Hakuna cha jabali wala gogo, akae pembeni....fikra zake kuendeleza chama zimefika mwisho sasa baada ya miaka 21 kwwnye kiti!.Mh. Mbowe ana busara sana - si mkurupukaji na ndiyo kinamfanya aitwe jabari la siasa Tanzania na Africa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha jabali wala gogo, akae pembeni....fikra zake kuendeleza chama zimefika mwisho sasa baada ya miaka 21 kwwnye kiti!.Mh. Mbowe ana busara sana - si mkurupukaji na ndiyo kinamfanya aitwe jabari la siasa Tanzania na Africa.
Kwahiyo Mhe Mbowe ni kwamba hiyo nafasi ya Uenyekiti ni kwamba alijipanga kugombea"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiya ti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Bado kakomaa hataki kumuachia kiti Lisu. Nkurunzinza wa Machame.Huyo Mkwe wa mtei anasemaje?
Njia ya muongo huwa ni fupi na pia ukiwa muongo uwe na kumbukumbu!Kwahiyo Mhe Mbowe ni kwamba hiyo nafasi ya Uenyekiti ni kwamba alijipanga kugombea
Na siyo kweli kwamba alilazimishwa na ile nyomi ya watu iliyovamia nyumbani kwake na kumshauri agombee?
Tuamini lipi kati ya haya mawili aliyoyasema?
Maana mwanzo alisema familia yake imemshauri apumzikeNjia ya muongo huwa ni fupi na pia ukiwa muongo uwe na kumbukumbu!
Mbowe gafla amesahau aliandaa igizo lowasa style eti wanachama wameenda nyumbani kwake KUMLAZIMISHA agombee uenyekiti!
Yaani leo kamanda unadiriki kumuita mwamba tuvushe Nkurunzinza wa Machame kweli?😂Bora umwamini msema kweli asiye na kizuio bwana Lisu kuliko huyo Nkurunziza wa Machame.
🤣Yaani leo kamanda unadiriki kumuita mwamba tuvushe Nkurunzinza wa Machame kweli?
Upepo lazima usomwe,kwani wewe ni kiroboto gani Nchi hii uzuie watu kufanya mambo yaoMimi ni mpiga kura
Acha kusoma upepo
Hawa bora wametifuana....tuelekeze nguvu zetu zote kwenye kulisaka tonge....wanasiasa ni walewale"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Mimi sio kiroboto au chawa kama weweUpepo lazima usomwe,kwani wewe ni kiroboto gani Nchi hii uzuie watu kufanya mambo yao
Mkiwa Nyuma ya keyboard mnataype mafichoni mnakua majasiri kweli kweli 😀 na kujifanya mna uchungu na nchiMimi sio kiroboto au chawa kama wewe
Kwani kusema FAM amekataliwa ni ujasiri? wakati jambo ambalo lipo wazi tuu huku mtaaniMkiwa Nyuma ya keyboard mnataype mafichoni mnakua majasiri kweli kweli 😀 na kujifanya mna uchungu na nchi
**** ya mama yakoMh. Mbowe ana busara sana - si mkurupukaji na ndiyo kinamfanya aitwe jabari la siasa Tanzania na Africa.
Aisee! Ilianzia huku!?Alivyomtuma wenje kugombea makamu alitegemea nini?
Anaitwa na nani?Mh. Mbowe ana busara sana - si mkurupukaji na ndiyo kinamfanya aitwe jabari la siasa Tanzania na Africa.
Yale Yale ya Gachagwa na Ruto kufanya Serikali ya Kenya Kampuni na watu kugawiana shares!Hakuweka wazi walipatana nini juu ya nani agombee...