Mr Slim
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 2,652
- 5,242
Itende pale karibu na kalobe, Lissu alifanyaje mkuu?LISu sio bwege, kambi ya jeshi itende anaalama yake pale
Kama walikubaliana kwann alimpelekea wenje,mzee huyu analeta uhuni wakizamani ...eti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itende pale karibu na kalobe, Lissu alifanyaje mkuu?LISu sio bwege, kambi ya jeshi itende anaalama yake pale
Kama walikubaliana kwann alimpelekea wenje,mzee huyu analeta uhuni wakizamani ...eti
Sasa Mbowe habari ya super hero si kajisema yeye miaka 21 anaamini bila yeye hakuna CHADEMA, anataka awe Mfalme, humility/unyenyekevu anamaanisha kuwa mnafiki, chawa na zuzu, watu wakose uthubutu wa kuomba kupambania Chama na kuomba ridhaa"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Busara ameambulia 0.6% serikali za mitaaMh. Mbowe ana busara sana - si mkurupukaji na ndiyo kinamfanya aitwe jabari la siasa Tanzania na Africa.
Hilo neno busara ccm wanamtwisha nalo anavimba kichwaBusara apeleke kwenye familia yake huku kwenye siasa zimetosha
Jamaa yenu alitoka ka kuta 6 yeye kidume, anakwenda kuaibika mbele ya macho ya watanzania..Busara ameambulia 0.6% serikali za mitaa
Bado hamjasemaBora umwamini msema kweli asiye na kizuio bwana Lisu kuliko huyo Nkurunziza wa Machame.
Haahaa jamaa aliwapanga, mpiga kampeni wake yule wa rukwaNjia ya muongo huwa ni fupi na pia ukiwa muongo uwe na kumbukumbu!
Mbowe gafla amesahau aliandaa igizo lowasa style eti wanachama wameenda nyumbani kwake KUMLAZIMISHA agombee uenyekiti!
Haahaa mbowe hata akishinda ndani ya chadema uwenyekiti, asubiri October.Jamaa yenu alitoka ka kuta 6 yeye kidume, anakwenda kuaibika mbele ya macho ya watanzania..
Kaanza kulia lia kuhusu mawakala, tunamshauri amlete my wife wake azihesabu ili kusiwe na visingizio.
Ilikuwa ghafla kwasababu aligundua kuwa unatumia rafu kumuondoa kupitia Wenje."Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Hapo ccm watajaribu ku"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
enzi ya ukusanywajiItende pale karibu na kalobe, Lissu alifanyaje mkuu?
Akiwa kuruta ,aliwaita brigedias general wajinga sana(vilaza),wakati mahita akitoa amri MPs wamkamate apelekwe katakana wale brigedias wakasimama wakasema ....mwacheni ni kweli sisi mabwege......hiki nikipindi Cha ukusanywaji maoni juu ya uazishwaji mfumo vyama vingiItende pale karibu na kalobe, Lissu alifanyaje mkuu?
Sio mtu mmoja tupo wengi we utachukia hadi mimba ikutoke mwaka huuUnamtangazia nani?na ili iweje?
mtu mmoja hauna athari yeyote
kazi kuandika andika tu humu jf
Acheni kulia lia kama wanawake,umeamua kuondoka ondoka,unamtangazia nani,unataka ubembelezwe,kwani mapenzi haya
Okay,kumbe kapita pale...mitaa ya home kule.enzi ya ukusanywaji
Akiwa kuruta ,aliwaita brigedias general wajinga sana(vilaza),wakati mahita akitoa amri MPs wamkamate apelekwe katakana wale brigedias wakasimama wakasema ....mwacheni ni kweli sisi mabwege......hiki nikipindi Cha ukusanywaji maoni juu ya uazishwaji mfumo vyama vingi
Ndio tushaondoka tumekuacha chawaHao wengi ndio muondoke sasa,mnasubiri nini?
Kwani mmeambiwa mnahitajika? nendeni vyama vipo 19,sio lazima uwe chadema ndio ufanye siasa
Kwani huwezi fanya siasa ukiwa Chauma au Tlp?
tumieni uhuru mliopewa si kulia lia.
Toka mwaka 2000 nimekuwa napigia kura chadema kwa nafasi zote (Rais, Bunge & Diwani)!.Wewe nae ni chadema? Mbona mkiitwa maandamano hamtokei,mnakuwaga wapi?
Sasa hivi mpo wengi?😝
kumbe chadema ina makamanda wengi hivi mtandaoni
amewanafikia waTz kwa muda mrefu sana, ni muda wa kuumbuka umewadia.Huyu jamaa kajishushia hadhi na heshima aliyoijenga kwa muda mrefu kisa tamaa, Pumbavu kabisa
mkuu, walio na mtizamo wa kwako ni mamilioni.Toka mwaka 2000 nimekuwa napigia kura chadema kwa nafasi zote (Rais, Bunge & Diwani)!.
Ila Mbowe akishinda tena uenyekiti kwa mara ya kwanza kbs nitaacha kuipigia kura chadema!!.
Sawa chawa.Safi sana,hivo ndio inavyotakiwa