Uchaguzi 2020 Mbowe itampa wakati mgumu sana kumnadi Lissu

Uchaguzi 2020 Mbowe itampa wakati mgumu sana kumnadi Lissu

Kipindi hichi kuna kundi moja la siasa watakuja kuhadithia kitakachowatokea yan hawatoamin kabisa kile ambacho kitamkuta mgombea wao kwenye sanduku la kura ni suala LA muda tu
Wape tahadhari mkuu, maana wameshaanza kubwabwanja, safar hii hawa muachii Mungu, tafsri yake wanataka kuleta vuru, Mungu anawaona
 
Hivi wewe uko tz? Yawezekana hata hujui tuko kwenye uchumi wa kati, ndo unaamini tz watu wankufa na kuzikwa usiku sababu ya korona, jitafakari

Hata Zimbabwe iko uchumi wa kati
 
Mtetezi wa mabeberu kivipi??? Embu fafanua ueleweke ????

Alafu ukiwa unafafanua tuambie kampuni inayojenga uwanja wa ndege Chato ni ya nani??? Na ujenzi wa ule uwanja unatumia gharama gani na zilipitia utaratibu upi kuidhinishwa???
Kule chato ni Kenya? Hawastahili kupata kiwanja?
 
Hivi wewe unamjua Magu, usijitoe ufahamu, Magu is one of the best president of our life time ever! Dunia nzima wanamjua wewe usilete utani kabisa. Amelipa heshima kubwa saba taifa letu
Heshima au aibu? Pale Kenya gavana mmoja alitamka, "uongozi ya Magufuri ni aibu kwa Afrika nzima".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muulize kilichompata mwanza ndo utajua nyie vijana mtabakia kubwabwanja tu. Hapo ndugu yangu tl anategemea kura za huruma ya wananchi Period. Ndo maana Nyerere alisema kazi ya kujenga nchi ni ngumu. Tutapa watetezi wa mabepari humuhumu, unasemaje raisi wako na makinikia?

Narudia tena, huu utoto katafute watoto na wapuuzi wenzio uwalishe.
 
Kule chato ni Kenya? Hawastahili kupata kiwanja?
Nimekuuliza swali langu nataka ujinibu! Kampuni inayojenga uwanja wa ndege wa Chato ni ya nani?? Na mchakato wa iyo kampuni kujenga huo uwanja ulipitishwaje??? Kwa utaratibu gani????
 
Ha ha ha mtamsafisha sana Meko lakini hasafishiki kwa ulimbukeni wake na ushamba.

Safari hii hachomoki hata atembee majukwaani akiwa na wasanii wa nchi nzima.
 
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.

Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()

().

Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:

  • Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
  • Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
  • Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.

Asante,
Nawasilisha
Kejuu

kwa kutumia narrative yako, tunaweza ku draw logically simple conclusion kama ifuatavyo....

kwa vile high confidence ya Mbowe 2015 ilipelekea Lowasa kushindwa uchaguzi, it means Mbowe's confidence is indirectly proportional to election victory and therefore the following hypothesis is true:

2015: Mbowe's high confidence, Lowasa lost
2020: Mbowe's low confidence, Lissu to win

sijatunga kitu chochote hapa bali nimetumia narrative yako mwenyewe mleta mada!
 
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.

Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()

().

Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:

  • Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
  • Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
  • Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.

Asante,
Nawasilisha
Kejuu
Mimi nikuhakikishie jambo moja.


UPINZANI haukuwahi kupata mgombea Urais kama huyu wa Sasa.

Huyi ndio aina ya wagombea Urais kutoka Upinzan ambao Dunian kote ndio huleta mageuzi .

Sio watu lege lege.
 
Ha ha ha mtamsafisha sana Meko lakini hasafishiki kwa ulimbukeni wake na ushamba.

Safari hii hachomoki hata atembee majukwaani akiwa na wasanii wa nchi nzima.
We utaona, itakuwa kama kwenye unafiki mliokuwa mnaufanya kipindi cha korona, ila ulifeli, na mpaka Leo tunadunda tu
 
Back
Top Bottom