Pre GE2025 Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

Pre GE2025 Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.


Soma, Pia;
 
"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687

Soma, Pia;

- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti

- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Je kwa kutangaza ghafla kugombea, amevunja Sheria?
 
"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687

Soma, Pia;

- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti

- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Kumbe hajui kujieleza mpaka aandikiwe
 
"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687

Soma, Pia;

- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti

- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Ndo maana ccm wansema chadema ni saccos ya Mbowe na taraatibu wananza kuonekana wana hoja
 
Huyo mbowe hakuna kitu humo, fedha za ruzuku, michango ya wabunge lakini chadema bado ni maskini ya kutupwa. Ameshindwa kujenga ofisi za kata ili kuimarisha idadi ya mashina na wanachama wengi huko vijijini na mijini.
Anakwambia pesa za Ruzuku hazitoshi Hata robo kuendesha chama
 
Huyu jamaa kajishushia hadhi na heshima aliyoijenga kwa muda mrefu kisa tamaa, Pumbavu kabisa
 

Attachments

  • 20250103_215645.jpg
    20250103_215645.jpg
    90.6 KB · Views: 11
"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687

Soma, Pia;

- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti

- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
🤣🤣🤣
Mheshimiwa FAM dah You must step up aisee 🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom