Kadoda nguku
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 332
- 475
CCM waliomba sana chadema wampitishe Nyalandu kwa sababu Ndio walikuwa wanamuweza. Sasa wasiye mtaka kapitishwa,kila mmoja Analia, nape Amalia, bashiru Analia, Pole pole Analia. Hii inatokana na Lisu hana makando kando hivyo hoja yao imebaki moja tu ametumwa na mabeberu ndio watakayoinandi majukwaani. Lakini hoja kama hoja CCM hawana zaidi ya hiyo. Kwa sababu LISSU ni msafi kuliko Magu mwenye lundo la kashfaMahela yote yale mliogawa ila bado mnawasi wasi na Lissu ? Upinzani haukwepeki.
Kejuu umesahau kuweka namba yako ya simu.Ndugu zangu,
Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.
Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ( )
().
Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu ( ). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.
- Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
- Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
- Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
I meant Lowasa, siyo Mbowe, sorryAnalysis za kipopoma kabisa, umfananishe mbowe na tl? Muache basi mzee wa watu, usimdharishe
My friend, it has nothing to do here.Kejuu umesahau kuweka namba yako ya simu.
Msikilize basi Nyerere, utakuwa umejijibuCCM waliomba sana chadema wampitishe Nyalandu kwa sababu Ndio walikuwa wanamuweza. Sasa wasiye mtaka kapitishwa,kila mmoja Analia, nape Amalia, bashiru Analia, Pole pole Analia. Hii inatokana na Lisu hana makando kando hivyo hoja yao imebaki moja tu ametumwa na mabeberu ndio watakayoinandi majukwaani. Lakini hoja kama hoja CCM hawana zaidi ya hiyo. Kwa sababu LISSU ni msafi kuliko Magu mwenye lundo la kashfa
How can they know you, and that you could do praise and worship!My friend, it has nothing to do here.
Unalala naye chumba kimoja? Unajuaje kama hana raha huo ndo ukuda mkuuu kutwa kufuatilia maisha ya watu yako yamekushindaAta mimi nimeona hilo mbowe hana raha kabisa yani yupo yupo tuu.
Wewe mwana MATAGASubiri wana Sacco's waje kutoa mapovu
Kuda kweli huyu jamaaUnalala naye chumba kimoja? Unajuaje kama hana raha huo ndo ukuda mkuuu kutwa kufuatilia maisha ya watu yako yamekushinda
Yuko sahihi hata wewe ni takatakaHuna hoja ya kujibu ndo maana umeishia hapo tu
Praise and worship for what?Only Jesus deserve such as a thing mkuuHow can they know you, and that you could do praise and worship!
Ccm ndio wa kupoteana, siyo Kamanda TAL. Jiwe bila kuzunguka na wale wasanii 200 wa jana waliopigana mtama hakuna mtu atatoka, labda DEDs, DC na wale watumishi waoga waoga ambao wameliwa miaka 5 hawapigi kelele.Kama saizi ameshaanza kupoteana hivyo, Mh. Magu akianza kuzunguka itakuaje?
nadhani wewe ndiye unahitaji kufundishwa maana naona umechanganya mambo!Analysis za kipopoma kabisa, umfananishe mbowe na tl? Muache basi mzee wa watu, usimdharishe
You can still edit, and put your number there! They might remember you in their kingdom! Talking about Jesus, which one are you talking about? Kangi Lugola’s?!Praise and worship for what?Only Jesus deserve such as a thing mkuu
Lissu anajinadi mwenyewe haitaji watu wa kumnadi Hana makando kando kama Jiwe na wakina Lowassa.Ndugu zangu,
Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.
Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ( )
().
Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu ( ). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.
- Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
- Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
- Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
Kuna Kiongozi alisema Nitalipa cash money kwa Wakulima wa korosho, na ilitangazwa na vyombo vyote vya habari. Unfortunately ikawa kinyume chake! What is the diference between the two political opportunists?Kwa saula la radio na Tv, huwezi kuruhusu misinformation kama anazotoa. Huwezi ukaenda Kenya nakusema Tanzania kuna Korona watu wanakufa na kuzikwa usiku, hakuna cha social distancing, hakuna cha mask, kwenye harakati zake unaone anachukua hatua zozote kwa tahadhari ya korona? Be open on this. Ndo maana saizi ajenda ya Korona haiongelei hapa Tz, hindo vitu ambavyo vinamtia doa. Haiba ya uraisi hana, ila ana uanaharakati, awe mstaarabu na watu watakuwa wastarabu kwake.
Hafani na hiki hapa alichokisema Nyerere? Unasemaje kuhusu makinikia?Lissu anajinadi mwenyewe haitaji watu wa kumnadi Hana makando kando kama Jiwe na wakina Lowassa.
You can still edit, and put your number there! They might remember you in their kingdom! Talking about Jesus, which one are you talking about? Kangi Lugola’s?!
And for your personal information, if sixteen bullets couldn’t put TALbdown, a collection of videos and history of Lowasa won’t!
Lissu anajinadi mwenyewe haitaji watu wa kumnadi Hana makando kando kama Jiwe na wakina Lowassa.
Atafloat mapema sanaLissu anajinadi mwenyewe haitaji watu wa kumnadi Hana makando kando kama Jiwe na wakina Lowassa.
Time will tell, atafloat yule jamaa hatariMagufuli dish limeyumba,ila lisuu dish limeng'oka kabisa[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app