Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Nimekuuliza hujui kuwa magufuli ana pacemaker kwenye moyo wake aliyowekewa na wajerumani ???Hadi unanichekesha kweli. Dogo usimtanie Magu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuuliza hujui kuwa magufuli ana pacemaker kwenye moyo wake aliyowekewa na wajerumani ???Hadi unanichekesha kweli. Dogo usimtanie Magu
Wape tahadhari mkuu, maana wameshaanza kubwabwanja, safar hii hawa muachii Mungu, tafsri yake wanataka kuleta vuru, Mungu anawaonaKipindi hichi kuna kundi moja la siasa watakuja kuhadithia kitakachowatokea yan hawatoamin kabisa kile ambacho kitamkuta mgombea wao kwenye sanduku la kura ni suala LA muda tu
Kwani hawakufa na kuzikwa usiku???Hivi wewe uko tz? Yawezekana hata hujui tuko kwenye uchumi wa kati, ndo unaamini tz watu wankufa na kuzikwa usiku sababu ya korona, jitafakari
We jitoe ufaham tu, ila kweli ndo huo
Unaishi na Mbowe kiaso cha kufahamu kuwa hana furaha? Kwa kumvunja mguu mmemfanyia jambo zuri sana la kumfanya wakati wote afurahi?Ata mimi nimeona hilo mbowe hana raha kabisa yani yupo yupo tuu.
Hivi wewe uko tz? Yawezekana hata hujui tuko kwenye uchumi wa kati, ndo unaamini tz watu wankufa na kuzikwa usiku sababu ya korona, jitafakari
Kule chato ni Kenya? Hawastahili kupata kiwanja?Mtetezi wa mabeberu kivipi??? Embu fafanua ueleweke ????
Alafu ukiwa unafafanua tuambie kampuni inayojenga uwanja wa ndege Chato ni ya nani??? Na ujenzi wa ule uwanja unatumia gharama gani na zilipitia utaratibu upi kuidhinishwa???
Heshima au aibu? Pale Kenya gavana mmoja alitamka, "uongozi ya Magufuri ni aibu kwa Afrika nzima".Hivi wewe unamjua Magu, usijitoe ufahamu, Magu is one of the best president of our life time ever! Dunia nzima wanamjua wewe usilete utani kabisa. Amelipa heshima kubwa saba taifa letu
Muulize kilichompata mwanza ndo utajua nyie vijana mtabakia kubwabwanja tu. Hapo ndugu yangu tl anategemea kura za huruma ya wananchi Period. Ndo maana Nyerere alisema kazi ya kujenga nchi ni ngumu. Tutapa watetezi wa mabepari humuhumu, unasemaje raisi wako na makinikia?
Bora wana Saccos kuliko wauzaji na watekaji,Lissu kawashika pabaya sana mpaka kila mkikaa na mkilala mnamuwazaSubiri wana Sacco's waje kutoa mapovu
Eti kavunjwa mguu, hujui alikuwa ameenda wapi na kufanya nn? Ukijua utajijibuUnaishi na Mbowe kiaso cha kufahamu kuwa hana furaha? Kwa kumvunja mguu mmemfanyia jambo zuri sana la kumfanya wakati wote afurahi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuuliza swali langu nataka ujinibu! Kampuni inayojenga uwanja wa ndege wa Chato ni ya nani?? Na mchakato wa iyo kampuni kujenga huo uwanja ulipitishwaje??? Kwa utaratibu gani????Kule chato ni Kenya? Hawastahili kupata kiwanja?
Good boyHata Zimbabwe iko uchumi wa kati
Tunalihurumia taifa kuingiliwa na kuangukia kwenye mikono haramuBora wana Saccos kuliko wauzaji na watekaji,Lissu kawashika pabaya sana mpaka kila mkikaa na mkilala mnamuwaza
Ata mimi nimeona hilo mbowe hana raha kabisa yani yupo yupo tuu.
Ndugu zangu,
Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.
Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()
().
Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.
- Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
- Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
- Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
Mimi nikuhakikishie jambo moja.Ndugu zangu,
Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.
Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()
().
Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.
- Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
- Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
- Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
We utaona, itakuwa kama kwenye unafiki mliokuwa mnaufanya kipindi cha korona, ila ulifeli, na mpaka Leo tunadunda tuHa ha ha mtamsafisha sana Meko lakini hasafishiki kwa ulimbukeni wake na ushamba.
Safari hii hachomoki hata atembee majukwaani akiwa na wasanii wa nchi nzima.
Kwani uchaguzi ni ugomvi ndugu.,[emoji44]Na nyie mngependa awe na raha sana. Kwa kweli mna huruma kuliko ya mbwa mwetu kwa mwana kondoo.