaoza that’s all.
Wewe utaishi milele? mtu mwenye busara na anayejitambua hawezi kudhihaki kifo hata siku moja coz kifo ni mapito ya kila kiumbe chanye uhai,haijalishi ulikua nani Duniani,

Mimi sio shabiki wa mambo ya kisiasa ila kumdhihaki aliyetangulia huku wewe mwenyewe hujui siku wala saa ya kuiaga dunia ni kukosa ufikiri tu na kutokujitambua,

Wengi wenu mnaoweka comment za aina hiyo,lengo lenu ni kutaka kuchekewa na wenye uwezo mdogo wa kufikiri,huenda akili yako inakuongopea kua ukicomment hivyo basi ndio utaonekana mjanja au umeendelea, Acha kudhihaki waliotangulia coz hata wewe ni marehemu mtarajiwa.
 
Wewe utaishi milele? mtu mwenye busara na anayejitambua hawezi kudhihaki kifo hata siku moja coz kifo ni mapito ya kila kiumbe chanye uhai,haijalishi ulikua nani Duniani,

Mimi sio shabiki wa mambo ya kisiasa ila kumdhihaki aliyetangulia huku wewe mwenyewe hujui siku wala saa ya kuiaga dunia ni kukosa ufikiri tu na kutokujitambua,

Wengi wenu mnaoweka comment za aina hiyo,lengo lenu ni kutaka kuchekewa na wenye uwezo mdogo wa kufikiri,huenda akili yako inakuongopea kua ukicomment hivyo basi ndio utaonekana mjanja au umeendelea, Acha kudhihaki waliotangulia coz hata wewe ni marehemu mtarajiwa.

Don't even waste your precious time with such individuals. Hao ni aina ya watu ambao furaha yao hutokana na masahibu wanayopitia watu wengine. What a despicable shame!!!
 
Ni kweli Kabisa,
Jiwe alikua hard worker, sema TU ukatili wake alikua levo za hilter
 
Uchapakazi ule wa MAGUFULI hakupaswa kua RAISI.

Alitakiwa awe PM, ili achape Sana KAZI Ila awe na mtu juu yake wa kumcontrol.

Kosa tulilofanya Ni kumkabidhi RUNGU kabisa.

Aisee,
sitosahau maishani Alituburuza kisawasawa.
Huna akili kabisa unataka mchapakazi awe chini ya mtu ambaye siyo mchapakazi?

Ili mchapakazi akiamua tujenge SGR alafu kiongozi asiyemchapakazi anamwambia hilo haliwezekani achana nalo?
 
Hata kuweka mchanga kwenye pilau ya wageni nayo ni maamuzi magumu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom