Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Je kwa kutangaza ghafla kugombea, amevunja Sheria?"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Kumbe hajui kujieleza mpaka aandikiwe"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Ndo maana ccm wansema chadema ni saccos ya Mbowe na taraatibu wananza kuonekana wana hoja"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Huyu ni Museveni wa machame.Mh. Mbowe ana busara sana - si mkurupukaji na ndiyo kinamfanya aitwe jabari la siasa Tanzania na Africa.
Amemvuruga sana hakutegemea,Je kwa kutangaza ghafla kugombea, amevunja Sheria?
Anakwambia pesa za Ruzuku hazitoshi Hata robo kuendesha chamaHuyo mbowe hakuna kitu humo, fedha za ruzuku, michango ya wabunge lakini chadema bado ni maskini ya kutupwa. Ameshindwa kujenga ofisi za kata ili kuimarisha idadi ya mashina na wanachama wengi huko vijijini na mijini.
Alidhani Lissu anamuogopa na kujiona kua yeye ni master sana, wakati Lissu alishamuheshimu kua hatogombea hicho kitiAlivyomtuma wenje kugombea makamu alitegemea nini?
π€£π€£π€£"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Alimjua angemwambia mapema, angeandaa mashambulizi makali juu yakeJe kwa kutangaza ghafla kugombea, amevunja Sheria?